Kenya vs Namibia today

Kenya vs Namibia today

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,596
Reaction score
1,236
bbbbbbbbbbbbbb.jpeg


Leo ni leo. Asemae kesho ni mwongo!

Harambee Stars wanakipiga na Brave Warriors leo huko Windhoek, Namibia, kugombea nafasi ya Kombe la Ulimwengu 2014.
 
Mpira ndio sasa unamalizika. Harambee Stars wakun'gutwa na Brave Warriors bila huruma. Namibia 1 - Kenya 0. Goli limefungwa na Henrico Botes.

Poleni majirani!
 
poleni sana, rudini home mtuangalie sisi tutakavyowatungua gambia kesho,njoni mjifunze mpira kwetu sisi watz, acheni kujifanya mnajua kumbe mnafungwa hovyo.
 
poleni sana, rudini home mtuangalie sisi tutakavyowatungua gambia kesho,njoni mjifunze mpira kwetu sisi watz, acheni kujifanya mnajua kumbe mnafungwa hovyo.

Leo tumewatungua Gambia vigoli viwili tu...:sick:
 
hawa jamaa wamejificha!

Wengi wa wanachama wao ukiondoa jamaa aitwae Kabaridi hawana-nia thabit ya kuendeleza hii sub-forum ya Kenya. Hapa na sasa tuna-validate kuwa wengi wao walikuwa kule International forum kwa ajili ya kukashifu wabongo na Tanzania kwa ujumla.:sick:
 
wengi wa wanachama wao ukiondoa jamaa aitwae kabaridi hawana-nia thabit ya kuendeleza hii sub-forum ya kenya. Hapa na sasa tuna-validate kuwa wengi wao walikuwa kule international forum kwa ajili ya kukashifu wabongo na tanzania kwa ujumla.:sick:

nakubaliana na wewe kuwa wengi wapo kwenye international forum kwa ajili ya kukashifu tanzania tu
ukitaka wajitokeze huku waambie tanzania itawaruhusu wamiliki ardhi uone!!!
 
Back
Top Bottom