Kenya's Vice President says: 'East Africa still needs Kikwete'. ?!?*

Typical tanzanians, too many words and no actions. You guys well and good know that kikwete and ccm will win and win big wether you guys like it or not!!!

Kalonzo was just stating the obvious, kikwete will be the president of tanzania for thenext five years.
 
...!!!! Kalonzo Musyoka, kenyans they hate him, ni kibaraka wa kibaki, kama wakenya hawampendi inakuaje ana toa comment Jk achaguliwe, who the hell is he.? anajua Dr Slaa ni Genius, akiingia ikulu watapata hasara, wakenya wanatuona ss wajinga nini? washamwona JK mteremko, kilaza, ...........asiseme kitu arudi kwao shiit..!!!!!
 
kama kuna mtu yeyote aliyekuwa na shaka kuhusu kumuondoa kikwete jibu lako hilo hapo ,if you are doing something and kenyans tell you dont ,you are doing the right thing keep on doing it,they can go to hell if they need him we will be happy to exchange him for a stamp
 
Typical tanzanians, too many words and no actions. You guys well and good know that kikwete and ccm will win and win big wether you guys like it or not!!!

Kalonzo was just stating the obvious, kikwete will be the president of tanzania for thenext five years.

it if it is true that East Africans need Kikwete sana.. why not asking Raila or Kibaki to resign so that Kenya will have Kikwete as its president and therefore provide East Africa with a man who is needed that much? Or Musyoka himself should resign to give room for Kikwete.
 
Kama Wakenya wanamhitaji Kikwete tutampa ubalozi Nairobi. Hafai kuitawala Tanzania.
 
We don't want corrupt leaders in EA.

Kikwete will never get elected back because of whistle blowers like Musyoka. We understand Kenyan leaders are the best when it comes to curruption. Let Kilonzo himself vote for Kikwete, not Tanzanians.
 
it if it is true that East Africans need Kikwete sana.. why not asking Raila or Kibaki to resign so that Kenya will have Kikwete as its president and therefore provide East Africa with a man who is needed that much? Or Musyoka himself should resign to give room for Kikwete.

Comments from a true member of Great thinkers.
 
..WHAAT!!!

..hebu fikiria Makamu wa Raisi wa Tanzania, au nchi yoyote ile, aende Kenya na kutoa matamshi ya namna hiyo. nakuhakikishia pangechimbika!!

..kuna mambo mawili: ama, Kalonzo Musyoka hana akili timamu, au labda anatuona wa-Tanzania ni misukule, na anaweza kuja nchini kwetu na kusema jambo lolote lile na sisi tutaitikia, tawire, au hewala.

..nashangaa Wizara ya Mambo ya Nje haijatoa tamko la kuikataa kauli hiyo kidiplomasia na kiuungwana.

..nashangaa pia vyombo vya habari vya Tanzania vimekaa kimya kuhusu suala hili.

They need kikwete more like we needed Daniel Toroitich Arap Moi.....and like we need Raila Odinga for Kenya IN 2012 than him..where was he to make some noise when Migingo was taken out from Kenya...
 
Typical tanzanians, too many words and no actions. You guys well and good know that kikwete and ccm will win and win big wether you guys like it or not!!!

Kalonzo was just stating the obvious, kikwete will be the president of tanzania for thenext five years.

dude, you too, wrote too many words, so na wewe ni mtanzania. Kalonzo did not state the facts, he was saying what JK asked him to say. JK ni wa kuogopa jamani, he is using every lifeline remained to win the election. Kalonzo kusema hivyo ni kuwakosea Watanzania heshima. Watanzania wana akili ya kuchagua kiongozi wanayemtaka, so do Kenyans, only Odinga alichakachuliwa na wapuuzi kama Kalonzo.Nadhani we know what kind of friends JK has, sasa kama ndio kina Kalonzo, well i have nothing else to say guys
 
ebo! kwani sisi tunachagua Raisi wa EAc? sisi tunachagua raisi wa tanzania, wewe nenda ukawauze wakamba kama watakukubali tena.
 
Hilo ni kosa kubwa sana Kimataifa,na ni kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine hususani kipindi ambacho ni tete.Ameidhalilisha serikali ya Kenya kwa matamshi yake.
Serikali ya Kenya inabidi imchukulie hatua za kinidhamu maana ameitia doa.
Pili nategemea Tamko la serikali ya Tanzania kukemea kitendo hicho.
Kwa jinsi hii imedhihirisha kuwa Kenya haitakii Tanzania mema,ni majirani wenye shari.Kenya imejiweka katika mazingira magumu ya kufanya kazi na Tanzania iwapo serikali inayokuja itaongozwa na Dr.Slaa.

Mwisho kama vyombo husika havitatoa kauli basi namuomba mheshimiwa Rais mtarajiwa Dr.Slaa atoe tamko kali kukemea kitendo hicho maana ni choko choko za wazi kwa Watanzania,na aueleze umma wa watanzania jinsi serikali ya kikwete ilivyolikalia kimya suala hatari kama hilo.
 
Ni nani asie mjua Kalonzo msyoka,Mnafiki,mkabila,mwizi na mbumbumbu mkubwa,how in hell unaeza kuja kufanya kampeni hapa kwetu.Kafie mbali huko. SISI tunajua tunalofanya mbona nyie mlishindwa mkauana sasa unataka nini tena? jiunge na CCM sasa upambane na makamanda mjinga mkubwa wewe.
 
Amempalia Jk makaa,maana hata wale ambao walikuwa na nia ya kumpigia kura Kikwete hawatampa.
 
Ni kosa kubwa kwa VP kutembelea nchi iliyoko kwenye kampeni za uchaguzi na kumkampenia mtu. Hajui hilo? Kataja JK ni personal friend, lakini alikuwa anazungumza kama VP wa Kenya. Nadhani wamwachishe kazi, hawezi!

Be that as it may, but if it is true that some East Africans need Kikwete then they can have him. We are not going to annihilate him. They can use him in any capacity they wish, but they cannot have "their" president in Tanzania.

We Tanzanians have had Kikwete for five years and we don't like it. We are extremely tired of him. In fact, we have had his party for a whole fifty years and we have nothing to show for it. We want a change of ruling parties. Just like Kenya did. So Mr Musyoke, stay out of our politics. We don't like your friend, and now we don't like you too.

Mkuu Augustine Moshi umepotea sana karibu sana naona unasoma tu sikuhizi.
 
Kalonzo kwanza mmemaliza kesi inahusiana na mauaji yaliyotokana na uchaguzi wenu HUKO Nyayo?

Baado hujatoa ushirikiano wako huko THE HAGUE!

Asitake kutuambukiza virusi vilivyowakumba kwao wakati wa uchaguzi hii ni TZ yenye kujali DEMOKRASIA, NAKUOMBA UFATE TARATIBU KAMA WAANGALIZI WENGINE WA KIMATAIFA.

Kama tunamhitaji Bw JK si tutampa UUNANI kwa EA.
 
Kalonzo Musokya kwanza ni msaliti wa orange democratic movement (ODM) lakini pia amekuwa masaliti wa chama chake pale aliposimama kama mgombea uraisi na alipoona hana uwezo wa kushinda alijipendekeza kwa siri kwa Mwai Kibaki ili ampe umakamu.

Nadhani huyu ni zuzu na ana tamaa kwelikweli. Fikiria tanzanite inapatikana Tanzania pekeee lakini Africa kusini na Kenya zinaongoza kwa kuuza tanzanite duniani! Lazima amtetee zuzu mwenzake anayegawa madini bure na hajui kwa nini watanzania ni maskini.

Jibu ya haya ni yule kichwa wetu (Dr.Slaa) ambaye mafisadi wa Kenya wanaanza kumuogopa.
 
Musyoka smthn went wrong btn his ears! Not only papety but currupty of highest level. I think we should not waste our goldern bites to thread for corrupt and unethical statement from a cheap mind.

I don't remember or even believe he's clever and decent enough to hv a strong poll for Tanzanian's thirst for uncurable probs after 5 decades of independece.

I'm not only conviced to ignore his exellence nonsence statement! But I doubt intetion and karisma behind such undeplomatic statement.

This kind of leaders need to be purnished like how Tarime did to Mtikila. B'se they try to capitalise peoples probs,they believe they can only think for others.

I hate you Musyoka!
 
kalonzo musyoka ndie aliyewasaliti wapinzani wenzake KENYA ili apate umakamu wa rais wakati KIBAKI alipochakachua hivyo huyu Bwana si wa kusikilizwa na wapenda demokrasia EAST AFRICA.

PILI wakenya ni wajanja sana wameshambaini JK ni mwepesi wa hoja na si mtetezi wa maslai ya Taifa lake TANZANIA kifupi yeye ni muwekezaji pale IKULU na ajui mpaka sasa KWA NINI TANZANIA NI MASKINI NA NINI KIFANYIKE KUONDOA UMASKINI HUO. Hivyo uwepo wa JK ikulu ya Tanzania NI NAFUU SANA KWA WAKENYA ktk kutafuna Rasilimali za TANZANIA kwa mwamvuli wa EAST AFRICA.

Kwa WAKENYA hoja ya MUSYOKA ni ya kuungwa mkono lakini kw WATANZANIA ni ya kulaaniwa na ikiwezekana huyu mtu afutiwe haki ya kukanyaga TANZANIA japokuwa wote tupo EAST AFRICA lakini adhabu hiyo iwe kwa KIBARAKA MUSYOKA tu
 
Back
Top Bottom