na wakati wa watu kuibiwa wake zao huku wako bize kushangilia mpira bar
umerudi tena lol
kuna wanawake ukiwatafuta wanakwambia subiri kesho ataenda kutazama mpira lol
\Mpira ni VIZA isiyo na longo longo!!
Huulizwi maswali mengi!!!
Zile mechi za usiku mwingi kama Uefa nk ndo inakuwaga kimbembe kweli. Wanaume hatuaminiwi kabisa wajameni!!mwambie asikununie bana,its all about football hakuna la ziada.
\
Nimekupa na like ingawa inaniuma. ila kwa hili umesema POINT
mkuu jenga confidence mama akuamini.
kuna tafiti zinaonesha
wanaume washabiki wa Arsenal ni 'nice guys'
na wanapenda 'fair'
but wanawake still wana vutiwa na chelsea na man u guys lol
P
mimi liverpool lol
kila siku nakwambia 'ukibakwa legea'...btw ex wako mtam sana....... phina.............................!!!!!))))))))))))))))/@@:????????((((;;;;;@@@//
Aah siye mbona hatuna makuu kiongozi hatugombei kombe mwaka huu. Huezi kulazimisha meli kubwa ikate kona baharini kama speed boats zinavofanya eoKaizer we livapulo? Kha uko fungu la kukosa ujue?
Umepona kisonono?