Kero kwenye hii Benki ya Equity

Mouse3

JF-Expert Member
Oct 29, 2013
1,421
1,241
Kwanza kabisa nimpongeze Mh.Raisi Magufuli na Mh.Waziri wa mali asili.

Mimi kama kijana mtanzania nimejiajiri kwenye hii sector. Ninaitangaza nchi yangu kwa hali na mali. Nimefanikiwa kushawishi wageni watembelee nchi yangu.

Kero kwenye hii bank ya equity, Leo wageni wamefika nataka nitoe hela nmlipe mbia wangu kwenyebiashara wao wanagoma! Wanaiomba documents mpaka za vyeti vya ndoa!

Wametoa copy za brella, tin number, card zangu za benki za visa, itineraries ya wageni, tax clearance certificate nimewakilisha ukiachilia mbali kunikalisha 4 hours ofisini kwao na kuwahi alfajiri lakini wakaniambia hatukupi hela.

Nina wageni 17 kutoka USA. Wote wameshafika na hawawezi kupanda mlima Kilimanjaro wala safari yao.

Nazungumza nao hapa wanashangaa mahawaamini kama bank inaweza kufanya hiki kwa brand ya Tanzania!

KWAKUWA MUNGU NI MWEMA NITAENDELEA KUTAFUTA MSAADA KWA MARAFIKI WANISAIDIE ILI JINA LA NCHI YANGU LISIHARIBIKE NA WAGENI WAWEZE KURUDI TENA!

Shukrani zangu kwa EQUITY BANK TANZANIA kwa mliyonifanyia! Ila sitachoka kuiuza nchi yangu nakushiriki kuujenga uchumi!

Ushauri - msimtishie mteja kuwa mtampiga mkigundua ni mwizi! Mimi sio mwizi ndio maana nimepewa dhamana ya hizo fedha za malipo halal ya serikali mlizozuia kunikomoa!

Fanyeni kazi kwa kujiamini na professional zaidi kuliko kukomoa kisa tu kunawenzenu wako ndani kwa makosa ya kibenki, kama mlivyo niambia!

Mnaharibu jina la nchi kama sio kuhujumu uchumi wa nchi yangu.

Mheshimiwa waziri naomba nitoe keep yangu
 
Umeaharibu ungeanza kwa Kusema wawekezaji wanaokubali nguvu ya Rais na kuja Tz wanakatishwa tamaa na Equity bank,

Ngoja nikaongee na Mr Collins Mukangu akizingua tunamrudisha Kenya
 
Umeaharibu ungeanza kwa Kusema wawekezaji wanaokubali nguvu ya Rais na kuja Tz wanakatishwa tamaa na Equity bank,

Ngoja nikaongee na Mr Collins Mukangu akizingua tunamrudisha Kenya
Aisee wacha tu ndugu yangu! Hapa naangalia jinsi ndoto yangu ya kuwa na group za watalii zinavyoyeyuka kwajinsi hawa wageni wanavyolalamika sijui wataenda kusema nini huko mpaka sasa watatu wameamua kwenda zao south Africa kwa gharama zao nyingine!
 
Equity bank wamepungukiwa maarifa na ufanisi kwenye kazi.

Mimi niliwapambanisha na Financial institution flani ya Cyprus baada ya mimi kutumiwa hela kwa njia ya Credit card, kumbe equity hawajui kuivuta hela iliyotumwa kwa credit card, wakaishia kuniambia nimetapeliwa.

Nilihangaika nao miezi mi 4, ikabidi niwaambie wale wa Cyprus kua mimi huku naambiwa nimetapeliwa ili kama ni kweli nipotezee tuu kuokoa muda. Wale jamaa wakamind kuitwa matapeli, wakawatafuta juu kwa juu. Nikashangaa napokea email yakuombwa radhi, nikapokea na txt yakunijuza confirmation ya muamala.

Wale wa Cyprus wakanijulisha kua benki walikua hawajui kuitrack hela iliyotumwa kwa credit card, hivyo waliomba msamaha na wakaomba kufundishwa.
 
Equity bank wamepungukiwa maarifa na ufanisi kwenye kazi.

Mimi niliwapambanisha na Financial institution flani ya Cyprus baada ya mimi kutumiwa hela kwa njia ya Credit card, kumbe equity hawajui kuivuta hela iliyotumwa kwa credit card, wakaishia kuniambia nimetapeliwa.

Nilihangaika nao miezi mi 4, ikabidi niwaambie wale wa Cyprus kua mimi huku naambiwa nimetapeliwa ili kama ni kweli nipotezee tuu kuokoa muda. Wale jamaa wakamind kuitwa matapeli, wakawatafuta juu kwa juu. Nikashangaa napokea email yakuombwa radhi, nikapokea na txt yakunijuza confirmation ya muamala.

Wale wa Cyprus wakanijulisha kua benki walikua hawajui kuitrack hela iliyotumwa kwa credit card, hivyo waliomba msamaha na wakaomba kufundishwa.
aseeee.
Tunasafari ndefu sana,nlitaka nchukue ile card ambayo si lazima uwe na account,kwa ushuhuda huu leme hold ma horses
 
Mimi hapa napambana hawa wageni walioniamini wakabaki waende safari! Nikirudi safari njia moja kumuona waziri kama sio mh.Rais magufuli sikubali kupata strock nikiwa bado kijana kwa vitu kama hivi
Wametoa sababu gani za kutokupa hizo fedha??

Sheria zilizowekwa na serikali ya awamu ya 5 zinawaweka kwenye wakati mgumu sana wenye bank hasa kwenye issue ya fedha za kigeni
 
Wametoa sababu gani za kutokupa hizo fedha??

Sheria zilizowekwa na serikali ya awamu ya 5 zinawaweka kwenye wakati mgumu sana wenye bank hasa kwenye issue ya fedha za kigeni
Kila walichotaka niliwapatia ila issue niliyojifunza hawa vijana hawana exposure ya kiutendaji kibenki! Alafu inaonekana wanajilinda zaidi kuliko kutoa huduma hii nimbaya sana katika biashara!
 
Bado hujasema sababu za wao kugoma kukupatia fedha
Sababu za hawa watu kutokunipa hizo fedha za malipo ya kuingia parks ni ukosefu ama uelewa wa mihamala ya kifedha hususani kimataifa! Nilituma nyingine kupitia CRDB BANK na zilifika na nikazipata! Namshukuru MUNGU kazi haikuharibika kwani nilifanya malipo ya parks zoote online kwa mtandao wa TANAPA na kwakutumia VISA card ile ile yakwangu ambayo hawa equity waliiona ni feki!
Ila kwa hawa wageni 16 from USA wameniahidi watawaonya ndugu na marafiki hata kupitia ubalozi wao kuwa hii equity bank is not a trust bank to secure your money or your business good impacts!
Na kwakila niliyezungumza naye kuhusu hili swala langu walikuwa wanasema hawa watu wanazungusha hiyo hela mahali kwa huu muda wanaokukwamisha and end of days wanirudishie!
"EQUITY BANK ARUSHA BRANCH IS NOT A PLACE TO SECURE YOUR MONEY FOR YOUR GOOD FUTURE"
 
Wametoa sababu gani za kutokupa hizo fedha??

Sheria zilizowekwa na serikali ya awamu ya 5 zinawaweka kwenye wakati mgumu sana wenye bank hasa kwenye issue ya fedha za kigeni
Inakuwaje sheria hizo hizo zinitendee haki CRDB alafu zininyime haki kwenye hii Equity bank!?
 
Ndugu, inakuwaje unaleta wageni 17 alafu unakuja kuwaweka mjini eti unasubiri kufanya miamala yako ya benki. Normally wageni hutafutwa na hulipa kabla ya safari ili uweze kufanya bookings za hotel, transport nk... Wala hupaswi kuwakalisha mjoni eti benki imegoma kutoa hela. Na kwa maelezo yako nahisi account yako ni shared account.
 
Mkuu mbona Equity wanaajitahidi sana...
Wewe itakuwa kuna mahali umekosea, weka maelezo vizuri! Kama CRDB wamekiuka taratibu kukupa pesa haimaanishi Equity nao wafanye hivyo!
 
bado sijamuelewa huyu jamaa,hayupo straight ana base katika kulalamika, hiyo bank ni kama vikoba tu
 
Mkuu mbona Equity wanaajitahidi sana...
Wewe itakuwa kuna mahali umekosea, weka maelezo vizuri! Kama CRDB wamekiuka taratibu kukupa pesa haimaanishi Equity nao wafanye hivyo!
Mimi ni mteja wa Equity Bank tangu wameingia TZ ,sijawahi kupata tatizo lolote na hao jamaa ni mmoja ya bank inayofanya vizuri sana kwa hapa Tanzania ndio maana namshangaa jamaa anavyolalamika inaonekana hakuelewana na staff aliowakuta
 
Ndugu, inakuwaje unaleta wageni 17 alafu unakuja kuwaweka mjini eti unasubiri kufanya miamala yako ya benki. Normally wageni hutafutwa na hulipa kabla ya safari ili uweze kufanya bookings za hotel, transport nk... Wala hupaswi kuwakalisha mjoni eti benki imegoma kutoa hela. Na kwa maelezo yako nahisi account yako ni shared account.
Wageni hawatafutwi nakuletwa mjini kuhifadhiwa! For your information hata hizo hotel nilishazilipia 4 months ago tena online! Niko kwe game ya tourism industry sincee 2000!!! Na waliomba ushahidi wa hizo invoices na receipts nikawapatia lakini wakagomea! Wakaomba itineraries nikawapa cha kushangaza wakaomba eti kitambulisho cha mimi kufanya kazi na agent huko marekani, nilistaajabu! Kilichobaki nihiyo parks fees tu so haikuwa nahaja yakutuma hela equity bank four months ago wakati hela Inafika Tanzania In two days! Nahata kama ni joint account tuliwapatia ushirikiano mpaka wa video calls kutoka kwa mbia wangu wakataa! Wakagoma pia kuongea na my abroad bank! Walikuwa wanania ovu! But let me reminding those guys this! NILIMUOMBA MUNGU AKANIFANIKISHA, MAKAPANGA KUNIANGAMIZA KIBIASHARA LAKINI, SIKU, SAA NA MUDA INAKUJA HUYU HUYU MUNGU ATAWAADHIBU HIYO SIKU WAKIWA WAMEJISAHAU!
 
Mkuu mbona Equity wanaajitahidi sana...
Wewe itakuwa kuna mahali umekosea, weka maelezo vizuri! Kama CRDB wamekiuka taratibu kukupa pesa haimaanishi Equity nao wafanye hivyo!
I think CRDB wako very professional na wako very aware na nini mteja wao anachofanya! Nilichojifunza kutoka CRDB wana ushirikiano mzuri na wateja wao! Anyway! Game is over! Nilichofanya nikuwahabarisha wanautalii wenzangu wawe makini na hii bank hususani hapa Arusha yasije yakawakuta kama yaliyonikuta ukaharibu future tena mbele ya wageni! Nisingekuwa na plan B ningechafua legacy niliyoijenga for over decade! But ninauhakika soon management itafanyia kazi!
 
Back
Top Bottom