Kenya received rice donation from China to fight hunger

Ndugu Zanguni Kenya, mnayo pitia siyo mchezo, muache dharau basi. Huku bongo mchele ni wa kumwaga...
 

Asionwe Mkenya kisa nini, kwetu tunaruhusu uhuru wa maoni, sio kama huko kwenu spika kiongozi wa mhimili analiwa kisa katoa maoni kuhusu mikopo.

Sema huyo Ndugai nilimuona mnafiki, hakusema kitu wakati Magufuli alikopa matrilioni ya hela nyingi kwa miaka mitano zaidi hata ya mikopo ya Kikwete ya miaka kumi, sasa mama kakopa kidogo ajaribu kukamilisha miradi mingi iliyoachwa hoi bila kichwa wala miguu, Ndugai kwa unafiki anafyatuka.
 
Asionwe Mkenya kisa nini, kwetu tunaruhusu uhuru wa maoni, sio kama huko kwenu spika kiongozi wa mhimili analiwa kisa katoa maoni kuhusu mikopo.

Sema huyo Ndugai nilimuona mnafiki, hakusema kitu wakati Magufuli alikopa matrilioni ya hela nyingi kwa miaka mitano zaidi hata ya mikopo ya Kikwete ya miaka kumi, sasa mama kakopa kidogo ajaribu kukamilisha miradi mingi iliyoachwa hoi bila kichwa wala miguu, Ndugai kwa unafiki anafyatuka.
Hebu tuambie alikopa kwenye organization gani ambayo imekubali kutoa mkopo pasipo kutajwa, na kama walikubali kutoa mkopo pasipo kutajwa na wamekaa kimya mpaka leo je bado wanamuogopa Magufuli?
 
Tazara was built by zezeta own money.

When speaker ndungai spook ukweli he was flushed kama mbomba la shoo.

Swali?

Ule mradi wa kiti-mtu sumbawanga wet meat plant, owned by CEO giza ulale umekamila??
Kapokee bakuli la uji acha kujamba hovyo.... Unasahau huo ushuzi ndani ya tumbo ndio unakupa nguvu ya kuishi? Sasa unavyojamba hovyo hivi utaishije?
 
Back
Top Bottom