My take: Serikali ya Kenya inahusika moja kwa moja na mauaji ya Msando na Jacob Juma, kwasababu mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyekamatwa na serikali imekataa katakata kuomba usaidizi toka nchi za nje pamoja na kwamba NASA walipendekeza kuwepo kwa vyombo huru toka nje ya nchi, iweje mauaji ya Kenei iwe ni tofauti na wengine?
My take: Serikali ya Kenya inahusika moja kwa moja na mauaji ya Msando na Jacob Juma, kwasababu mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyekamatwa na serikali imekataa katakata kuomba usaidizi toka nchi za nje pamoja na kwamba NASA walipendekeza kuwepo kwa vyombo huru toka nje ya nchi, iweje mauaji ya Kenei iwe ni tofauti na wengine?