Kero za NMB

Kero za NMB

bejamini

Senior Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
121
Reaction score
13
Nimefatilia mkopo wa wafanyakazi NMB Morogoro na kukamilisha masharti, cha kushangaza ni zaidi ya wiki moja imepita hawajanipa pesa. Sababu wanayoitoa ni eti mtandao unasumbua nchi nzima, how comes mtandao usumbue nchi nzima na hakuna wayout wanayoifanya / kuwaeleza wateja?

Suala hili limeniudhi sana, nawashangaa sana NMB na natafakari IT officers wa NMB wanafanya kazi gani? Yaani mkopo unakua kama ni kuprocess check??

Imenikera sana..
 
Nimefatilia mkopo wa wafanyakazi NMB Morogoro na kukamilisha masharti, cha kushangaza ni zaidi ya wiki moja imepita hawajanipa pesa. Sababu wanayoitoa ni eti mtandao unasumbua nchi nzima, how comes mtandao usumbue nchi nzima na hakuna wayout wanayoifanya / kuwaeleza wateja?

Suala hili limeniudhi sana, nawashangaa sana NMB na natafakari IT officers wa NMB wanafanya kazi gani? Yaani mkopo unakua kama ni kuprocess check??

Imenikera sana..



pole mkuu, hivi ukichukua ile form yao ukijaza unatakiwa upeleke kwa mwajiri na wapi tena. nmb usipowafwatilia wanakusumbua sana
 
Back
Top Bottom