platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
We poti, yalishakukuta ukafanya mara mbili nini?.
Nilipata mauno ya mkwaya...hatari sana
We poti, yalishakukuta ukafanya mara mbili nini?.
Mkuu ndio hata mimi huwa sipendi sema huna jinsi sasa umemuokota tu mtu halafu unamuingilia tu hivohivo .... hatari sana
Ukiona nyuma ya karatasi umeandikiwa rudi baada ya miezi 3 jua upo safi ila ukiona wamekupa karatasi ya majibu bila tarehe ya kurudi jua umeumia
Gud luck
mie pia kuna mtu nmemkwaa mungu anisamehe;sijui nn la kufanya kupima kwa sasa naogopa; nashindwa kuwa generative ktk kazi zangu! Full mawazo
anza dozi wewe... unasubiri nini sasa?
Siku hizi vipimo vime advance unarudia kupima baada ya mwezi mmoja tu
kapime miezi mi3 baada ya kusex nae ,ukipima chini ya hapo wanaweza kukwambia negative kumbe unao..but kama ulimuandaa vzr ,ni vigumu kuambukizwa ila na wewe unapenda uroda sana bhana.Nimekaa kama mwaka na miezi kadhaa baada ya kugegeda binti mmoja mtaani hapa, tatizo la huyu binti ana kashfa ana ngoma ila nilipiga hvyo hivyo tena kavu kavu, nataka nikavunje ukimya kesho.
Sehemu gani ambayo ipo vizuri kwa vipimo?
ndo inakuaje hyo?mkuu siku hizi ni siku 12 mpaka 26(inategemea na mtu na mtu)ukitumia alere determine
then ntafute kwa 0652039808 unielekeze vizuri.mkuu siku hizi ni siku 12 mpaka 26(inategemea na mtu na mtu)ukitumia alere determine