Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,267
When you want to fool the Kenyans, do anything in the name of Obama.
Kenya seeks big airport for Obama
Kenyan MPs have called for an airport in the west of the country to be upgraded for Air Force One in case Barack Obama wins the US elections.
Mr Obama's father was born in Nyanza Province and the MPs say the local Kisumu airport should be expanded in case he wants to visit.
The Illinois senator is a local hero in his father's homeland, where a local beer has been named after him.
Mr Obama has never lived in Kenya and he has visited just three times.
The MPs from Nyanza Province said it was clear that Mr Obama was going to clinch the US presidency, the private Nairobi Star newspaper reported.
Mr Obama will face Republican John McCain in the 4 November elections.
Mr Obama's father was from Alego-Kogello village which is 60km (37 miles) from Kisumu.
Kisumu Town MP Aluoch Olago told parliament that the delay in the airport's expansion was a major concern, the Nairobi Star reported.
Transport Minister Chirau Mwakwere said the airport's expansion programme was behind schedule, and is expected to be complete by July 2010.
BBC NEWS | Africa | Kenya seeks big airport for Obama
The MPs from Nyanza Province said it was clear that Mr Obama was going to clinch the US presidency, the private Nairobi Star newspaper reported.
Kisumu Town MP Aluoch Olago told parliament that the delay in the airport's expansion was a major concern, the Nairobi Star reported.
Wenzangu, jamani tuiache hii tabia ya kugeneralise kila kitu. Pameandikwa
Halafu ni mmoja wao tu aliyependekeza swala hilo
Sasa hii leo,sababu ya upumbavu wa watu wachache wakenya wote wamekua ni wapumbavu.
Afrika lazima tujifunze kumuongelea mtu binafsi, tabia hii hata ya magazeti kuandika kwa ujumla haitusaidii. Sababu inawaficha wapumbavu, matapeli kati ya watu wazuri, na ndo hao wanazidi kutufyonza damu kama kupe bila ya sisi kuwatambua.
Wakenya wote ninaowajua mimi wamepagawa....wengine wamejichora mi tattoo ya Obama....yaani wanachekesha kweli
Hebu tuambie, hao unaowajuwa wewe ni asilimia ngapi kati ya wakenya wote.
Jamani hata TZ kuna washamba, matapeli, wahuni etc. infact hakuna nchi duniani isiyo na "makarakta". lakini sii kusema nchi yote iko hivyo bwana.
Mfano mimi nina marafiki wa kinaigeria, ambao ni watu roho safi, waangwana. sasa ninge wajaji na hiyo stereotype ya kwao, ingekuwaje
Kweli, lakini nadhani Wakenya wamezidi kuwa washamba....yaani hawana ujanja hata kidogo. Hata huku US eti unakuta Wakenya karibia 50 wote wanaenda kuomba marriage license kwa wakati mmoja kwenye courthouse hiyo hiyo...sasa kweli huo ni ujanja?
Halafu mademu wa Kikenya wanatuzimia sana sisi ma men wa kibongo....I dunno why....
Halafu mademu wa Kikenya wanatuzimia sana sisi ma men wa kibongo....I dunno why....
Hahahah Nyani my friend hapa umeniacha hoi!!!, Ila na mademu wa kibongo wanawazimia sana non-bongomen.
Yes! Yes, Nyani,
Hapa nakubaliana na wewe, however, it is the same case for Kenyan men wanawapenda sana dada zetu. Si unajua tena maadili ya kibongo? Hapa wanakiri wanamengi ya kujifunza kutoka kwetu.
Japo wanawatuzimia ila wabongo kidogo tunaogopa kujitupa kwa dada zao. Si unajua walivyo rafuuuuuuuuuuu!
Kuna rafiki yangu mkenya alikuwa anasema wanakuja huku kupora dada zetu na malighafi zetu. The guy mpaka leo anatamani kuoa mtz na huwa anamsimlia hata mke wake. Nina imani siku moja ataishia kuoa tu. Kwani amewapenda sana dada zetu na mara nyingi yupo TZ kwa shughuri za ujenzi;
See, they dig us...now you ask yourself why?
It is because they are washamba.....both men and women.....mi nawafahamu Wakenya ambao wanajifanya wabongo na wengine wanaotaka kuwa wabongo...Lol....Halafu wanakizmia sana kiswahili chetu....wakikusikia unatema kiswahili utawasikia wanakuuliza..."wewe m-tizedi (MTZ) eeh" "nimesikia swahili yako nimependa sana"......