billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,444
- 1,647
Ndugu Zanguni Kenya, mnayo pitia siyo mchezo, muache dharau basi. Huku bongo mchele ni wa kumwaga...
Watasema wewe co Mkenya
Cc MK254 Nicxie NairobiWalker noma sana Teargas komora096 Coco reborn KENPAULITE
Hebu tuambie alikopa kwenye organization gani ambayo imekubali kutoa mkopo pasipo kutajwa, na kama walikubali kutoa mkopo pasipo kutajwa na wamekaa kimya mpaka leo je bado wanamuogopa Magufuli?Asionwe Mkenya kisa nini, kwetu tunaruhusu uhuru wa maoni, sio kama huko kwenu spika kiongozi wa mhimili analiwa kisa katoa maoni kuhusu mikopo.
Sema huyo Ndugai nilimuona mnafiki, hakusema kitu wakati Magufuli alikopa matrilioni ya hela nyingi kwa miaka mitano zaidi hata ya mikopo ya Kikwete ya miaka kumi, sasa mama kakopa kidogo ajaribu kukamilisha miradi mingi iliyoachwa hoi bila kichwa wala miguu, Ndugai kwa unafiki anafyatuka.
Hebu tuambie alikopa kwenye organization gani ambayo imekubali kutoa mkopo pasipo kutajwa, na kama walikubali kutoa mkopo pasipo kutajwa na wamekaa kimya mpaka leo je bado wanamuogopa Magufuli?
Usisahau kwamba Tanzania ipo namba 93 na Kenya namba 95 katika demokrasia dunianiPitia huu mchanganuo, sijui kwanini mlikua mnafanya usiri wote huo ambao kimya kimya mlikua mnaitia nchi rehani Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78
Kapokee bakuli la uji acha kujamba hovyo.... Unasahau huo ushuzi ndani ya tumbo ndio unakupa nguvu ya kuishi? Sasa unavyojamba hovyo hivi utaishije?Tazara was built by zezeta own money.
When speaker ndungai spook ukweli he was flushed kama mbomba la shoo.
Swali?
Ule mradi wa kiti-mtu sumbawanga wet meat plant, owned by CEO giza ulale umekamila??
Anhaa kumbe Balile ndio organization iliyotukopeshaPitia huu mchanganuo, sijui kwanini mlikua mnafanya usiri wote huo ambao kimya kimya mlikua mnaitia nchi rehani Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78