Acha utoto wewe. Kwa hiyo wakisema hivyo ndio wamemuhamishia Kenya? Mnapotoa mapovu kama haya kwa issue ndogo tu tena ya utani mnatuabisha wenzenu bwana.Utan wap kenya ndio zao kila kitu kizuri cha TZ ni chao...
Kenyans ur soo selfish ni wachoyo wa kutupwa huo ndio ukweliAcha utoto wewe. Kwa hiyo wakisema hivyo ndio wamemuhamishia Kenya? Mnapotoa mapovu kama haya kwa issue ndogo tu tena ya utani mnatuabisha wenzenu bwana.