comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950

Wahudumu wa matibabu waliogoma kutokana na kukosa nyongeza ya mishahara
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amekutana leo na wataalamu wa kimatibabu, ambao wamekuwa wakigoma kwa zaidi ya mwezi mmoja, ili kutafuta suluhu ya maandamano hayo ambayo yamelemaza shughuli za matibabu nchini humo.
Madaktari na wafanyikazi wengine wa afya, wanasema kuwa mamlaka kuu nchini humo, bado haijatimiza makubaliano yao ya nyongeza ya mishahara na mafao mengine walioafikiana mwaka 2013 walioahidiwa.
Mgomo huo umeathiri pakubwa sekta ya afya nchini Kenya, huku baadhi ya wagonjwa wakifariki kwa sababu ya kutohudumiwa kimatibabu.
Chanzo: BBC Swahili
--------------
UPDATE:
--------------
Madaktari wakataa nyongeza ya mshahara iliyopendekezwa na Serikali:
Doctors have rejected President Uhuru Kenyatta’s pay rise offer and insisted on the implementation of a collective bargaining agreement struck in 2013.
The doctors, through the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU), announced Friday that they will continue with their strike until their demands are met.
Union officials met in Nairobi to deliberate on the President's offer before making the announcement.
President Kenyatta initiated the dialogue that took six hours, with the government offering a monthly salary of Sh196,989 for the least-paid doctor, up from the current Sh140,244.