M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,097
Mie network ya internet kuna kipindi inakata hata kwa muda wa nusu saa, kiukweli kwa sasa wanaboa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Voda unaachana nao vp sema pesa zako za mawazo voda hakuna nikijiunga bandle la week 12000 GB kumi nafanya Kazi zangu bila shida kitu mb5 sec .nahamaje kama unataka GB 9000 kwa jero vumiliaMkuu isikupandishe hasira ukawa hauna raha...just vunja vunja tu kama mi nilivyoamua kuachana na voda
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!! Hapo voda wamekupa mwamvuli tu uwe unasajili line... ungekuwa makao makuu c ungetutia vidole machon wwVoda unaachana nao vp sema pesa zako za mawazo voda hakuna nikijiunga bandle la week 12000 GB kumi nafanya Kazi zangu bila shida kitu mb5 sec .nahamaje kama unataka GB 9000 kwa jero vumilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Tigo kila siku wanapunguza mb
Kwahiyo TTCL ndio wana coverage kubwa mkuu?fanya utafiti kwanza kuhusu TTCL kabla ya kutupa hiyo line,mtandao wa Halotel una boa sana hasa kwa sasa ambapo umekuwa very slow ukilinganisha na mwanzoni walipoanza ila kwa TTCL nina mashaka unaweza kuichoma moto hiyo line kwani bado hawako vizuri kivile,hawa wana mikakati mizuri sana ila bado tuwape muda wajipange.Habari zenu keaho nimeamua mwenyewe kuachana na Halotel nahamia zangu Ttcl rasmi.
Nimejaribu kuwavumilia haka kamchezo kao ka kupoteza dira kwenye suala la internet coverage, Lakini yamenishinda kwa kweli.
Kwa nini hata hawatujali wateja wake?? Costumer care kuwapata shida.Hata ukipatwa na dharura wewe mezea mate tu mana si rahisi kuwapata.
Shaabashhhhh !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
wanajua laani zao hazitupwajiTigo kila siku wanapunguza mb