wenzetu wakiingia mitaani wanapata wanachotaka serikalini, hivi watanzania tuweze kubadilisha tactics za ku-protest na cdm jifunzeni nchi zingine anything is possible
Majibu umejipa mwenyewe...tatizo ni hilo la kutegema chama fulani kianzishe protest..wakenya hawangoji ODM wala KANU kuanzisha maandamano, wanayaanzisha wenyewe.
Sasa wewe unataka CHADEMA wajifunze, afu hapo hapo unasema watanzania tubadilishe tactics!!! Jambo la kujifunza hapa ni kwa mimi, wewe, yule, wale na watanzania kwa ujumla kutosubiri chama ndio kianzishe maandamano ya kudai madai yetu mbalimbali...maandamano ni haki yetu ya kikatiba...yaani tunakua kama hali ngumu ya maisha hatuioni mpaka CHADEMA ndio waseme na kulianzisha?!?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.