Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Kesho Lowassa kuifuta rasmi CCM mikoa ya Kusini

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia CHADEMA/UKAWA mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anaingia mkoa Mtwara na Lindi kuifuta rasmi CCM na wana Kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.
 
Naskia chato wamesema eti alijinyea ktk ardhi ya wana chato kuna ukweli wa hili hayo yote ni mkutano wa Leo pale chato uwanja wa nyumbani
 
Wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia cdm/ukawa mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa anaingia mkoani mtwara na lindi kuifuta rasmi ccm na wana kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.

Mnashinda mitandaoni mnadanganyanaaa weeeeeeee kuipata nafasi unaandika Kama mwehu tuu ,hivi Wewe unaijua Tanzania vizuri au unajiandikiaaaa tu u kila maharage
 
Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?
 
Naskia chato wamesema eti alijinyea ktk ardhi ya wana chato kuna ukweli wa hili hayo yote ni mkutano wa Leo pale chato uwanja wa nyumbani

Mara kuna rafiki yako anakupa hizo habari mara pale chato nyumbani mara msukuma mbunge Geita mjini.Na ukasema Lowassa alijinyea stand Geita wakati aliondoka uwanjani kwa helkopter.Mbona kama choko flani wewe?Au unapigika paipu?
 
Naskia chato wamesema eti alijinyea ktk ardhi ya wana chato kuna ukweli wa hili hayo yote ni mkutano wa Leo pale chato uwanja wa nyumbani

Mkuu afadhali wewe unaonekana una ushahidi wa hilo jambo pasipo mashaka
 
Mara kuna rafiki yako anakupa hizo habari mara pale chato nyumbani mara msukuma mbunge Geita mjini.Na ukasema Lowassa alijinyea stand Geita wakati aliondoka uwanjani kwa helkopter.Mbona kama choko flani wewe?Au unapigika paipu?

Anaonyesha anapigwa bomba huyo
 
Ama kweli mwaka huu huu mambo.Wafanyabiashara Mtwara tuliokubali kufunga maduka kila mtu amelipwa Mara 3 ya anachouza kwa siku.Hivi Lowassa anapata wapi pesa?

Wewe akulipe nani wakati kazi yako ni kusuka mitego ya panya?
 
Mnashinda mitandaoni mnadanganyanaaa weeeeeeee kuipata nafasi unaandika Kama mwehu tuu ,hivi Wewe unaijua Tanzania vizuri au unajiandikiaaaa tu u kila maharage

We gamba tulia hivyohivyo dawa ikuingie mwaka huu mtajutaaaaaaaa!"!!
 
Mnashinda mitandaoni mnadanganyanaaa weeeeeeee kuipata nafasi unaandika Kama mwehu tuu ,hivi Wewe unaijua Tanzania vizuri au unajiandikiaaaa tu u kila maharage

Hivi hapo umeandika kitu gani mbona kama amepita bata mzinga?😨👀
 
wanabodi kama ilivyo ada kesho mgombea urais kupitia cdm/ukawa mheshimiwa edward ngoyai lowasa anaingia mkoani mtwara na lindi kuifuta rasmi ccm na wana kusini wameahidi kutofungua maduka yao ili kuonyesha na kushiriki mapokezi ya aina yake kwa rais wao mtarajiwa.

akiweza kusuruhisha matatizo ya mtwara mjini na masasi...... Kweli jamaa atakuwa kidume!!!
 
Back
Top Bottom