Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
aeleke jiwe.
Pyeeeeeeeeee kipenga premier league England kinalia,ndo kipindi sawia chetu kinababa kuganda kwenye luninga,iwe bar iwe nyumbani.Katika hili kinamama tulieni msitubughudhi na tukichelewa msituulize,jueni tulikuwa tunaangalia mpira.Swali la nyongeza?
Pyeeeeeeeeee kipenga premier league England kinalia,ndo kipindi sawia chetu kinababa kuganda kwenye luninga,iwe bar iwe nyumbani.Katika hili kinamama tulieni msitubughudhi na tukichelewa msituulize,jueni tulikuwa tunaangalia mpira.Swali la nyongeza?