Hapunguzi gharama hata kidogo ndiyo kwanza gharama imezidi mara 100 kwa mafuta ya zile gari zote ni kubwa kuluko kusafiri kwa ndege.
Mtoa mada muogope Mungu. Eleza ukweli. kutoka gairo hadi Moro ni SAA moja na nusu. Kutoka Moro hadi chalinze n saa moja. Jumla SAA mbili na nusu.
Hivi inawezekana nagari kusimamishwa kwa SAA mbili na nusu! Msafara upo gairo hata Wa moro mjini hafai kusimamishwa uje simamishwa wewe Wa chalinze!?
Tuache chuki za kisiasa. Tumuunge magufuli mkono akaijenge Tanzania mpya.
Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
We unapoteza mda kuwahi ye anapunguza matumizi ya serikali,two diffrent brains with different goals
Huu kwa kweli ni usumbufu kwa raia wema! Kuna sababu gani ya kutumia barabara na kusababisha raia waweke magari yao pembeni kupisha msafara wa Rais? Huu ni usumbufu uliopita kipimo! Hebu atumie ndege zake bwana! Sasa hivi tumesimamishwa hapa Chalinze eti tunapisha msafara ambao bado uko Gairo! Sasa fikria muda ambao raia watautumia mpaka apite hapa Chalinze! "HAPA MAIGIZO TU"
Sinasikia jamaa kakatazwa kupanda ndege na madaktali.
Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
Sinasikia jamaa kakatazwa kupanda ndege na madaktali.
Huu kwa kweli ni usumbufu kwa raia wema! Kuna sababu gani ya kutumia barabara na kusababisha raia waweke magari yao pembeni kupisha msafara wa Rais? Huu ni usumbufu uliopita kipimo! Hebu atumie ndege zake bwana! Sasa hivi tumesimamishwa hapa Chalinze eti tunapisha msafara ambao bado uko Gairo! Sasa fikria muda ambao raia watautumia mpaka apite hapa Chalinze! "HAPA MAIGIZO TU"