Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Kamanda wa Polisi Kaunti ya Baringo, Robinson Ndiwa, athibitisha ajali hiyo na kuongeza kuwa maafisa wa tatu pia wako hali mahututi
Kufikia sasa watu 14 waliojeruhiwa, wamepelekwa kwa haraka katika Hospitali ya Kabarnet kupata matibabu huku waliofariki wakipelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Kabarnet, Kaunti ya Baringo