kenyans and their mistrusted hypocritical behavior

Khaligraph the OG. Nani kama yeye. Hatuwezi mfungia nyimbo kwa vitu za kipuuzi...............mtajua ni mazishi.
 
LOL sasa unamfundisha mtanzania maana ya kupiga miti? Hilo neno nimeanza kulisikia from the my beginning inaonekana Kenya limepata umaarufu recently

Miti maana yake kwa kiswahili cha kihuni ni trees (dicks)
Your beginning? Ilikuwa lini hiyo, ulipoamka leo asubuhi au?
 
Khaligraph the OG. Nani kama yeye. Hatuwezi mfungia nyimbo kwa vitu za kipuuzi...............mtajua ni mazishi.
kwa hili hata mimi naku-support.

i have no issues with the music that's performed by kenyan artists.

"nakuja kukupiga miti".
 
Wololo yaye. Hii ni uchafu gani sasa. Unawezaje linganisha hii wimbo iliyojaa tabia mbaya na wimbo wa Diamond ambayo haikuwa na uchafu mwingi. There is no hypocrisy, hii wimbo ni chafu, period. Shetani ashindwe, Riiswaaa, fukuza mapepo yote.
 
Shindwe Saitan. Hii ni uchafu gani sasa. Unawezaje linganisha hii wimbo iliyojaa tabia mbaya na wimbo wa Diamond ambayo haikuwa na uchafu mwingi. There is no hypocrisy, hii wimbo ni chafu, period. Shetani ashindwe, Riiswaaa, fukuza mapepo yote.
acha wivu...khaligraph is on fire bro.
 
Namtambua Khaligraph sana. My number one artist. Hiyo nyimbo iko sawa. Wanaopinga sikubaliani nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…