Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 654
- 1,208
Habari wana jamvi.
Jeshi la Magereza mkoa wa Iringa lina mradi wake wa fremu za maduka yaliyopo mkabala na hospitali ya mkoa kuzunguka apartment zao hao Magereza.
Kero kubwa iliyopo ni kitendo cha RPO Iringa kusumbua wapangaji wa maduka hayo hata usiku wa manane kudai kodi kama vile hakuwezi kukucha.
Hili jambo limekua kero na litakuja kuharibu ndoa za wapangaji wa jinsia ya kike.
Hivi kwanini asiache mkuu wa idara akashughurika na mradi yeye akawa anapokea tu taarifa?
Maana sasa imekua kero wapangaji hatuna raha vitisho kila dakika utadhani sisi ni wahalifu.
Atambue kua sisi ni raia na hatulazimiki kutii kila amri yake pasipo kuhoji na atambue kua unapoamua kufanya biashara na raia basi uwe kama raia.
Tunakuomba mkuu wa magereza Tanzania uliangalie hili kwa jicho la kipekee.
Ni sisi wafanya biashara wapangaji wa fremu zenu za maduka hapa Iringa.
Jeshi la Magereza mkoa wa Iringa lina mradi wake wa fremu za maduka yaliyopo mkabala na hospitali ya mkoa kuzunguka apartment zao hao Magereza.
Kero kubwa iliyopo ni kitendo cha RPO Iringa kusumbua wapangaji wa maduka hayo hata usiku wa manane kudai kodi kama vile hakuwezi kukucha.
Hili jambo limekua kero na litakuja kuharibu ndoa za wapangaji wa jinsia ya kike.
Hivi kwanini asiache mkuu wa idara akashughurika na mradi yeye akawa anapokea tu taarifa?
Maana sasa imekua kero wapangaji hatuna raha vitisho kila dakika utadhani sisi ni wahalifu.
Atambue kua sisi ni raia na hatulazimiki kutii kila amri yake pasipo kuhoji na atambue kua unapoamua kufanya biashara na raia basi uwe kama raia.
Tunakuomba mkuu wa magereza Tanzania uliangalie hili kwa jicho la kipekee.
Ni sisi wafanya biashara wapangaji wa fremu zenu za maduka hapa Iringa.