Kenya yaamua kuua watu wake kwa UKIMWI

MissM4C

JF-Expert Member
Aug 31, 2012
1,738
995
Kenya Jana imezindua Mpango WA Pre-exposure Prophylaxis (Pre-PEP), Ambapo vidonge maalumu vya kumeza kabla ya kulala na MTU mwenye UKIMWI(au usiye muaamini) ili ikukinge wewe kupata UKIMWI, vidonge hivi vitakuzuuia kupata UKIMWI. Na inakadiriwa efficiency yake ni up 90% in preventing u from HIV

Hii ni HATARI KUBWA KWA WAKENYA.....maana kupitia mpango juu watu watarelax na kuwafanya Wawe risk takers zaidi kisa tu wamemeza dawa hizi...hii ni set back wala si progress in Fighting HIV, This is going to encourage people to take risks na kupunguza Umakini.

Tofauti na Tz, ambapo dawa hizi hutolewa baada ya MTU kuhisi ameambukizwa(Post-Exposure Prophylaxis (PEP) na hutolewa ndani ya masaaa 48 kwa kuzingatia vigezo Fulani.

Zaidi, pia wamezindua vipimo vya kujipima UKIMWI majumbani, unajipima peke yako(hii Nayo ni matatizo, because kupima UKIMWI sio a single stage process, kinahitaji counselling before, ni mda sasa wa watu kuzimia majumbani kwa presha, na huenda hata kwa majibu ya uongo maana this needs a professional

Nasema, Kiherehere cha Kenya Kutaka kuonekana ni nchi ya pekee duniani kitawaponza watu wenu... Hii pre-EP ni Janga....

Time will tell.....
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kenya Jana imezindua Mpango WA Pre-exposure Prophylaxis (Pre-PEP), Ambapo vidonge maalumu vya kumeza kabla ya kulala na MTU mwenye UKIMWI(au usiye muaamini) ili ikukinge wewe kupata UKIMWI, vidonge hivi vitakuzuuia kupata UKIMWI. Na inakadiriwa efficiency yake ni up 90% in preventing u from HIV

Hii ni HATARI KUBWA KWA WAKENYA.....maana kupitia mpango juu watu watarelax na kuwafanya Wawe risk takers zaidi kisa tu wamemeza dawa hizi...hii ni set back wala si progress in Fighting HIV, This is going to encourage people to take risks na kupunguza Umakini.

Tofauti na Tz, ambapo dawa hizi hutolewa baada ya MTU kuhisi ameambukizwa(Post-Exposure Prophylaxis (PEP) na hutolewa ndani ya masaaa 48 kwa kuzingatia vigezo Fulani.

Zaidi, pia wamezindua vipimo vya kujipima UKIMWI majumbani, unajipima peke yako(hii Nayo ni matatizo, because kupima UKIMWI sio a single stage process, kinahitaji counselling before, ni mda sasa wa watu kuzimia majumbani kwa presha, na huenda hata kwa majibu ya uongo maana this needs a professional

Nasema, Kiherehere cha Kenya Kutaka kuonekana ni nchi ya pekee duniani kitawaponza watu wenu... Hii pre-EP ni Janga....

Time will tell.....
Mbona Umesema kichochezi sana, izi tafiti nyingi zisiingizwe kisiasa. Zitazorotesha mpango wa kuzuia mambo yahusuyo magonjwa
 
sasa huyu mleta mada ashakua scientist!!! which lab did you use to prove that those drugs dont have any impact and will make people relax? those drugs were designed for couples with mixed HIV status...that is, one partner is positive while the other is negative..ignorance is a disease walai
 
Nashuku ushawahitumia hivo vidonge.... From your description,,, You sound like a laboratory.
 
Kenya Jana imezindua Mpango WA Pre-exposure Prophylaxis (Pre-PEP), Ambapo vidonge maalumu vya kumeza kabla ya kulala na MTU mwenye UKIMWI(au usiye muaamini) ili ikukinge wewe kupata UKIMWI, vidonge hivi vitakuzuuia kupata UKIMWI. Na inakadiriwa efficiency yake ni up 90% in preventing u from HIV

Hii ni HATARI KUBWA KWA WAKENYA.....maana kupitia mpango juu watu watarelax na kuwafanya Wawe risk takers zaidi kisa tu wamemeza dawa hizi...hii ni set back wala si progress in Fighting HIV, This is going to encourage people to take risks na kupunguza Umakini.

Tofauti na Tz, ambapo dawa hizi hutolewa baada ya MTU kuhisi ameambukizwa(Post-Exposure Prophylaxis (PEP) na hutolewa ndani ya masaaa 48 kwa kuzingatia vigezo Fulani.

Zaidi, pia wamezindua vipimo vya kujipima UKIMWI majumbani, unajipima peke yako(hii Nayo ni matatizo, because kupima UKIMWI sio a single stage process, kinahitaji counselling before, ni mda sasa wa watu kuzimia majumbani kwa presha, na huenda hata kwa majibu ya uongo maana this needs a professional

Nasema, Kiherehere cha Kenya Kutaka kuonekana ni nchi ya pekee duniani kitawaponza watu wenu... Hii pre-EP ni Janga....

Time will tell.....
Mimi napingana na ww 100% mkuu sio kwa nia mbaya lakini.kumbuka nowadays ukimwi ni ugonjwa wa kawaida kama magonjwa mengine.Ni dhahiri hata unyanyapaaji umepungua kwa kiwango cha juu(si semi tatizo limekwisha kabisa ukienda mahospitalin bado wapo wanateseka).
Sasa hiv kuna magonjwa ya hatari zaidi ya ukimwi(hepatitis B,kisukari,malaria..)
Sasa sion kama kuna ubaya tukibugia hayo madonge kabla ya kujamiiana na watu tusiowaamin mana kuna wengine ni wabovu hatuwez kuvaa mipira na wakat mwingine hatuiamin sana.pia siyo mbaya tukawa na vipimo majumban na hata wakati mwingine tupimane kabla ya kuingia kwenye mahusiano
 
Hivyo vidonge machanguduo siwata taka box nzima wawe nalo na wale wapenda uzinzi badala ya kutembea na condom sasa wataanza kutembea PEP
Na itakuwa drug abuse kama iyo ishu ikiwa serious kwa wakenya kutakuwa na magonjwa ya ajabu ajabu sana kama wakifanya hivyo vidonge kuwa sehemu ya maisha yao
 
Kenya Jana imezindua Mpango WA Pre-exposure Prophylaxis (Pre-PEP), Ambapo vidonge maalumu vya kumeza kabla ya kulala na MTU mwenye UKIMWI(au usiye muaamini) ili ikukinge wewe kupata UKIMWI, vidonge hivi vitakuzuuia kupata UKIMWI. Na inakadiriwa efficiency yake ni up 90% in preventing u from HIV

Hii ni HATARI KUBWA KWA WAKENYA.....maana kupitia mpango juu watu watarelax na kuwafanya Wawe risk takers zaidi kisa tu wamemeza dawa hizi...hii ni set back wala si progress in Fighting HIV, This is going to encourage people to take risks na kupunguza Umakini.

Tofauti na Tz, ambapo dawa hizi hutolewa baada ya MTU kuhisi ameambukizwa(Post-Exposure Prophylaxis (PEP) na hutolewa ndani ya masaaa 48 kwa kuzingatia vigezo Fulani.

Zaidi, pia wamezindua vipimo vya kujipima UKIMWI majumbani, unajipima peke yako(hii Nayo ni matatizo, because kupima UKIMWI sio a single stage process, kinahitaji counselling before, ni mda sasa wa watu kuzimia majumbani kwa presha, na huenda hata kwa majibu ya uongo maana this needs a professional

Nasema, Kiherehere cha Kenya Kutaka kuonekana ni nchi ya pekee duniani kitawaponza watu wenu... Hii pre-EP ni Janga....

Time will tell.....
Ni hatua nzuri waliyo piga mkuu....
 
Kenya na Tanzania zipo kwenye baadhi ya nchi zenye maambukizi makubwa ya ukimwi, yaani hapa Africa tupo kwenye top 5, duniani ndio usipime. Hiyo ni kiashiria kwamba wengi hatutumii kinga wala mipira wala kuwa makini wala nini. Hivyo hizo hadithi za eti ndio watu wataacha kuwa makini au careful ni hadithi za albaba maana tayari ni wazi hatuzingatii njia salama za mapenzi au ngono.

Pili, Ukimwi siku hizi sio tishio kama hapo awali, labda kwa nchi yenu ambayo bado mnanyanyapaa hata albino sembuse muathirika wa Ukimwi?, lakini kwenye nchi nyingi kuwa na Ukimwi haikupi stress kama ilivyokua hapo awali. Hivyo kujipima nyumbani ni jambo la kawaida tu, wengi siku hizi tunapima kwenye zahanati bila hayo ma-counseling wala nini. Unaingia na kuagiza upimwe fasta tu. Jamaa anakudunga na kutoa damu na kuweka kwenye kifaa halafu anakuagiza usubiri hapo nje dakika 15 unaingia na kujua hali yako.

Kuwa na vifaa manyumbani hamna tofauti na ukiwa na mipira ya condom, ukimleta demu wako ghetto mnapima nyote fasta hapo ili umtafune nyama kwa nyama na kuhisi utamu wote bila kuogopa maambukizi.

Sasa nyie Watanzania mumekaa pembeni kutucheka kisa tumeanza kujipima ilhali ukiangalia takwimu za idadi ya maambukizi aisei mnaambukizana hapo Darasalama kama sungura. Hivyo bora kuamua kulikabili hili janga kwa kukaba pembe zake hadi kieleweke.
 
Umekomenti kwa busara nimekuelewa, HIV ni gonjwa la kawaida ila hii Pre-EP itahatarisha maisha bado, lakini pia kumpima demu geto akawa negative haimanishi kuwa hana UKIMWI, she might be in window period....

Mhimu tubadilike, tuache ngono, ama tafuta mmoja Pima na ishi Nate bila kuchepuka
Kenya na Tanzania zipo kwenye baadhi ya nchi zenye maambukizi makubwa ya ukimwi, yaani hapa Africa tupo kwenye top 5, duniani ndio usipime. Hiyo ni kiashiria kwamba wengi hatutumii kinga wala mipira wala kuwa makini wala nini. Hivyo hizo hadithi za eti ndio watu wataacha kuwa makini au careful ni hadithi za albaba maana tayari ni wazi hatuzingatii njia salama za mapenzi au ngono.

Pili, Ukimwi siku hizi sio tishio kama hapo awali, labda kwa nchi yenu ambayo bado mnanyanyapaa hata albino sembuse muathirika wa Ukimwi?, lakini kwenye nchi nyingi kuwa na Ukimwi haikupi stress kama ilivyokua hapo awali. Hivyo kujipima nyumbani ni jambo la kawaida tu, wengi siku hizi tunapima kwenye zahanati bila hayo ma-counseling wala nini. Unaingia na kuagiza upimwe fasta tu. Jamaa anakudunga na kutoa damu na kuweka kwenye kifaa halafu anakuagiza usubiri hapo nje dakika 15 unaingia na kujua hali yako.

Kuwa na vifaa manyumbani hamna tofauti na ukiwa na mipira ya condom, ukimleta demu wako ghetto mnapima nyote fasta hapo ili umtafune nyama kwa nyama na kuhisi utamu wote bila kuogopa maambukizi.

Sasa nyie Watanzania mumekaa pembeni kutucheka kisa tumeanza kujipima ilhali ukiangalia takwimu za idadi ya maambukizi aisei mnaambukizana hapo Darasalama kama sungura. Hivyo bora kuamua kulikabili hili janga kwa kukaba pembe zake hadi kieleweke.
 
Umekomenti kwa busara nimekuelewa, HIV ni gonjwa la kawaida ila hii Pre-EP itahatarisha maisha bado, lakini pia kumpima demu geto akawa negative haimanishi kuwa hana UKIMWI, she might be in window period....

Mhimu tubadilike, tuache ngono, ama tafuta mmoja Pima na ishi Nate bila kuchepuka
Kenya na Tanzania zipo kwenye baadhi ya nchi zenye maambukizi makubwa ya ukimwi, yaani hapa Africa tupo kwenye top 5, duniani ndio usipime. Hiyo ni kiashiria kwamba wengi hatutumii kinga wala mipira wala kuwa makini wala nini. Hivyo hizo hadithi za eti ndio watu wataacha kuwa makini au careful ni hadithi za albaba maana tayari ni wazi hatuzingatii njia salama za mapenzi au ngono.

Pili, Ukimwi siku hizi sio tishio kama hapo awali, labda kwa nchi yenu ambayo bado mnanyanyapaa hata albino sembuse muathirika wa Ukimwi?, lakini kwenye nchi nyingi kuwa na Ukimwi haikupi stress kama ilivyokua hapo awali. Hivyo kujipima nyumbani ni jambo la kawaida tu, wengi siku hizi tunapima kwenye zahanati bila hayo ma-counseling wala nini. Unaingia na kuagiza upimwe fasta tu. Jamaa anakudunga na kutoa damu na kuweka kwenye kifaa halafu anakuagiza usubiri hapo nje dakika 15 unaingia na kujua hali yako.

Kuwa na vifaa manyumbani hamna tofauti na ukiwa na mipira ya condom, ukimleta demu wako ghetto mnapima nyote fasta hapo ili umtafune nyama kwa nyama na kuhisi utamu wote bila kuogopa maambukizi.

Sasa nyie Watanzania mumekaa pembeni kutucheka kisa tumeanza kujipima ilhali ukiangalia takwimu za idadi ya maambukizi aisei mnaambukizana hapo Darasalama kama sungura. Hivyo bora kuamua kulikabili hili janga kwa kukaba pembe zake hadi kieleweke.
 
Umekomenti kwa busara nimekuelewa, HIV ni gonjwa la kawaida ila hii Pre-EP itahatarisha maisha bado, lakini pia kumpima demu geto akawa negative haimanishi kuwa hana UKIMWI, she might be in window period....

Mhimu tubadilike, tuache ngono, ama tafuta mmoja Pima na ishi Nate bila kuchepuka
Kenya na Tanzania zipo kwenye baadhi ya nchi zenye maambukizi makubwa ya ukimwi, yaani hapa Africa tupo kwenye top 5, duniani ndio usipime. Hiyo ni kiashiria kwamba wengi hatutumii kinga wala mipira wala kuwa makini wala nini. Hivyo hizo hadithi za eti ndio watu wataacha kuwa makini au careful ni hadithi za albaba maana tayari ni wazi hatuzingatii njia salama za mapenzi au ngono.

Pili, Ukimwi siku hizi sio tishio kama hapo awali, labda kwa nchi yenu ambayo bado mnanyanyapaa hata albino sembuse muathirika wa Ukimwi?, lakini kwenye nchi nyingi kuwa na Ukimwi haikupi stress kama ilivyokua hapo awali. Hivyo kujipima nyumbani ni jambo la kawaida tu, wengi siku hizi tunapima kwenye zahanati bila hayo ma-counseling wala nini. Unaingia na kuagiza upimwe fasta tu. Jamaa anakudunga na kutoa damu na kuweka kwenye kifaa halafu anakuagiza usubiri hapo nje dakika 15 unaingia na kujua hali yako.

Kuwa na vifaa manyumbani hamna tofauti na ukiwa na mipira ya condom, ukimleta demu wako ghetto mnapima nyote fasta hapo ili umtafune nyama kwa nyama na kuhisi utamu wote bila kuogopa maambukizi.

Sasa nyie Watanzania mumekaa pembeni kutucheka kisa tumeanza kujipima ilhali ukiangalia takwimu za idadi ya maambukizi aisei mnaambukizana hapo Darasalama kama sungura. Hivyo bora kuamua kulikabili hili janga kwa kukaba pembe zake hadi kieleweke.
 
Kenya Jana imezindua Mpango WA Pre-exposure Prophylaxis (Pre-PEP), Ambapo vidonge maalumu vya kumeza kabla ya kulala na MTU mwenye UKIMWI(au usiye muaamini) ili ikukinge wewe kupata UKIMWI, vidonge hivi vitakuzuuia kupata UKIMWI. Na inakadiriwa efficiency yake ni up 90% in preventing u from HIV

Hii ni HATARI KUBWA KWA WAKENYA.....maana kupitia mpango juu watu watarelax na kuwafanya Wawe risk takers zaidi kisa tu wamemeza dawa hizi...hii ni set back wala si progress in Fighting HIV, This is going to encourage people to take risks na kupunguza Umakini.

Tofauti na Tz, ambapo dawa hizi hutolewa baada ya MTU kuhisi ameambukizwa(Post-Exposure Prophylaxis (PEP) na hutolewa ndani ya masaaa 48 kwa kuzingatia vigezo Fulani.

Zaidi, pia wamezindua vipimo vya kujipima UKIMWI majumbani, unajipima peke yako(hii Nayo ni matatizo, because kupima UKIMWI sio a single stage process, kinahitaji counselling before, ni mda sasa wa watu kuzimia majumbani kwa presha, na huenda hata kwa majibu ya uongo maana this needs a professional

Nasema, Kiherehere cha Kenya Kutaka kuonekana ni nchi ya pekee duniani kitawaponza watu wenu... Hii pre-EP ni Janga....

Time will tell.....


Wakenya wajinga sana na wanaamini sana Mzungu, Wanasaisa wao pia wamezindua Kinga ya Malaria ambao iko kwenye testing phase, kwa kifupi Wakenya wanatumiwa kama guniea pigs, Wazungu wanajaribu kuangalia kama hii kinga inafaa kutumika au la, na madhara yake kwa Biandamu ni yapi, Kinga hii ambao Wakenya wameiruhusu kutumiwa kwa Wananchi wao haiwezi kutumika nchi za Wazungu kwani hawatoruhusiwa!

gatesneedle1.jpg


upload_2017-5-5_9-43-6.jpeg


gates-1280x640.jpg
 
Back
Top Bottom