Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,077
- 3,607
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza, natokea Mpanda na kuingia stendi kwa basi la kampuni X muda wa kutoka tukazuiliwa na traffic polisi mweusi mrefu ambaye amelewa chakari ambaye alikuwa anatoa maelekezo ya hovyo na katukalisha kwa dk 40 bila sababu za msingi hii haipo poa pombe zake zinaharibia watu muda nilitamani nimchape makofi na hapa tumetoka muda huu naomba RPC, RTO Shinyanga waliangalie hili kwa jicho la 3 maana huyu askari anakwamisha uchumu kukua watu tunawahi kufanya mambo ya msingi kwa Taifa yeye anatukwamisha.
Nawasilisha
Nawasilisha