Kenya yapata PET CT scanner ya kwanza Afrika Mashariki na Afrika ya Kati

He is definitely a troll. At the beginning of the thread there is a contributor that said only private Kenyan hospitals are equipped and the public hospitals including Kenyatta do not have sufficient facilities. Still waiting for evidence that even one of their best Muhimbili hospital is better equipped than Gatundu
 
Mkuu ninathani katika maisha yako ulishawahi kuandika academic paper yoyote ile na ukawa unatumia references mbalimbali, picha pekee bila supportive text kuonyesha kwamba hiyo picha kweli ni yako au ni mali ya huyo unayemtaja, haiwezi kuwa ushahidi wa unalosema, kwamfano, hapo kuna maandishi yanayothibitisha kwamba Machakos hospital kweli wana MRI machine, lakini hakuna ushahidi wowote kwamba Kilifi kuna MRI, au Gatundu Hospital, nitashukuru kama utanipa link ya kuniwezesha kujua kama huko kweli hizi machine zipo.

Kama nilivyosema Machakos, Thika na Gatundu ni Hospital mpya ambazo zina vifaa vya kutosha, hoja ilikuwa kwamba Hospital za county zote 47 kuweza kufungiwa vifaa kama hivi, nilionyesha wasiwasi wangu, uliposema kwamba tayari vimenunuliwa vifaa vya Hospitals zote 47, nikaomba ushahidi kuonyesha kwamba vifaa vyote vimeshanunuliwa, bado ninasisitiza ushahidi kuonyesha kwamba serikali ya Kenya iliyoshindwa kuinunulia vifaa vya kisasa Kenyatta Hospital, kama kweli ina uwezo wa kununua vifaa vya kisasa kwa Hospitals 47 za counties once
Kuna technologia ya google inaitwa 'reverse image search' just copy the image-link and paste it there itakuonyesha hio picha ilitoka wapi, fanya hivyo kwa picha zote alafu uniambie kama kuna picha hata moja ambayo si ya public hospital ya Kenya
 
Kuna technologia ya google inaitwa 'reverse image search' just copy the image-link and paste it there itakuonyesha hio picha ilitoka wapi, fanya hivyo kwa picha zote alafu uniambie kama kuna picha hata moja ambayo si ya public hospital ya Kenya
Hiyo ulipaswa ufanye wewe, huo ni ushahidi wako kuthibitisha unachokisema, sio jukumu langu kukutayarishia supporting documents zako
 
Ndiyo hiyo mkuu, yaani public Hospitals za Tanzania, zipo level moja na Karen and Nairobi Hospitals kwa vifaa vya kisasa, serikali ya Kenya haishughuliki kabisa kuzinunulia vifaa hospitali zake, Kenya haiwajali sana wananchi masikini

Do you even read these things before you post them my dear friend? This is beyond laughable. :eek:
 
Hiyo ulipaswa ufanye wewe, huo ni ushahidi wako kuthibitisha unachokisema, sio jukumu langu kukutayarishia supporting documents zako
Mimi nilishaleta proof yangu, kila mtu amekubali, wewe ndo umekataa kushindwa, ni jukumu lako kukagua proof yangu na kuonyesha wapi nimedanganya. Hauna la kusema ,asiyekubali kushinndwa.......,Afadhali ukubali kushindwa au unyamaze tu, unavyozidi kucomment kihivi unajishusha hadhi mwenyewe, next time watu watakua wanakudharau utabaki kuitwa 'internet troll'
 
Mimi nilishaleta proof yangu, kila mtu amekubali, wewe ndo umekataa kushindwa, ni jukumu lako kukagua proof yangu na kuonyesha wapi nimedanganya
Kila mtu amekubali, thibitisha hao watu waliokubali ni akina nani, tuma majibu ya hao watu waliokubali(non Kenyans), mimi nimeomba proof inayoonyesha kwamba Kilifi Hospital inayo MRI machine, mimi ninapinga kwamba Kilifi Hospital haina MRI machine, prove me wrong
 
Do you even read these things before you post them my dear friend? This is beyond laughable. :eek:
I know what I am talking, mention any procedures which have been performed there and not or can't be done at our public health health facilities.
 
Hehehe jf, burudani tosha. Sijui wahenga walisema siku za muongo ni ngapi? Wote huwa wanajifanya wataalam kuhusu Kenya. Eti Kenya wamefika na hakuna wasilolijua, kumbe ni Vijiweni Boys. :D
 
Back
Top Bottom