Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Ndugu watanzania na wale wote mnaonisapoti nawaomba kufika kwa wingi ili kushuhudia kile kitakachoendelea, najua wengi mnajua fika niko nje kwa Dhamana baada ya kukaa Mahabusu kwa siku 50. Mungu ni mwema penye HAKI huwa Pana USHINDI.
Siogopi kufungwa kwa Kusema UKWELI MTUPU. Saa 2 asubuhi takuwa mahakamani.
Deogratius Nalimi Kisandu.
Siogopi kufungwa kwa Kusema UKWELI MTUPU. Saa 2 asubuhi takuwa mahakamani.
Deogratius Nalimi Kisandu.