Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,878
Kenya imerekodi maambukizi mapya 148 ya Corona na kufanya kuwa na jumla ya maambukizi 172,639 tangu kuripotiwa COVID19 nchini Kenya.
Ndani ya Saa 24 zilizopita watu 21 wamefariki kwa COVID19 na kufanya idadi ya jumla kuwa 3,308
Aidha wagonjwa 631 wamepona na kufanya idadi kuu ya waliopona maambukizi kuwa 118,226
Ndani ya Saa 24 zilizopita watu 21 wamefariki kwa COVID19 na kufanya idadi ya jumla kuwa 3,308
Aidha wagonjwa 631 wamepona na kufanya idadi kuu ya waliopona maambukizi kuwa 118,226