Kenya yaongeza Masharti katika mipaka yake na Tanzania, huvuki bila kupata Majibu ya Vipimo vya Corona

Nchi za jirani zinatumiwa na mabeberu watanzania hatuna corona ni vipimo tu walivyotuletea ndio vidanganyifu.
 
Ni vizuri kuchukua tahadhari. Ukishindana na kichaa unaweza kuambulia hasara.
 
KENYA YAUFUNGA MPAKA WA HOROHORO-TANGA Kenya imeufunga mpaka wa Horohoro uliopo mkoani Tanga unaoitenganisha nchi hiyo na Tanzania. Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya Kenya kuufunga mpaka mwingine kati yake na Tanzania uliopo Namanga mkoani Arusha


IMG_8857.JPG




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
We're not doomed and we haven't lost direction, our neighbors are doing so to attract western attention, they needed money and they got it. Yaani watu wanapika na kutengeneza mazingira ya kuwafanya western world kutoa pesa, na sisi hatukutaka hivyo, tungetaka tungejikosha kwa mtu mweupe ili na sisi tupate pesa.

Mkuu kama ulisikiliza hotuba ta rais JPM alisema hatuhitaji pesa bali wakitaka wafute madeni ambayo yanalipwa kila mwezi (Madeni ya zamani na pesa ambazo wengelipa wazielekeza kwenye Civid-19) wao wakaamua kuwakopesha majirani kwa kufikiria kwamba wanatukomoa.

Tupo salama na janga hili litapita tu kwa sababu mapaji ni Mwenyezi mungu. Nani alikuwa anatabiri vifo barabarani Afrika? leo hii USA waiokufa 80,000; UK 40,000 anzania ni wangapi? Huwezi kushindana na mipango ya Mwenyezi mungu. Covid-19 ipo na tutaendelea kujilinda kwa kufuata maelezo ya wataalam wa Tanzania.

Kwa wale wanaosema tujadiliane na majirani, tujadiliane nini? Mbinu wao walizotumia ni tofauti na mbinu ambazo sisi tunatumia. Je, ugonjwa ulipolipuka walituhusisha na mbinu zao au walifuata mkumbo wa Mabeberu? Kwa nini sasa wanahaha wanahitaji kutuhusisha?
 
Lock down sidhani kama ni suluhisho la kudumu katika kupambana na Covid-19. Nadhani pia dunia ilihamaki na nchi mbalimbali kupokea ama kuiga yanayofanyika nchi zingine na wao kufanya hivyo pia. Kwanza kabisa ilitakiwa kuufahamu huu ugonjwa kiundani ili kuja na mikakati sahihi ya kupambana nao. Jana tu tumesikia waziri mkuu wa uingereza akisema lock down sasa basi.
Maana pamoja na lock down idadi ya vifo huko uingereza bado tishio.
Kuna maana kubwa sana ya lockdown, Wewe hujui tu.

Hata vifo ni vingi lakini wameshajifunza mengi toka lockdown

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya yafunga mpaka wa Hororo- Tanga Kenya imeufunga mpaka wa Horohoro uliopo mkoani Tanga unaoitenganisha nchi hiyo na Tanzania. Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya Kenya kuufunga mpaka mwingine kati yake na Tanzania uliopo Namanga mkoani Arusha



👇
Halafu wewe falamanga Horohoro border looks like this

👇
IMAG1853_1.jpg




085435ad4fc9d48f29e1a57fd1ffeb9d.jpeg

and this is the road from Tanga to Horohoro

bc305bb91ae313360ee903.jpg
 
Si mjibu hata Leo, Tz ina nini cha ajabu wkt ni nchi ya kawaida tu ambayo ina Mungu mtu.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
[/QUOTE]
Hakuna unachojua kuhusu TZ. Waulize hao jamaa zako habari yetu wanaijua. Sisi ndio baba lao.
 
Sisi tunachapa kazi,

Donor country,

Tutaona kama hiyo corona itaisha Kenya. Wanaona wivu sisi tunapiga kazi, wao wanahangaika na lockdown ya ugonjwa ambao ni wa kusadikika.

Sent using Jamii Forums mobile app
KWA HIYO WEWE NA WALE VIJANA WOTE NAOWAONA SASA WAMEACHA KUVAA BARAKOA MKO LEVEL MOJA KUWA CORONA IMEISHA MAANA HAKUNA TENA MAAMBUKIZI WALA VIFO SIO? KUNA WATANZANIA WA AJABU SANA JAMANI. MUNGU SI ATHUMANI. NAISHIA HAPA
 
Back
Top Bottom