Kesho naenda kupima UKIMWI

Kesho naenda kupima UKIMWI

Professor of jungle

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
480
Reaction score
942
Nimekaa kama mwaka na miezi kadhaa baada ya kugegeda binti mmoja mtaani hapa, tatizo la huyu binti ana kashfa ana ngoma ila nilipiga hvyo hivyo tena kavu kavu, nataka nikavunje ukimya kesho.

Sehemu gani ambayo ipo vizuri kwa vipimo?
 
Hospitali yeyote ni nzuri tu.
All the best soldier.
 
Ndo Mshahara wa uzinzi, nenda kathibitishe tu pay slip yako pale angaza au hospital yoyote iliyo karibu nawe
 
Aisee. Nenda Marie Stopes, usirishike na jibu la kwanza, rudi tena kwa mara ya pili.
 
Sehemu iliyo vizuri kwa vipimo ni nyuma za kuandikisha kuwa unatoka Dar unaelekea Dar(gesti)
 
Kila la kheri mdau. Daah hii ilinikutaga hata mie nilikua na wakati mgumu for eight months kabla sijafanya maamuzi magumu kama haya.
 
Ndo Mshahara wa uzinzi, nenda kathibitishe tu pay slip yako pale angaza au hospital yoyote iliyo karibu nawe

mkuu leo umeniache sina mbavu na hayo ndo mavuno ya uovu na huku ukijiita mimi mwislamu safi au mimi ni mkristo si bora usiwe na dini
 
mkuu leo umeniache sina mbavu na hayo ndo mavuno ya uovu na huku ukijiita mimi mwislamu safi au mimi ni mkristo si bora usiwe na dini

Acha tu mkuu, namsubiri alete mrejesho wa salary slip yake
 
Nimekaa kama mwaka na miezi kadhaa baada ya kugegeda binti mmoja mtaani hapa, tatizo la huyu binti ana kashfa ana ngoma ila nilipiga hvyo hivyo tena kavu kavu, nataka nikavunje ukimya kesho.

Sehemu gani ambayo ipo vizuri kwa vipimo?

Ukiona nyuma ya karatasi umeandikiwa rudi baada ya miezi 3 jua upo safi ila ukiona wamekupa karatasi ya majibu bila tarehe ya kurudi jua umeumia
Gud luck
 
Unaenda kupima kitu kisichokuwepo?

Hao unaokwenda kupima kwao hawajawahi hata kumuona huyo unaekwenda kumtafuta kama unae....

Acha kupoteza muda....
 
Back
Top Bottom