Kenya yapata PET CT scanner ya kwanza Afrika Mashariki na Afrika ya Kati

Hehehe sasa nijibu kitu gani, angalia siku zote tukileta habari nzuri kuhusu Kenya lazima Watanzania wajibu kwa kauli za na sisi tutafaya, tutajenga, tutakua na kama hiyo, subiri hata sisi tutafanya. Sasa na sisi Kenya tukiatangaza vitu tulivyopanga kufanya, situtajaza server za JF bure.
Hivyo, ndio maana unaona kauli nyingi huwa nazipita kimya maana hii JF tumeijaza mada za kihivyo tangu zamani, hamna haja ya kupoteza muda, hivyo naleta habari nzuri, Watanzania wanatiririka na hayo yao ya 'tuta', nawaacha wapate raha zao, ile kitu tunaita feel good.....kama kujipiga punyeto.

Hapa ni vitu vilivyomo, juzi rais Uhuru amesafiri kwenda Mombasa kwa kutumia SGR, wengi hata tumeshachoka nayo, sio habari tena, lakini Watanzania bado wanaimba tutajenga SGR. Yaani vitu ambavyo tulishachoka navyo huku ndio bado mpo kwenye utafiti yakinifu, sijui kama ile fly over huwa mnaishangaa shangaa ya TAZARA imekamilika? Sisi huku fly overs ni nyingi mpaka basi.
Haya ni mawazo ya mtu aliyekata tamaa na serikali yake, itakuwa ni kichekesho kwa mtanzania kuisifia serikali kwa sababu Fast Jet imenunua ndege mpya, hiyo ni sawa huko Kenya, ila sisi hatuzihesabu ndege za fast jet kuwa ni juhudi za serikali, kama ninyi mnaona Hospitali ya Karen kununua PET scan basi mnasifia nchi yenu imetimiza wajibu wake kwa wananchi, basi hongereni sana
 
wana ldc ni povu tu hapa, wakamuulize tundu lisu amelazwa Aga khan university hospital Nairobi kwanini, namba mtaendelea kuisoma.
 
wana ldc ni povu tu hapa, wakamuulize tundu lisu amelazwa Aga khan university hospital Nairobi kwanini, namba mtaendelea kuisoma.

Hehehe huwa napata raha wanavyo tiririka kwa hizi povu, halafu kikubwa tutaendelea kuleta habari njema kuhusu Kenya mpaka siku labda waipige JF chini. Kila hatua wanayopiga, wanakuta tulishapita hapo kitambo.
 
Ndiyo hiyo mkuu, yaani public Hospitals za Tanzania, zipo level moja na Karen and Nairobi Hospitals kwa vifaa vya kisasa, serikali ya Kenya haishughuliki kabisa kuzinunulia vifaa hospitali zake, Kenya haiwajali sana wananchi masikini
Wewe hua unanishangaza sana. Unachukia Kenya lakini maajabu ni kwamba unajua mengi kuhusu Kenya. Unajua Nairobi hospital na Karen ilhali mimi najua muhimbili pekee. Kama Kenya ni mbaya sana basi mbona unapoteza muda wako kufuatilia mambo yetu? Mimi humu JF huwa naingia Kenya section pekee kupata habari na kutoka. Sijishughulishi na mapenzi section au gossip section. Wewe pia ukiingia JF jikite kwenye Tanzania section kama unaipenda nchi yako sana. Wacha sisi Wakenya na Watanzania wangwana tubaki tukijadiliana bila machungu au kero lolote. Mimi napenda T.Z na nitazidi kuipenda tu kama nchi jirani. Wewe endelea kuchukia Kenya. Sisi tutazidi kutesa tu. Tangu lini kelele za chura zikamzuia ng'ombe kunywa maji mtoni?
 
Wewe hua unanishangaza sana. Unachukia Kenya lakini maajabu ni kwamba unajua mengi kuhusu Kenya. Unajua Nairobi hospital na Karen ilhali mimi najua muhimbili pekee. Kama Kenya ni mbaya sana basi mbona unapoteza muda wako kufuatilia mambo yetu? Mimi humu JF huwa naingia Kenya section pekee kupata habari na kutoka. Sijishughulishi na mapenzi section au gossip section. Wewe pia ukiingia JF jikite kwenye Tanzania section kama unaipenda nchi yako sana. Wacha sisi Wakenya na Watanzania wangwana tubaki tukijadiliana bila machungu au kero lolote. Mimi napenda T.Z na nitazidi kuipenda tu kama nchi jirani. Wewe endelea kuchukia Kenya. Sisi tutazidi kutesa tu. Tangu lini kelele za chura zikamzuia ng'ombe kunywa maji mtoni?
Lengo la hii mitandao ni kuwezesha watu kupata habari na kujifunza mambo mbalimbali yanayotokea duniani, kama wewe hutaki kujua mambo ya nchi zingine umebaki kujifungia Kenya, hilo ni chaguo lako na wala huna haki ya kutaka kujua au kumzuia mtu mwengine kufuatilia na kujua mambo ya Kenya.
 
Kuna saa nawaonea donge Wakenya. Hongereni.

Hehehe! Na nyie ipo siku mtafika tu, kwa kweli hatujafika, bado tupo mbali lakini tunapambana maana ndio Afrika kumekucha.
Hebu waza nchi kama Denmark inayo watu milioni sita na wana vifaa kama hivi 30, ilhali hapa uunganishe idadi ya Wakenya, Watanzania, Waganda, Warundi, Wasudan, Wanyarwanda, Wakongo na mataifa yote ya Afrika ya kati wote hao watategemea mashini moja hii, maana hamna nchi nyingine iliyo nayo.

Hapo inadhihirisha bado hatuna mengi ya kujivunia Afrika, na namshukuru sana rais wangu kwa kuwaachia Waafrika waje tu maana hamna jinsi nyingine tutatoka bila kushirikiana.
 
Huyo aga khan anajenga hii kitu Tanzania, tusemeje
images
aku-fas-22.jpg
images


1B $ Aga Khan East Africa University
ANAjenga si AMEjenga.
 
Huyo aga khan anajenga hii kitu Tanzania, tusemeje
images
aku-fas-22.jpg
images


1B $ Aga Khan East Africa University
Kabaraak University $500m Teaching Hospital -Itakuwa the first mission referral hospital in Kenya
Kaba10.jpg




Ukichanganya na hii 500bed Kenyatta University teaching and referal Hospital ambayo itakua officially opened in early 2018,
(Although aesthetically speaking, it doesn't look that impressive from outside, but inside it will have a center of excellent cancer research center, children hospital among other...
ku7.jpg

ku4.jpg




Alafu umalizie na Kakamega referral Hospital

13428471_710237985746357_4273131233128820326_n.jpg
state_of_sh38b_healt5904f301448b6.jpg

13442274_710238062413016_169852173952596904_n.jpg



Ukitaka pia naeza endelea, Huku Kenya kila county kubwa iko mbioni kujenga level 5 referral hospital..

Nanyuki referal hospital
76_big.jpg




Trans-nzoia Teaching and referral hospital
bdGAVgt.jpg

Ko25By3.jpg

v9dRnJh.jpg

Ujenzi
xY8XHTX.jpg




Mandera county Hospital under construction
facility.jpg


The theaters were also still under construction -mandera
1001403.jpg





Mombasa county nayo, mbali na kuwa na modern level 5 hospital, inajenga level 4 hospitals maeneo kadhaa ndani ya mombasa

17904228_1356376181087391_2675497463915000502_n.jpg
17883976_1356376661087343_3386639890087562848_n.jpg




17759958_1356376701087339_6366074341422403682_n.jpg



Wacha nimalizie na picha za hospitali za serikali(county/national governmnet) ambazo zimemalizwa kujengwa in my next commnet
 
Mtu akikudanganya eti ugatuzi(devolution) imefeli kenya atakua anakuzengua, changamoto ziko kibao lakini hata hivyo kuna mengi yanafanyika,


One reason why every county is rushing to build bigger hospital is because the national government entered in to a deal with big companies that manufacture expensive medical equipments. the likes of Mindray Biomedical (China), Philips (Netherlands), General Electric (USA), Bellco SRL (Italy) and Esteem (India) ...... in this deal atleast 2 hospitals in each County is to be supplied with 95 different medical equipment like MRI scanners, dialysis, radiotherapy .... those are 94 hospital plus the 2 national hospitals MOI and KNH.... since these are alot of equipments, the manufactures are selling them directly to the government and at discounted price -- In the deal the manufactures will also be responsible for l hire and teach kenyan technicians to maintain these expensive equipments




Counties in race to construct buildings for medical equipment
kmg.jpg

Kakamega health executive Peninah Mukabane is shown newly installed modern equipment at the Kakamega Referral Hospital during an inspection tour of the facility.



Isaac Wanjala’s 12-year-old son fell during a physical education lesson in school last month. He fractured his collar bone. His distraught father, a resident of Nambale, rushed him to Busia Referral Hospital.

He was given painkillers at the casualty wing and referred to the X-ray department for further medical scans. But the X-ray machine had broken down weeks ago.

“I had travelled 40 kilometres from my village for my son to be given just painkillers. I decided to seek a referral letter to take him to Moi Teaching and Referral Hospital in Eldoret where he was scanned and treated,” Mr Wanjala told the Business Daily.

Mr Wanjala was lucky to have money to travel to Eldoret. In a county ranked by the World Bank as being among the poorest in the country, most patients cannot afford to travel far and they wait in pain for replacement or repair of the diagnostic machines.

Busia is among counties that have not received the medical equipment under the Sh38 billion government leasing deal.

Most patients seeking medical tests have to line up behind a mobile truck donated by AMPATH in partnership with Moi University to be tested. AMPATH is a state-of-the-art, fully automated pathology and diagnostic solution provider.

As the end of a June deadline looms in which the government plans to equip at least two hospitals in every county with 95 modern medical machines, most of the counties lack adequate space to house the equipment.
“One of the greatest problems is that counties do not have infrastructure and unfortunately we do not have money to construct the buildings,’’ said Jack Ranguma, the chairman of the Council of Governors health committee.

Ten counties have received some of the machines while Kiambu, Kisumu and Kakamega have the full set of the equipment.

‘‘The three counties that received the machines were lucky because they had adequate space. Others will take longer to build special buildings or extra wards,’’ Mr Ranguma said.

Bomet Governor Isaac Rutto declined to sign the deal, but the government has equipped Longisa Hospital in his county.

Mr Rutto said he would find other ways of equipping the hospitals. The national government struck a medical equipment leasing deal in February last year.

The funding of the project was entirely being met by the national government and counties were to pay the personnel and buy consumables.

Counties are set to receive X-ray machines, dialysis machines, theatre equipment, incinerators, sterilising units complete with surgical sets and an assorted cancer treatment machines.

All counties were equally allocated Sh95.74 million for the medical equipment, in addition to financing from donors such as Danida and the World Bank for the health facilities, according to the Office of the Controller of Budget report.

Allocation

‘‘This {money} will facilitate easy access to specialised health care services and significantly reduce the distance that Kenyans walk in search of such services,’’ said Treasury.

Mindray Biomedical (China), Philips (Netherlands), General Electric (USA), Bellco SRL (Italy) and Esteem (India) are the suppliers of the equipment.

Five dialysis machines, three dialysis chairs and two dialysis beds and related equipment were to be provided in each of the 47 counties and two national referral hospitals.

In addition, the 94 county and four national hospitals are to get modern digital x-ray, ultrasound and other imaging equipment. Level 5 hospitals would get ICU facilities.

But governors say unforeseen challenges will delay the project. Mr Ranguma said it would be difficult to overcome the issue of space owing to lack of funds.

“Let the national government give the counties money to develop the infrastructure if the project is to be implemented smoothly,” he said. Health secretary Cleopa Mailu said the government is working with the counties to ensure the equipment are all in place despite the delay.

‘‘Even if we break ground today, it will take between three to five months to get them completed which might spill to July or even August,” he said when he appeared before the Senate Health Committee.

Some counties have started putting up buildings where none existed while others are expanding health facilities.

In Vihiga, the county government has started putting up the required structures under a Sh26 million hospital upgrade.

A spot check by Business Daily has revealed that Kakamega has built a room to house the intensive unit installations, the renal unit for kidney dialysis machines and the radiology wings for diagnostic machines.

Peninah Mukabane, the county’s health executive committee member, said the new machines have seen the number of referrals to Kisumu and Eldoret remarkably reduced.

Ms Mukabane said the hospital used to pay Sh4,000 for referrals within western Kenya for which the patients are surcharged. Those referred to Nairobi were charged Sh25,000.

“The county has been relieved of the costs of commissioning ambulances to take patients to referral hospitals,’’ she said, adding that the new machines are highly digitalised and would boost diagnosis accuracy.

In Machakos, Governor Alfred Mutua said the county now aims to provide equipment in all level 4 hospitals after the first installation eased the pain for patients who previously had to travel far for treatment.

“We moved fast to install the equipment because proper treatment is the right of every person. Poor management, lethargy and shortage of equipment have led to deaths in many hospitals in our country,” Mr Mutua said.

In Kisumu, a high dependency unit (HDU) and a dialysis wing were set up to house the equipment. The building was funded by the county and donors.

Mr Ranguma said the equipment, which will be expanded to include cancer management devices, have improved lives within a short period.

“But counties needs more cash to train staff who will man the highly technical equipment and also to buy consumables that will be used in the treatment of special conditions,” he said.

Despite the successes of the three counties, many others may take longer than the June 30 deadline to install the equipment.

In the Coast region, Lamu and Tana River are yet to break ground for new the buildings.

Embu Level 5, Thika Level 5 and Nakuru Level 5 hospitals are among the health facilities that acquired complete dialysis units with radiology and magnetic resonance imaging (MRI) equipment.

Kericho Referral Hospital, Isiolo District (Level 4), Nyeri PGH, Murang’a, Naivasha District Hospital, Iten hospital in Elgeyo Marakwet, and Kangundo District Hospital have also been partially equipped.

Council of Governors chairman Peter Munya, however, said the county bosses were reluctant to get the machines because some hospitals already have them and did not require to lease others.

He said there was pressure for the equipment to be taken to Meru Level V Hospital which already has better machines. He accused workers of tampering with expensive machines including a Sh47 million CT scan at Meru Referral Hospital so that those from national government could be taken there.

“We want the machines to be distributed to other facilities like Kanyakine, Nyambene, Mithiane and other hospitals,’’ Mr Munya said.

Implementation

A doctors’ union has said the pace of implementation of the project is worrying and that apart from lack of infrastructure and personnel, some health facilities lack power to run the machines.

Dr Fredrick Oluga, the secretary-general of the Kenya Medical Practitioners Pharmacists and Dentists Union, said as at January this year, only 15 out of the targeted 94 hospitals had received part of the equipment.

Dr Oluga said the government should consider implementing the Mutava Musyimi-taskforce report if it is to succeed in overhauling healthcare and reduce the number of patients seeking services abroad.

“We are happy that hospitals are being equipped, but not with the way the project is being managed. The government should first train experts before going for the machines. Most of them will remain white elephants,” Dr Oluga said.

The Musyimi-led taskforce observed that more than 80 per cent of hospitals in Kenya are poorly staffed, badly equipped and have insufficient infrastructure.

Under the leasing deal, the international companies are responsible for training technicians and biomedical engineers on the handling of the machines.


Counties in race to construct buildings for medical equipment



-----
As you can see, there are still challenges here and there but tunasonga mblele towards universal health coverage
 
Machakos Level 5 referral hospital -- Machakos hospital is one of the few county government hospitals that has been fully equipped with all the 95 different equipment types under the national medical equipment scheme

MACHAKOSL5HOSPITAL1.jpg


url
spwheb5bqxupqj92556810cb8261b.jpg

unnamed%2B%25281%2529.jpg

unnamed%2B%25285%2529.jpg

unnamed%2B%25286%2529.jpg

unnamed%2B%25288%2529.jpg

unnamed%2B%252810%2529.jpg
unnamed%2B%252811%2529.jpg

unnamed%2B%252812%2529.jpg



unnamed%2B%252813%2529.jpg

unnamed%2B%252814%2529.jpg


chemotherapy roof
unnamed%2B%252816%2529.jpg




kumbuka hizi ni hospitali za County, kuna county 47, kila county inafaa iwe na angalau hospitali mbili au ikishindwa kabisa iwe na hospitali moja level kama hii na ipewe equipments zote hizo ili iwe hakuna haja ya kusafiri kwenda miji mikuu kupata matibabu spesheli, lengo la serekali ni mwishowe iwe kila aina ya matibabu yanapatikana town iliyo karibu nawe ndani ya county yako
 
Machakos Level 5 referral hospital -- Machakos hospital is one of the few county government hospitals that has been fully equipped with all the 95 different equipment types under the national medical equipment scheme

MACHAKOSL5HOSPITAL1.jpg


url
spwheb5bqxupqj92556810cb8261b.jpg

unnamed%2B%25281%2529.jpg

unnamed%2B%25285%2529.jpg

unnamed%2B%25286%2529.jpg

unnamed%2B%25288%2529.jpg

unnamed%2B%252810%2529.jpg
unnamed%2B%252811%2529.jpg

unnamed%2B%252812%2529.jpg



unnamed%2B%252813%2529.jpg

unnamed%2B%252814%2529.jpg


chemotherapy roof
unnamed%2B%252816%2529.jpg




kumbuka hizi ni hospitali za County, kuna county 47, kila county inafaa iwe na angalau hospitali mbili au ikishindwa kabisa iwe na hospitali moja level kama hii na ipewe equipments zote hizo ili iwe hakuna haja ya kusafiri kwenda miji mikuu kupata matibabu spesheli, lengo la serekali ni mwishowe iwe kila aina ya matibabu yanapatikana town iliyo karibu nawe ndani ya county yako
Hizo ni wishes, ingependeza kama ingekuwa hivyo, lakini kiukweli ni kwamba hii Hospitali ya Machakosi is well equiped kuliko hata Kenyatta Hospita ambayo ipo chini ya serikali kuu, Machakosi and Thika ndizo Hospital zenye hali nzuri huko Kenya, zingine zilizobaki ikiwemo Kenyatta Hospital hali ni mbaya sana
 
Machakos Level 5 referral hospital -- Machakos hospital is one of the few county government hospitals that has been fully equipped with all the 95 different equipment types under the national medical equipment scheme

MACHAKOSL5HOSPITAL1.jpg


url
spwheb5bqxupqj92556810cb8261b.jpg

unnamed%2B%25281%2529.jpg

unnamed%2B%25285%2529.jpg

unnamed%2B%25286%2529.jpg

unnamed%2B%25288%2529.jpg

unnamed%2B%252810%2529.jpg
unnamed%2B%252811%2529.jpg

unnamed%2B%252812%2529.jpg



unnamed%2B%252813%2529.jpg

unnamed%2B%252814%2529.jpg


chemotherapy roof
unnamed%2B%252816%2529.jpg




kumbuka hizi ni hospitali za County, kuna county 47, kila county inafaa iwe na angalau hospitali mbili au ikishindwa kabisa iwe na hospitali moja level kama hii na ipewe equipments zote hizo ili iwe hakuna haja ya kusafiri kwenda miji mikuu kupata matibabu spesheli, lengo la serekali ni mwishowe iwe kila aina ya matibabu yanapatikana town iliyo karibu nawe ndani ya county yako
Hizo ni wishes, ingependeza kama ingekuwa hivyo, lakini kiukweli ni kwamba hii Hospitali ya Machakosi is well equiped kuliko hata Kenyatta Hospita ambayo ipo chini ya serikali kuu, Machakosi and Thika ndizo Hospital zenye hali nzuri huko Kenya, zingine zilizobaki ikiwemo Kenyatta Hospital hali ni mbaya sana
 
Hizo ni wishes, ingependeza kama ingekuwa hivyo, lakini kiukweli ni kwamba hii Hospitali ya Machakosi is well equiped kuliko hata Kenyatta Hospita ambayo ipo chini ya serikali kuu, Machakosi and Thika ndizo Hospital zenye hali nzuri huko Kenya, zingine zilizobaki ikiwemo Kenyatta Hospital hali ni mbaya sana
Wishes gani hizo unazoongelea, kila county inakimbia kujenga hospitali ya umma au ku upgrade iliyopo ili iwe na uwezo wa level 5 ISO certified..

Alafu, si Hapa tunaongelea hospitali za umma sio? yani public hospital, sasa mbona unaanza kuchagua chagua eti sijui serekali kuu, Afya iligatuliwa, kulingana na mfumo wa serikali ya kenya, health is a devolved function, kila county ijipangie inataka hospitali aiana ghani...... lengo kuu hapa ni mwananchi wa kawaida apate matibabu.....

Itakua ni uongo ukisema Machakos is well equipped kuliko KNH, Serekali kuu ndo ili equipe machakos hospital, na ndiyo itakayo equip level 5 hospitals zote 47, ndani ya mpango huo huo pia KNH inapewa hizo equipments zote, Shida ya KNH si eti haina equipments, uliza daktari yeyote kama anataka kufanyia internship wapi atakwambia KNH, shida ya KNH inasumbuliwa na over conjestion, wako na best doctors in the country lakini appointment ya surgery unaekewa next year!!! unaambiwa kuja after 6 months!!! Kwasababu ya hiyo conjestion KNH huwa inakaa mbaya sana, lakini in terms of research and producing doctors, KNH is the best, why do you think UoN has been able to maintain top ranking in African universities school of medicine..

Anyway, the solution to that is from 2019, KNH will stop offering outpatient services and strictly be a referral hospital, this will happen after county government hospitals are all upgraded a process which is ongoing KNH to stop offering outpatient treatment - Nairobi News



Alafu the best public hospital in Kenya is Moi teaching and referral hospital eldoret -- According to Ranking of hospitals in Africa

Hii ni National referral hospital -Ya serekali kuu
Main admin block
adminbuilding.jpg


Cancer center MTRH
02_MOIM_ResearchHospital.png


11038564_1012060712152080_8827224094543385733_n.jpg





The Children's Hospital will be the first dedicated public children's hospital of its kind in East & Central Africa. It is located at MTRH. It will be another milestone for the hospital and the health sector in the country.
11069952_1013986031959548_7272621322826397898_n.jpg



10308202_1076734925684658_4192288286098073223_n.jpg

11695920_1076734922351325_8007245176242924969_n.jpg

11813532_1076734932351324_8023818144436604275_n.jpg

11885232_1080122468679237_5775126257451901583_n.jpg

11889633_1080122075345943_4290605391279937910_n.jpg




19748726_1773776755980468_7292934049830102968_n.jpg

19748832_1773776742647136_9116629794244193336_n.jpg



medical review room
19657017_1771279742896836_1733195966158266647_n.jpg








16473133_1574166295941516_3978939827861082663_n.jpg



16427724_1574166215941524_8435729588624600665_n.jpg

16406596_1574166169274862_422917984654296951_n.jpg

16386938_1574166122608200_2955321319683398024_n.jpg

11742735_1059333360758148_4328828709402544074_n.jpg


teaching moment
11750706_1061027243922093_1134394900829739611_n.jpg

11692588_1061027520588732_5479154917867913502_n.jpg

11813452_1071004842924333_8864657632727249869_n.jpg
 
Kuna hospitali zengine za umma nzuri nzuri zinazidi kumalizwa ujenzi


Embu General hospital
img_20160803_1844572-jpg.jpeg


Gatundu district hospital
thika1.jpg

thika2.jpg
 
Kuna hii nyengine nayo public hospital -Formerly known as Embakasi district hospital

crergnqpoxgjmhsdg56c8aca5c8369.jpg

editor1086621852541135081-yvk.jpg

mama-lucy-kibaki-hospital.jpg

hospital.jpg



Hizi zote ni za public, ningekua na mda ningeleta zaidi lakini ntamalizia hapo
 
Back
Top Bottom