simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,760
- 9,666
Kenya na Uganda hatimaye kujenga reli ya kisasa(standard gauge) kati ya Mombasa na Kampala. Treni zitakuwa na kasi ya km mia hadi mia na ishirini kwa saa. Mradi kukamillika kipindi kisichozidi miaka 3. Soma zaidi hapa Standard Digital : Kenya : Kenya, Uganda expect railway to boost cargo movement