tangu jana wanamshambulia sana kwa maneno huko instagram. ikabidi jamaa aiondoe ile video.yaani hakuna talent huko Kenya yaani kavukavu anamwambia demu "anataka kumpiga miti"! at least Diamond na Rayvann waliweka tafsida "nyege-zi"! hii naita double standard ya hawa jamaa!
hahahaha.... hatari sana.
lack of creativity inaitwa kutembelea nyota wameona Mwaza ina views zaidi ya 7 mln in a month jamaa kaja na "nataka kukupiga miti"!hahahaha.... hatari sana.
nakuja kukupiga miti... punguza povu. [emoji23][emoji23][emoji23]Nyuzi kama hizi za kitoto ndio zimeshusha hadhi ya jukwaa hili. Yaani ni umbea umbea tu. Wakenya walikubali lini 'mashairi yote' kama unavoyaita, ya huo wimbo wa Diamond? Kilichopingwa vikali na wakenya ni Diamond kupigwa marufuku kuperform, hata nje ya nchi ya Tz. Alafu hayo ya ardhi umeyataja ndio iweje sasa?
WTF? This nigga gay! Enda mkapigane miti na maboflo wenzako.nakuja kukupiga miti... punguza povu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Inabidi uupige miti mdomo wake pia aache kelele!nakuja.... [emoji16][emoji16][emoji16]
acha kucatch mafeelings..
Two old gay geezers. Kupiga miti ni sheng, inamaanisha kurarua punani sio huo ushetani wenu.Inabidi uupige miti mdomo wake pia aache kelele!
nakuja.... [emoji16][emoji16][emoji16]
acha kucatch mafeelings..
heading English alafu unatuambia story refu ya ufala na Kiswali..kama hujui kingereza cheza chini kaka blazabila shaka mnakumbuka tukio la baraza la sanaa nchini tanzania(basata) kufungia wimbo wa nyegezi ulioimbwa na mwanamziki rayvanny ft diamond platnumz.
basata imewapiga marufuku diamond platnumz na rayvanny kutoimba wimbo wa nyegezi mahali popote pale wanapo tumbuiza kutokana mashahiri yake kutozingatia maadili.
baada ya siku chache, mamlaka ya kenya inayohusika na ku control maudhui ya kazi za sanaa ikatoa tamko la kuutambua wimbo huo na kudai kwamba mashahiri yake hayana shida yoyote.
kwa maana hiyo diamond platnumz na rayvanny wapo huru kuuimba kwenye majukwaa ya kenya kama walivofanya hivi karibuni kwenye tamasha lao sikukuu za mwisho wa mwaka.
jana mwanamziki wa kenya khaligraph jones ambaye binafsi huwa nakubali sana ngoma zake, alipost video fupi kwenye ukurasa wake wa instagram ikimuonyesha akimuimbia mtangazaji wa tv betty kyallo mashairi ya wimbo wake wa "nataka kukupiga miti".
wakenya walewale waliodai wimbo wa nyegezi hauna shida yoyote, wame react kwa hasira kumlaumu khaligraph jones kwamba mashahiri ya wimbo wake wa "nataka kukupiga miti" hayana maadili.
kwa kweli huu ni unafiki wa hali ya juu sana.
tafadhali wakenya, mwacheni khaligraph jones afanye kazi yake. mkiendelea kumsumbua, tutamshawi ahamie tanzania.
huwa hatushwindwi kitu.
na kwa kuonyesha jeuri, tutamkabidhi 100 hectares of land for free ili afanye investment yoyote ile atakayojisikia.
tunajua moja ya kero kubwa miongoni mwa wakenya ni ukosefu wa ardhi kutokana na ardhi kubwa kunyakuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara wachache.
View attachment 991903View attachment 991904
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]dunno what the fuss is all about here but one thing for sure, Khaligraph hakushurutishwa na tawi lolote la serikali nchini Kenya (KFCB) kama ilivyokuwa Tz (BASATA) kuuondoa wimbo huo kwenye IG yake au hata platform yoyote. he just experienced the fans wrath.
Yenyewe lakini those lyrics are so PG rated na hakuna radio station inayoweza kuucheza huo wimbo nchini Kenya.
makosa ya pili ni huyo bi dada ku-blush na kuonekana kupendezwa na hayo matamshi machafu ya huo wimbo ilhali yeye ni public figure, na mama na pia ni role model kwa watoto wengi wa kike.
bila shaka mnakumbuka tukio la baraza la sanaa nchini tanzania(basata) kufungia wimbo wa nyegezi ulioimbwa na mwanamziki rayvanny ft diamond platnumz.
basata imewapiga marufuku diamond platnumz na rayvanny kutoimba wimbo wa nyegezi mahali popote pale wanapo tumbuiza kutokana mashahiri yake kutozingatia maadili.
baada ya siku chache, mamlaka ya kenya inayohusika na ku control maudhui ya kazi za sanaa ikatoa tamko la kuutambua wimbo huo na kudai kwamba mashahiri yake hayana shida yoyote.
kwa maana hiyo diamond platnumz na rayvanny wapo huru kuuimba kwenye majukwaa ya kenya kama walivofanya hivi karibuni kwenye tamasha lao sikukuu za mwisho wa mwaka.
jana mwanamziki wa kenya khaligraph jones ambaye binafsi huwa nakubali sana ngoma zake, alipost video fupi kwenye ukurasa wake wa instagram ikimuonyesha akimuimbia mtangazaji wa tv betty kyallo mashairi ya wimbo wake wa "nataka kukupiga miti".
wakenya walewale waliodai wimbo wa nyegezi hauna shida yoyote, wame react kwa hasira kumlaumu khaligraph jones kwamba mashahiri ya wimbo wake wa "nataka kukupiga miti" hayana maadili.
kwa kweli huu ni unafiki wa hali ya juu sana.
tafadhali wakenya, mwacheni khaligraph jones afanye kazi yake. mkiendelea kumsumbua, tutamshawi ahamie tanzania.
huwa hatushwindwi kitu.
na kwa kuonyesha jeuri, tutamkabidhi 100 hectares of land for free ili afanye investment yoyote ile atakayojisikia.
tunajua moja ya kero kubwa miongoni mwa wakenya ni ukosefu wa ardhi kutokana na ardhi kubwa kunyakuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara wachache.
View attachment 991903View attachment 991904