shingwengwe
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 1,152
- 125
Yamewashinda ya Jimbo la Kalenga pamoja na kutumia helikopta kwa vile mikutano yao ilikuwa inajaa watoto kwa sasa wanataka wakakusanye watu angalau Iringa Mjini ili walete picha kwenye media mbali mbali kuonyesha kuwa wanakubarika Iringa.
Sera ya CHADEMA ya kuonyesha umati wa watu kama kigezo cha kukubalika imegonga mwamba katika Jimbo la Kalenga na wanachotaka ni kwenda Iringa Mjini ili kuifufua.
Nitashangaa sana kama picha za mkutano wao wa kesho Iringa Mjini hazitajaa kwenye media na hasa hapa Jf kwa sababu kujaza watu kwenye mikutano inayofanyika makao makuu ya mkoa siyo tatizo kwa vile mkutano ni sehemu ya leisure activities.
Huwezi kufanya maamuzi ya kibaguzi ndani ya chama na usalimike mbele ya Law of Karma. Law of Karma inakitafuna CHADEMA kwa sasa pole pole kama ilivyoonyesha kwenye chaguzi za madiwani tarehe 09/02/2014
Ulaghai wa kisiasa umeanza kufika mwisho.
kazi ya kalenga tumemaliza,Bi Grace anasubiri kuapishwa tu!!! mwingereza kwisha habari yake!!!!