Frank Wanjiru JF-Expert Member Apr 12, 2012 21,885 38,841 Feb 12, 2024 #1 Wale wala nauli na kuzima simu mjiandae sasa. Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
jay-millions JF-Expert Member Apr 30, 2015 3,543 8,419 Feb 12, 2024 #2 Eheeee.... matapeli watafungwa sana hii ikifika bongo
jay-millions JF-Expert Member Apr 30, 2015 3,543 8,419 Feb 12, 2024 #3 Eheeee.... matapeli watafungwa sana hii ikifika bongo
fundi bishoo JF-Expert Member Jun 26, 2018 13,072 22,879 Feb 12, 2024 #4 ndyo hata mimi pia nilimuambia hivyo
T A J I R I JF-Expert Member Feb 21, 2014 1,765 3,606 Feb 12, 2024 #5 Wakenya wametupiga gape sana kwenye haya mambo. Hawatakangi ujinga
ILISACHA JF-Expert Member Oct 29, 2019 1,994 3,538 Feb 12, 2024 #6 I like it! Kuliko kuweka picha ya sa100 kwenye note bora hii sheria itungwe na ipitishwe ianze kazi mara moja. Ajira hakuna kijana anajibana anabet akimpiga mhindi kidogo anaamua apoze machungu kwa kuifurahisha nafsi anatuma nauli dem nae anakula nauli haendi getto inauma basi tu! Maisha magum afu mwingine anakula nauli sijui aliomba atumiwe ili ale na akija getto njaa mingi!
I like it! Kuliko kuweka picha ya sa100 kwenye note bora hii sheria itungwe na ipitishwe ianze kazi mara moja. Ajira hakuna kijana anajibana anabet akimpiga mhindi kidogo anaamua apoze machungu kwa kuifurahisha nafsi anatuma nauli dem nae anakula nauli haendi getto inauma basi tu! Maisha magum afu mwingine anakula nauli sijui aliomba atumiwe ili ale na akija getto njaa mingi!