sehemu yoyote karibia na wanapotengeneza majeneza... usisumbue watu presha ikipanda!!!
mtumishi hivi ulisema juice ya limao ni nzuri sana!!Unaenda kupima kitu kisichokuwepo?
Hao unaokwenda kupima kwao hawajawahi hata kumuona huyo unaekwenda kumtafuta kama unae....
Acha kupoteza muda....
Nimepewa majibu ya kurudi baada ya miez 3
mtumishi hivi ulisema juice ya limao ni nzuri sana!!
mkuu maneno yako yanachoma unamweka mtoa mada katika hali ngumu kwamba kusema ndo ana ukimwi....!!!kaka wamekudanganya tu, kama uligonga yule binti una ukimwi kaka
Nimepewa majibu ya kurudi baada ya miez 3
mkuu maneno yako yanachoma unamweka mtoa mada katika hali ngumu kwamba kusema ndo ana ukimwi....!!!
ukimwi upo tutumie condom wajameni....
halafu wapimaji wana akili sana huyu jamaa angeambiwa leo leo kwamba ana ngoma angekosa mood ya kupiga kura kabisa na kutuweka wanamageuzi shakani kwa kukosa kura yake. ila sababu wamempa moyo aje baada ya miezi mitatu luckly kura yake tutaipata... ila tu asiogope japo ukimwi hauna tiba kwa sasa ila possibility ya kuendelea kuishi ipo...Ndio hivyo kaka mshkaji anaukimwi, ila Ukimwi ni ugonjwa wa kawaida tu wala asijali
mkuu maneno yako yanachoma unamweka mtoa mada katika hali ngumu kwamba kusema ndo ana ukimwi....!!!
ukimwi upo tutumie condom wajameni....
We poti, yalishakukuta ukafanya mara mbili nini?.Aisee. Nenda Marie Stopes, usirishike na jibu la kwanza, rudi tena kwa mara ya pili.
sehemu yoyote karibia na wanapotengeneza majeneza... usisumbue watu presha ikipanda!!!
Unaua Mkuu!!!Mkuu ndio hata mimi huwa sipendi sema huna jinsi sasa umemuokota tu mtu halafu unamuingilia tu hivohivo .... hatari sanaSipendi condom kabisa.
Naenda pekupeku tu.