Kero kwa Bank ya CRDB

Sio kukalili mkuu mimi nalipwa kwa kupitia CRDB ,Nikishauza bidhaa kwa kampuni X na ndo wanatumia CRDB kufanya miamala yao nilijaribu kuwaomba nitumie bank nyingine wakasema haiwezekani hivi inabidi nikomae nao sasa shida ndo inapokuja.
 
Dah pole sana mkuu
 
Sio kukalili mkuu mimi nalipwa kwa kupitia CRDB ,Nikishauza bidhaa kwa kampuni X na ndo wanatumia CRDB kufanya miamala yao nilijaribu kuwaomba nitumie bank nyingine wakasema haiwezekani hivi inabidi nikomae nao sasa shida ndo inapokuja.
Okay kama ni hivyo ukishalipwa usiache pesa ibaki CRDB ukipokea tu malipo hamisha chap.
Lakini mimi nina Akaunti 3,moja Stanbic,ya pili NBC na ya tatu ni CRDB
NA hizi zote tatu ni Current account(Akaunti za biashara) na sijawahi kupata hizo changamoto.
Kama wewe ni mfanyabiashara na ulifungua Saving Account kabadilishe ufungue Current Account hii haina makato ya hovyohovyo.
 
Amia Azania sure you will enjoy
 
waizi sana crdb
 
Yani kwamba nikae niandike andiko ambalo linahitaji uhalali wako aisee pole sana siwezi kukuwekea amount wanaotumia au waliotumia wanaelewa ninachomaanisha.

Kwa mfano umepokea 100m, ukakatwa 5000 nafikiri utakuwa Mpumbavu ukilalamika, lakini kama umepokea 50,000 ukakatwa 5000 unaweza lalamika!

Ni kwamba tu una asili ya ubishi wa Kipumbavu na huna Malengo uli po post malalamiko yako!
 
Ulipofungua acc yako bank ulichagua saving au current kuna moja inakula pesa yako moja haili unatunziwa
 
Kwa nini Simbanking inasumbua?. Pia CRDB naona kama wanalazimisha kuwa kila mteja sharti ajiunge na simbanking. Hii ni kwa sababu gani?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…