Mbona Eid hii iko kwenye Calender, fungua calender ya simu utaona kuwa ni jumanneHuku naona mambo yamewaka misikitini
Je huko vipi?
Nakaziakesho kazi, IDI jumanne Mufti kishasema
Mwezi kuchomoza nikielezo kuwa mmeingia mwezi mpya wa zamani mmeumaliza...Sasa idd hii yenyewe inapatikana mwezi mwingine na sio mwezi ule wa Ramadhan kwa mwezi ndio kiashilio kikubwa kua mwezi imeisha umeingia mwezi mpyaHivi mwezi unamaana gani ktk sikukuu ya IDD?
Leo Aswar SunnaHuku naona mambo yamewaka misikitini
Je huko vipi?
Ni keshoHizi Sherehe za kubumba hiz zinachanganya sana watu, mpka sasa haijulikani kama ni kesho au ni kesho kutwa , kwa ufupi haijaeleweka

Wahusika ni nani?Wahusika wa Idd waweke precisely date banaa, hawako organized kabisa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app