MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Kulikuwa na mshikeshike wa DECI na watu walipanda mbegu kusubiria kuvuna baada ya muda mfupu
Watuhumiwa walishikwa na Account zao zikagandishwa,
Ipo wapi ile pesa ya DECI na watuhumiwa hatima yao nini??
Changa la macho tayari nini?
Kwa wanaokumbuka hili wachangie
Watuhumiwa walishikwa na Account zao zikagandishwa,
Ipo wapi ile pesa ya DECI na watuhumiwa hatima yao nini??
Changa la macho tayari nini?
Kwa wanaokumbuka hili wachangie