Kenyan media voice curiosity over JK, Obama meeting

rubbish...kuna mwananchi wa Tandahimba anafaidika na hizi habari?? tunataka maendeleo kwa watu na si kwa vitu..hata kimtembelea Osama, to me its just a mere visit..
 
=mkereme;467156]
Wewe Darkcity!

Acha ushamba huyo Vasco da Gama wenu Jakaya Mrisho Kikwete aka Matonya huwezi kujivuna kwamba yeye ni wa kwanza from Africa kwenda kumwona Hussein Obama this is ribbish and bullshit!


Mwanzoni sikutaka kukujibu ila kwa sababu majibu yako yamelenga kutukana nimebadili mawazo.Hakuna mahali popote katika post yangu nimejivunia au kushangilia kwamba JK amekuwa Rais wa kwanza toka Africa kuonana na Obama. Nimejaribu kutoa maoni yangu kuhusu hii tabia ya watu wengi wa Ke (naamini siyo wote) kutaka kuwa wa kwanza katika kila kitu. Sikujaribu kutukana mtu kama ulivyofanya wewe na kwa hiyo sina nafasi ya kujibu matusi yako hapo juu. Nawaachia wachangiaji wengine waamue kama ulistahili kunitukana. Pia sikuwa na nia ya kuongelea ziara ya JK huko US na kama ni omba omba au la. Ipo post inaongelea hayo na mimi sishabikii hata kidogo upuuzi wa ziara zisizo na mpango. Hata hivyo umeingia kwa gia ya kuonesha kuwa hauna ustaarabu na kwa hiyo wewe ni miongoni mwa watu wasiotakiwa hapa JF!
My friends from Kenya do you see how hawa wa TZ walivyo wapuuzi! How can you be proud of a president turning his rich country into ombaomba!!

Hivi kama sisi ni wapuuzi nyie Wakenya mtapewa jina gani kwa kuchinjana kama kuku kwa ajili ya upuuzi wa kuiba kura na kugombania madaraka? Naamini mnayo macho ya kuona ya wenzenu ila msichukie na wezenu wakiona yanayowasibu. Dunia ndivyo ilivyo!
Huo msaada anokwenda kuomba huko states is just a peanut!

Pesa za dhahabu ya Barrick Gold wanazouza kwa mwaka its more than his annual budget and due to his stupidity anasema TZ is poor ? Who told him? Pesa za Millenium Challenge about the same amount ya tax evasion by maswahiba wake wakubwa Rostam Aziz na Subash Patel!

Komeni kujivunia ujinga kama yeye ni wa kwanza je Madam Michelle ni wa ngapi?

Sina maoni zaidi ya kile nilichosema hapo juu. Nakushauri ukae na wenzio mjifunze kusikiliza na kuvumilia kile msichokipenda. Vinginevyo msubiri maumivu zaidi. Nina imani ile hali mliofurahia wakati sisi tunajenga jamii ya wastaarabu hamtaendelea kuiona. Uvumilivu ni muhimu vinginevyo muunde shirikisho na Somalia badala ya kutubebea matizo kwenye EAC!!
 
Last edited:
zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz............ jamaa akipeleka bakuli ngambo, mwampa hongera, makuu hayo.. kusema kweli ni wakati wenyu wakuzungusha bakuli, haya, yaja lini huku kwetu tuwape mapeni pia sisi,ingawa tuna shida.

Dark city, mambo ya kilimanjaro ya kukera kweli!! Hebu jiulize imewachukua miaka ngapi mkipiga domo ati twajaribu kuchukua kilimanjaro, na hamfanyi chochote? Miaka mingi tu! Mwajua mlima uko Tizedi, all you need to do is market the Mountain to favour your tourism, its not rocket science, uswahili hausaidii.

Smatta,

Umerukia treni kwa mbele. Hii mada haijadili kama JK kaenda kuomba au la. Inajadili maoni ya media ya Kenya kuhusu mkutano wa JK na Obama. Kama unataka tuanze kutukanana basi tunaweza ila sisi hatukulelewa hivyo kama wanaharamu. Hebu kwanza tueleze hii hapa chini ilikuwa na maana gani?

’’Today, Kikwete still occupies that special and envious place in the eyes of American leadership,’’ said The Sunday Standard.

Kama huna jibu kaa kimya. TZ ni wastaarabu na hatupendi shari na upuuzi wa Mungiki. Hatuna muda na mapanga na jambia. Leta tu hoja au soma uondoke.
 
Dark city.
Wewe ni **** nini? Watanzania wenzako wanakujibu and then you are talking as if ni Kenyans ndio wamesema maneno hayo.. Grow up, na uache kujifanya vile wewe ni mstaarabu na una fitina zisizo na msingi.. Go vent that anger on something else, dude, get laid or something.

Your post has shown your inability to grasp issues, I am starting to doubt whether you know what you have posted in the first place.
 
Dark city.
Wewe ni **** nini? Watanzania wenzako wanakujibu and then you are talking as if ni Kenyans ndio wamesema maneno hayo.. Grow up, na uache kujifanya vile wewe ni mstaarabu na una fitina zisizo na msingi.. Go vent that anger on something else, dude, get laid or something.

Your post has shown your inability to grasp issues, I am starting to doubt whether you know what you have posted in the first place.

Kama bado unasimama kwenye matusi basi sina jina la kukupa. Hata kama kuna Watanzania wamenijibu, mimi nimeongelea upuuzi wako ulioandika. Na pia nimejibu wale wote waliojaribu kuchanganya mada ukiwemo wewe hapo. Sasa kama unakimbilia matusi badala ya hoja basi huna maana na sina muda wa kupoteza. Unaweza kuendelea ingawa hilo ndilo jambo la hatari sana na linalonifanya nishindwe kukutofautisha na maharamia wa Kisomali.
 
Mzazi wangu mmoja ni mkenya Mwingine ni mmoroco mimi Ni mzaliwa wa Uganda Naiishi Tanzania mpo Hapo?
Nachotaka kusema nini kitu gani kinachowauma hao watani wenu? kwani haukuanza leo? nayo rekodi yote tokea JK alipoenda kuonana na GWB huko Washington 2006 media ya kenya iliripoti vibaya vibaya vibaya ziara hiyo sasa ni bado hawa majirani zetu wote nyie na sisi waganda tu wamekuwa wakikereka hasa huyu JKanapotembelea USA tu ila nchi nyingine hawasemi kweli tunaweza kuunda umoja wa jumuiya ya afrika mashariki kama hawa wenzetu wanawivu kiasi wanashindwa kuwa na hata chembe ya aibu? poleni saaana pole ndugu zetu ila kumbukeni mlipokuwa mnachinjana huyu bwana ndie alikuja kwapatanisha leo mnamwita Vasco da gamma ila alipkuja kuwapatanisha alikuwa mwanyekiti wa AU si ndio?
yaani ujinga mpaka nasikia harufu ya kamongo inanipalia pumbavukweli watu wengine akili zao ndio maana hata kwenda jando kwao imekuwa ni dhambi eti bado wanaishi katika karne hii mnahendekeza ukabila dunia ya leo bado unamhesabu asie wa kabila lako ni adui wanyama nyie mahayawani wakubwa
 
Smatta,

Umerukia treni kwa mbele. Hii mada haijadili kama JK kaenda kuomba au la. Inajadili maoni ya media ya Kenya kuhusu mkutano wa JK na Obama. Kama unataka tuanze kutukanana basi tunaweza ila sisi hatukulelewa hivyo kama wanaharamu. Hebu kwanza tueleze hii hapa chini ilikuwa na maana gani?



Kama huna jibu kaa kimya. TZ ni wastaarabu na hatupendi shari na upuuzi wa Mungiki. Hatuna muda na mapanga na jambia. Leta tu hoja au soma uondoke.

You cant tell me what to do son, I will comment on anything in any way which fits my liking.

You have attached that note, saying that JK is in an envious position with BHO, that puts to test your intelligence.. if you think that being in an envious position means that people wanakuonea uwivu, yo really have a long way to go.

One thing I have noted about you Dark city is that, your heart not your brain dictates what you post here, quit catching feelings, we are discussing things which are affecting people across borders, like the habbit of African leaders begging for funds, which will eventually benefit them and their croonies and not the poor mwananchi he used to solicit for the donor fund.

SMATTA HAENDI KOKOTE, NIPO NIPO SANA.. DO SOMETHING ABOUT IT.
 
Siku nyingine kama huna cha kuongea ukae KIMYA, sawa?

Wewe Darkcity!

Acha ushamba huyo Vasco da Gama wenu Jakaya Mrisho Kikwete aka Matonya huwezi kujivuna kwamba yeye ni wa kwanza from Africa kwenda kumwona Hussein Obama this is ribbish and bullshit!

My friends from Kenya do you see how hawa wa TZ walivyo wapuuzi! How can you be proud of a president turning his rich country into ombaomba!!

Huo msaada anokwenda kuomba huko states is just a peanut!

Pesa za dhahabu ya Barrick Gold wanazouza kwa mwaka its more than his annual budget and due to his stupidity anasema TZ is poor ? Who told him? Pesa za Millenium Challenge about the same amount ya tax evasion by maswahiba wake wakubwa Rostam Aziz na Subash Patel!

Komeni kujivunia ujinga kama yeye ni wa kwanza je Madam Michelle ni wa ngapi?
 
You cant tell me what to do son, I will comment on anything in any way which fits my liking.

You have attached that note, saying that JK is in an envious position with BHO, that puts to test your intelligence.. if you think that being in an envious position means that people wanakuonea uwivu, yo really have a long way to go.

One thing I have noted about you Dark city is that, your heart not your brain dictates what you post here, quit catching feelings, we are discussing things which are affecting people across borders, like the habbit of African leaders begging for funds, which will eventually benefit them and their croonies and not the poor mwananchi he used to solicit for the donor fund.

SMATTA HAENDI KOKOTE, NIPO NIPO SANA.. DO SOMETHING ABOUT IT.

Kweli NYANI HAONI KUNDULE, nahisi wewe ndio ungejiambia hivyo na sio DC.
 
Huu mjadala umeshapoteza direction na wala hauna tija..Kenya na TZ damu damu na tunategemeana kwa mengi tu, Umasikini ni gonjwa la Afrika na akina matonya wamejaa karibu kila kona ya Afrika ya bara hili....ujanja ni kubishania solutions siyo problems.
 
Hivi wakenya hawakumbuki hata wakati wa machafuko ya uchaguzi wao mwaka jana... Viongozi wenye milengo yote ya kenya walikuja Tanzania kuomba ushauri. alikuja wa Kibaki kwa kikwete na pia alikuja wa Raila kwa Kikwete.

Walikuja kufanya nini kama Tanzania si kisiwa cha busara? hata katika masuala mazito ya Afrika, The Bushes, The Clints and the Obs wanaanzia Tanzania.

Tatizo liko wapi nyie wakenya...? Acheni kiburi ya 'Per Capita Income!!!'
 
Hawa ma nyan'gau wanasema nini? The truth is, the EAC cant work, not for along time. Nchi inagombaniwa na watu wawili mpaka wanalostisha watu wao.. The only way to deal with dogs is to put a leash on them if they are calm and shoot them when they have rabis.. Ngoja niingie IKULU..lol

But seriously, sioni tatizo hapa ni nini. Hakuna chochote cha maana ambacho Tanzania itapata kutoka marekani, ni yale yale tuu. The real interest has neve been tz or ke, its DRC and Sudan... Even the secret war in the Horn of Africa is about that.. Energy-China-Yankees... Kikwete anakuwa probed as a potential tool, Kibaki and the rest of his idiot opponents wameonekana wako too contraversial na wanatishia interests za marekani kwa kuaribu utaratibu.. Hii relationship kati ya marekani na hivi vi nchi vyetu nikama peadophelia tuu.. wanataka kututumia kwasababu sisi watoto..lol.. so If kenya wants to be the main ***** then by all means... tuwaachie..lol

P.S Kikwete nae anamatatizo... anaongeza popularity yake na ya Tanzania lakini hafikirii matatizo yatakayotokea znz next year yatakuwa na effect gani kwa hiyo image yake... lakini its by all means better than our Mungiki-neighbours and their self-mutilation, surpassed only by the Rwandans...lol
 
Last edited by a moderator:
Hawa ma nyan'gau wanasema nini? The truth is, the EAC cant work, not for along time. Nchi inagombaniwa na watu wawili mpaka wanalostisha watu wao.. The only way to deal with dogs is to put a leash on them if they are calm and shoot them when they have rabis.. Ngoja niingie IKULU..lol

But seriously, sioni tatizo hapa ni nini. Hakuna chochote cha maana ambacho Tanzania itapata kutoka marekani, ni yale yale tuu. The real interest has neve been tz or ke, its DRC and Sudan... Even the secret war in the Horn of Africa is about that.. Energy-China-Yankees... Kikwete anakuwa probed as a potential tool, Kibaki and the rest of his idiot opponents wameonekana wako too contraversial na wanatishia interests za marekani kwa kuaribu utaratibu.. Hii relationship kati ya marekani na hivi vi nchi vyetu nikama peadophelia tuu.. wanataka kututumia kwasababu sisi watoto..lol.. so If kenya wants to be the main ***** then by all means... tuwaachie..lol

P.S Kikwete nae anamatatizo... anaongeza popularity yake na ya Tanzania lakini hafikirii matatizo yatakayotokea znz next year yatakuwa na effect gani kwa hiyo image yake... lakini its by all means better than our Mungiki-neighbours and their self-mutilation, surpassed only by the Rwandans...lol

Kinyambiss,

Heshima mbele.

Yote uliosema yana muelekeo poa sana lakini unaponiacha
ni pale unaposema hoja ya nguvu kisha unatia LOL baadae.
Kifo cha watu Rwanda au Kenya is not an LOL matter, it is
serious and very sad especially to those affected.Nadhani
unanielewa.

Regards.
 
That our figureheads for sovereignty are shuttling around the corridors of Washington waiting for audience with Obama, and the winner is touted loudly as a "first" begs the irresistible analogy of groupies trying to get the attention of a rap/ basketball star.

I am sorry, but this is so sad it is not even funny, groupies, President Kikwete and PM Odinga reduced themselves to groupies trying to get airtime with Obama.Whatever went down, this is the unmistakable appearance.And to make matters worse, the press - what is supposed to be the responsible press in EA- is beating up the drum of petty jealousy, further fueling that notion.

Kikwete is a known clown whose only salvation lies in begging those who don't know him well enough to tell his very karma will deem whatever aid he receives an exercise in futility, the Kenyans need to "get their act together" before they gain the leverage to induce the "privilege" of audience with the most high Obama.

And some Americans are just loving a bunch of Africans cheapening their own sovereignty for crumbs on the table, the table of a son of Africa no less.Kanye West can't even sing "Barack Obama don't like black people!"
 
Wakuu,

Please lets not digress from the thread and make this to be
a bashing thread for President JK and his 'ombaomba' ways.

Kenyan media has been looking at this thing for a while
now with some of them even reporting that Raila's visit
to the States was supposed to fuel anxiety amongst Kibaki's
PNU allies.When all was said and done, come to find out that
Raila didn't even meet Obama's officials let alont the man
himself.

Swali likaanza kutembezwa, is President Obama snubbing
Kenya?Added to this was the trip he is planning on when
he comes to Africa....Kenya haimo!Reasons for this are
there for all and sundry to see.

So that is where the curiosity is coming from and lets
discuss that.Kuna thread kule Tz Political Forum
inayojadili hii trip ya JK kuelekea unyamwezi na any venom
directed at JK can be discussed there.

Meanwhile to those who are saying JK's meeting with BHO is not a big
deal I beg to differ.He is the first African H.O.S to visit Obama
in the White house and it will remain so in the annals of History.
The only beef here is that(and I'm just presupposing) JK has
no face to tell Obama about what to do, to elevate the
struggle of the 'black man' in Africa and TZ, to be more specific,
simply because his hands are tainted na hizi skendo za mafisadi
during his watch.

Regards.
 
Wakuu,

Please lets not digress from the thread and make this to be
a bashing thread for President JK and his 'ombaomba' ways.

Kenyan media has been looking at this thing for a while
now with some of them even reporting that Raila's visit
to the States was supposed to fuel anxiety amongst Kibaki's
PNU allies.When all was said and done, come to find out that
Raila didn't even meet Obama's officials let alont the man
himself.

Swali likaanza kutembezwa, is President Obama snubbing
Kenya?Added to this was the trip he is planning on when
he comes to Africa....Kenya haimo!Reasons for this are
there for all and sundry to see.

So that is where the curiosity is coming from and lets
discuss that.Kuna thread kule Tz Political Forum
inayojadili hii trip ya JK kuelekea unyamwezi na any venom
directed at JK can be discussed there.

Meanwhile to those who are saying JK's meeting with BHO is not a big
deal I beg to differ.He is the first African H.O.S to visit Obama
in the White house and it will remain so in the annals of History.
The only beef here is that(and I'm just presupposing) JK has
no face to tell Obama about what to do, to elevate the
struggle of the 'black man' in Africa and TZ, to be more specific,
simply because his hands are tainted na hizi skendo za mafisadi
during his watch.

Regards.
Ab-Titchaz,
Uliyosema yote ni kweli. A State Department official I met recently talked about JK's visit with Obama. He says Obama mentioned his love for Kenya but does not approve the way the coalition government is running/not running things. Thus his visit to Ghana, which had a democratic election recently, the opposition won and all is smooth, coupled with his meeting with JK whose country is quiet and peaceful, is sending a message to Kenya to get their house in order. Raila was here when JK was here and the official said his request to meet with Obama was turned down by the White House for those same reasons.
 
Back
Top Bottom