Uko sahihiSo what? Corruption is everywhere. Important is they are trying to be transparent about how public funds are spent. In Tanzania everything important for public knowledge is a big secret, and this makes me sick to the gut!!
Pendekeza na huku maana huku ndio tuna rais mzalendo kuliko Kenya. Huku ndio hilo wazo litapita kirahisi maana hii ni serekali inayojali wanyonge. Huenda ww ukasikilizwa maana sasa hivi huwa unawatetea sana, sisi tunapinga kila kitu hatutasikikizwa.
Jana tume ya mishahara [ya watumishi wa umma] ya Kenya imetangaza viwango vipya vya mishahara ya viongozi wa umma.
Viwango hivyo vipya ni vidogo kidogo kulinganisha na viwango vya sasa.
Kwa hiyo, rais mpya ajaye baada ya uchaguzi wao wa mwezi ujao ataanza kupokea huo mshahara mpya.
Na kama Uhuru Kenyata akishinda basi ina maana mshahara ataopokea kuanzia mwezi Septemba utakuwa ni pungufu kuliko apatao sasa.
Tofauti na huku kwetu ambapo kuna wapumbavu ukiulizia mshahara wa rais wanakwambia 'mshahara wa mtu ni siri'.
Nyani, kumbuka kipindi kile yupo chato likizoni, alisema akija atataja mshahara wake, tulisha sikia tena? Na watu wanasema mshahara wa Rais Tz ni mkubwa sana. Nadhani kwa Afrika Tz ni ya tatu kwa mshahara mnono wa Marais. Ngoja tuendelee na uzalendo huu tuliouanzisha
Siyo viongozi tu hata watumishi wengineInapaswa kuwepo na sheria inayolazimisha uwazi wa malipo ya viongozi wote wa umma.
Sasa hivi sidhani kama ipo.
Kwa yeye kusema atautaja mshahara wake kwetu hiyo ni hisani tu.
Inapaswa iwe lazima kisheria.
Na hapo karibia makatibu wakuu, manaibu katibu wakuu, mawaziri na manaibu ni PhD holders wrote!! Huwa najiuliza wanafanya kazi gani huko? Kusaini vocha na cheque na kupitisha madokezo!!? Maana kila juhudi anaanzisha Rais yenyewe yanafyata!Inapaswa kuwepo na sheria inayolazimisha uwazi wa malipo ya viongozi wote wa umma.
Sasa hivi sidhani kama ipo.
Kwa yeye kusema atautaja mshahara wake kwetu hiyo ni hisani tu.
Inapaswa iwe lazima kisheria
Tanzania ikiwemo!But it is among the World's most Corrupt Countries.
Pombe si alisema atatuonesha salary slip yake mbona jiiiiiiii hadi leo
From Magogoni
Ni kweliTanzania hata wa diwan haujulikan
Mzalendo hawezi kudanganya!!Alitudanganya.
Plain and simple
Nchi hii tunaish tuNi kweli
Nimeanza kuhoji kuhusu mshahara wa rais zaidi ya miaka 10 iliyopita.
IQ inaongezeka kadri unavyo-move kaskazini mwa bara la Afrika.Kenya ni Nchi inayoelekea kuwa Nchi ya kizungu usiilingananishe na BBM ya young dee
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app