Kenya Monopolizing East Africa

I am sorry,i do not have time to debate with intellectual dwarfs like you.
Sasa kaa mimi ni dwarf wewe unamjibu dwarf si ndio uko chini zaidi yangu. Mwe..Mbumbumbu mzungu wa reli.
Let us base our arguments on facts not your primitive and outdated theories and ideas.
Ni theory gani nimeweka ? Kukwambia uache kutumia third person plural wakati uko mwenyewe? Nimekwambia ulete na data za kuonesha hoja zako, ni kipi umeleta zaidi ya huu upupu hapo chini ambao naona hata uvivu kuujibu? Huna tofauti na looser mwingine yule sijui Jammuafrika mwenye nyumba za udongo kule Kibera..hopeless in totality.

This is why Tanzanias will always lag behind.You pride yourselves that South Africans are controlling your economy and think that we can bend low like you and accept to be dominated!!?NO!!
When a foreigner comes here(kenya),we allow him to invest,then we learn from him and then beat him at his own game.We have done this in Media,Banking ,Tourism Agro processing retail industries etc,while you people will forever be dominated!!what a curse!!!
The fact is and will always remain that East Africa is dominated and controlled by Kenyan comapanies mostly wholly or partly owned by kenyans.Continue soothing your concience with the lie that we are in the same situation like you.Instead of accepting positive critism you take it as an insult to your nation and people.You will be left behind and please take time and tour East africa so that you can post intelligent views here.
We should focus all our effort in educating our fellow East Africans on how we can benefit from available opportunies so that E.Africa will be truly owned by east africans,but i know because of your limited thinking capacity you will rather insult than benefit from good advise.For your info i am running three succesful companies in Tanzania,i love tanzania as a country plus many many good people i meet, but those that are supposed to be enlightened like you are the greatest curse of your good country.
Keep on complaining while we grab opportunities that are at your door step,and you will wake up when its too late for you,South Africans are not a threat at all they cant survive in Kenya and God willing we will drive them out of East Africa,this is a war that must be worn.
 
Real talk Moyo, let them complain, we have alot to do in and out of our borders, the empty rhetoric in this forums wont prevent me and other Kenyans from coming and doing our businesses in TZ, and most of my Tanzanian associates dont share the same sentiments as most of you, at the end of the day, we all go home a happy lot.

Naona unaongea gibberish..hivi una-refer hoja gani we kunguni?
 
To all of you debating this...it is quite sad. Kwa kuanzia you all have some points but let's look at the bigger picture. Ni kweli sisi watz tunawasiwasi na wakenya and this is historical toka wakati wa Nyerere na kutufunga kwake macho, so we have been wary of Kenyans, but lets look at the reality,

FACT 1

SA companies hazi dominate Kenya kama hapa kwetu Tz sababu kubwa ni kuwa ndugu zetu wakenya wametuzidi kwenye enterpreneurship na walianza kabla yetu, Hivo basi ukiwa Nairobi huoni vitu vingi ambavyo ni made in SA kama unavoviona TZ.

FACT 2

Kenya companies zina mtazamo mzuri wa East Africa kuliko kampuni za Tz bila kujali kama hizi kampuni ni za wazawa au la...eg KQ, EABL, NMG, KCB na kadhalika ambazo zipo all over E. Africa. Swala hapa ni namna gani kampuni za Tz zichukue hii fursa ya masoko all over EA na si kulaumu kuwa kampuni za Kenya zinadominate.

FACT 3

TZ tuna utawala mbovu kwenye kampuni na mashirika yetu (especially zile former SU) classic example ATC compared to KQ or even Precision (ambayo KQ ina share kubwa tu). Swali la kujiuliza ni kwanini bidhaa au huduma ambazo ni made in TZ zinasuasua madukani nenda Kenya, Uganda au hata Rwanda same story, made in TZ ni chache wakati maduka nchi zote hizi yamejaa made in Kenya!!

Huu ndio ukweli, cha msingi sisi wabongo tukae chini tujifunze pale wenzetu walipotuzidi ili tuweze kushindana fairly...Nakubaliana na comment moja hapo juu kuwa, in Kenya hizi kampuni za SA zilipoingia waKenya walijifunza haraka na kuzipa ushindani. Kuna mtu kaisifu Serengeti Bre hapo juu na sasa EABL wanaichukua na naamini wataiboresha zaidi.

Mi I'm all for a prosperous and peaceful EA Nation!!! Umoja ni nguvu!!

Nawakilisha
 
you must be lazy at seeing and thinking otherwise prove me that you dont have Dstv, you dont have Woolworth, you dont have Mr Price, you dont have Deacon, you dont have Steers, Nandos? you dont have financial institutions controlled by SA enhe? how about Stanbic/Standard bank? how about ur Intercontinental hotel franchise that also own all the holiday Inn hotels in Kenya? how about ICT companies controlled by SA? Wine Industry? Coca cola Franchise? Rift Valley railway company? even ur Kenya Airways SA individuals have about 20% of shares! even ur recent famine was eradicated by food from SA! How about your cement factories! do your homeworks boy and stop yaping childish here! How about the machines you use in that country of yours? Go and sleep boy

Mazee usipoteze muda wako kubishana na hawa jamaa wanaoishi ktk denial. Ukiwauliza walete data kwa Tz inakuwa dominated na bidhaa za SA na Kenya inajitegemea, watakuja na maelezo kaa gazeti lakini ndani ni upupu tu na stori za Kalulu the Hare plus maneno ya kwa barber shop.
 
Wakenya karibuni sana bongo tunahitaji hizo business,brain,competition na capital huku,achana na hawa wajamaa uchwara wanaofikiri nchi kuendelea biashara lazima iwe owned na mzawa,hawa ni makelele tuu na hawana idea wanachoongea zaidi ya empty rhetoric na siasa zao muflisi za kijima,kama jamaa wanalipa kodi na wana play by the rules shida iko wapi?njooni mfungue malls,banks,TV stations,factories etc na hata tax break tutawapa..hawa wapiga kelele za kijima hakuna mtu anawasikiliza na hakuna kitu watafanya sana sana watakuja kuleta job application letter,wengi wao bado wanafikiria maduka ya kaya na viwanda vya serikali ndio maendeleo,bado wanafikiri serikali ndio inatakiwa kuwa na shirika la ndege,umeme,simu etc....game on wabongo!
 
it is true that Kenyans have gone far in entrepreneurship compared to Tanzanians a good example is in Education sector.Go to many secondaries in Dar and else where u will find Mwaniki,Mutembei,Awiti ,Gichuru,Nyakundi,Owino and many more.As we want a good East Africa Tanzania should keep their heads up and start running rather than crawling.
 
Wakenya karibuni sana bongo tunahitaji hizo business,brain,competition na capital huku,achana na hawa wajamaa uchwara wanaofikiri nchi kuendelea biashara lazima iwe owned na mzawa,hawa ni makelele tuu na hawana idea wanachoongea zaidi ya empty rhetoric na siasa zao muflisi za kijima,kama jamaa wanalipa kodi na wana play by the rules shida iko wapi?njooni mfungue malls,banks,TV stations,factories etc na hata tax break tutawapa..hawa wapiga kelele za kijima hakuna mtu anawasikiliza na hakuna kitu watafanya sana sana watakuja kuleta job application letter,wengi wao bado wanafikiria maduka ya kaya na viwanda vya serikali ndio maendeleo,bado wanafikiri serikali ndio inatakiwa kuwa na shirika la ndege,umeme,simu etc....game on wabongo!

Hujui unachoongea.

Wewe ndio kama hawa clueless CCM wanaodhani maendeleo yataletwa na wageni au wawekezaji. Watu kaa nyinyi wakimbizi ndio mnaotengeneza na kuchochea watu kama akina Hitler.
 
BTW, We Kobe, unawakaribisha Wakenya Tanzania, mboni huwakaribishi kwenu RWANDA..ha ha ha..u guyz are very funny indeed. Mnaukandia 'ujima' wa waTz huku hamuishi kuiwaza Tz baada ya huko makwenu kuwa hakuliki hakukaliki, ni vurugu kwa kwenda mbele, na nchi zisizo na mbele wala nyuma.
 
Wakenya karibuni sana bongo tunahitaji hizo business,brain,competition na capital huku,achana na hawa wajamaa uchwara wanaofikiri nchi kuendelea biashara lazima iwe owned na mzawa,hawa ni makelele tuu na hawana idea wanachoongea zaidi ya empty rhetoric na siasa zao muflisi za kijima,kama jamaa wanalipa kodi na wana play by the rules shida iko wapi?njooni mfungue malls,banks,TV stations,factories etc na hata tax break tutawapa..hawa wapiga kelele za kijima hakuna mtu anawasikiliza na hakuna kitu watafanya sana sana watakuja kuleta job application letter,wengi wao bado wanafikiria maduka ya kaya na viwanda vya serikali ndio maendeleo,bado wanafikiri serikali ndio inatakiwa kuwa na shirika la ndege,umeme,simu etc....game on wabongo!

Ahsante Koba, wewe ni mwafrika halisi na uko mbele ki mawazo kuliko wengi. Umoja ni nguvu lakini wengine wana mawazo tofauti kabisa.
 
Wakenya karibuni sana bongo tunahitaji hizo business,brain,competition na capital huku,achana na hawa wajamaa uchwara wanaofikiri nchi kuendelea biashara lazima iwe owned na mzawa,hawa ni makelele tuu na hawana idea wanachoongea zaidi ya empty rhetoric na siasa zao muflisi za kijima,kama jamaa wanalipa kodi na wana play by the rules shida iko wapi?njooni mfungue malls,banks,TV stations,factories etc na hata tax break tutawapa..hawa wapiga kelele za kijima hakuna mtu anawasikiliza na hakuna kitu watafanya sana sana watakuja kuleta job application letter,wengi wao bado wanafikiria maduka ya kaya na viwanda vya serikali ndio maendeleo,bado wanafikiri serikali ndio inatakiwa kuwa na shirika la ndege,umeme,simu etc....game on wabongo!

I completely agree with you broda.

We have so much in common and we need each other.

Some love hating us Kenyans for completely no reasons at all.

Always blaming us for whatever may happen in TZ.

You have to discover your weakness so as to be strong.

Tanzania is a great country but it has wasted so much time
complaining instead of getting down and working out it's problems.

Kenya has it's own problems as is many countries but we do not look for scapegoats.

A person who keep complaining all the time must look very helpless and weak to others.

Tanzania, you're a giant, stop wasting your time and discover your great potentials.

Iddi Amin and many Ugandans had that weak idea that the biggest problem facing Uganda was the Indians and so he chased them out for Museveni to bring them back.
 
To all of you debating this...it is quite sad. Kwa kuanzia you all have some points but let's look at the bigger picture. Ni kweli sisi watz tunawasiwasi na wakenya and this is historical toka wakati wa Nyerere na kutufunga kwake macho, so we have been wary of Kenyans, but lets look at the reality,

FACT 1

SA companies hazi dominate Kenya kama hapa kwetu Tz sababu kubwa ni kuwa ndugu zetu wakenya wametuzidi kwenye enterpreneurship na walianza kabla yetu, Hivo basi ukiwa Nairobi huoni vitu vingi ambavyo ni made in SA kama unavoviona TZ.

FACT 2

Kenya companies zina mtazamo mzuri wa East Africa kuliko kampuni za Tz bila kujali kama hizi kampuni ni za wazawa au la...eg KQ, EABL, NMG, KCB na kadhalika ambazo zipo all over E. Africa. Swala hapa ni namna gani kampuni za Tz zichukue hii fursa ya masoko all over EA na si kulaumu kuwa kampuni za Kenya zinadominate.

FACT 3

TZ tuna utawala mbovu kwenye kampuni na mashirika yetu (especially zile former SU) classic example ATC compared to KQ or even Precision (ambayo KQ ina share kubwa tu). Swali la kujiuliza ni kwanini bidhaa au huduma ambazo ni made in TZ zinasuasua madukani nenda Kenya, Uganda au hata Rwanda same story, made in TZ ni chache wakati maduka nchi zote hizi yamejaa made in Kenya!!

Huu ndio ukweli, cha msingi sisi wabongo tukae chini tujifunze pale wenzetu walipotuzidi ili tuweze kushindana fairly...Nakubaliana na comment moja hapo juu kuwa, in Kenya hizi kampuni za SA zilipoingia waKenya walijifunza haraka na kuzipa ushindani. Kuna mtu kaisifu Serengeti Bre hapo juu na sasa EABL wanaichukua na naamini wataiboresha zaidi.

Mi I'm all for a prosperous and peaceful EA Nation!!! Umoja ni nguvu!!

Nawakilisha
nathani na wewe upo gizani hujui unachoongea hayo makampuni yoote unayoongea si wakenya waliyafikisha hapo! so there is nothing Kenyans can be proud about as their success! KQ (over 60% foreign owned iclude those shares on hold by incorporated companies in Kenya considered as kenya's owned at NSE) was bought by KLM restructured managed by KLM guys till where it is! EABL is whooping 80% controlled by Diageo so every decision made on EABL and KBL is by London Diageo Plc! Safaricom is owned by Vodafone and todate is owned by a briton and most important decisions done by britons! so these useless guys r coming here bragging they are good at this or that; is simply blah blah there is nothing a Kenyan can brag! get that! NMG, DTB is over 70% controlled by Aga Khan and its allies! KCB Bank is over 50% foreign owned! So they should feel ashamed of making noises at SA runs this and that in Tanzania! simply cause we know Kenyans are simply arrogant and proud for nothing and they can not do anything since they have no history in performing! so far no Kenyan has managed even to have a media empire compared that of IPPMedia or having a simple brewery! the only thing i can tell these bragging guys here is go home and sleep! The only thing they know is the likes of Kirubis stealing billions of Kenyans money (Uchumi collapsing case) since he is a Kikuyu, so are the TransCentury group & Centum group! all the inner circle (Mt Kenya mafians) Kikuyu buddies of Kibaki
 
Ahsante Koba, wewe ni mwafrika halisi na uko mbele ki mawazo kuliko wengi. Umoja ni nguvu lakini wengine wana mawazo tofauti kabisa.

Ni muafrika halisi kwa sababu kawakaribisha Wakenya waje Tanzania, badala ya kwao Rwanda? Nyie mna akili za kuku kabisa..Muulize kwanini hawakaribishi Wakenya waende Rwanda? LMFAO
 
I completely agree with you broda.

We have so much in common and we need each other.

Some love hating us Kenyans for completely no reasons at all.

Always blaming us for whatever may happen in TZ.

You have to discover your weakness so as to be strong.

Tanzania is a great country but it has wasted so much time
complaining instead of getting down and working out it's problems.

Kenya has it's own problems as is many countries but we do not look for scapegoats.

A person who keep complaining all the time must look very helpless and weak to others.

Tanzania, you're a giant, stop wasting your time and discover your great potentials.

Iddi Amin and many Ugandans had that weak idea that the biggest problem facing Uganda was the Indians and so he chased them out for Museveni to bring them back.

THis is common BS tumezizoea.

Ati waTZ are hating Kenyans..lol..Don't flatter yourself mazee.
Unataka kuonesha kaa vile wakenya wapo juu sana ya watz, kaa vile
wayahudi enzi zile za Nazi..lol..as the matter of facts there very little difference to tell between the common mTz na mKenya.
Thats a fact, not nonsensical assumption ambazo wengi wenu mnaishi.

Hata my Kenyans siblings wanasemaga ivoivo, ati waTz
wanawachukia ati kisa wakati wanadrive
wamesimamishwa na trafiki mara kadhaa na kuulizwa kuhusu fire extinguishers..lol

Hizo ni check up za kawaida kwa matrafiki wa Tz..Sasa kaa inaeza kutafsiriwa
kama ni chuki then inabidi mjitizame nyie 'wachukiwa', huenda akili zenu zina walakini kwa kushindwa ku-interprete matukio.

99.999% ya waTz I know they don't even care kaa Kenya and Kenyans exists or not.
Watz wengi wapo bize wanasaka the mighty dollar, hawana muda wa kuanza kuulizana ukabila
wa utaifa wala dini. Watz pekee wanaoeza kujali kuhusu Kenya ni watu wa kule maeneo ya Sirari wanaoogopa waizi wa ng'ombe kutoka Kenya..Thats the bottomline mazee..Sasa sio next time una-recycle tena na tena hizi BS zako..K?
 
Ni muafrika halisi kwa sababu kawakaribisha Wakenya waje Tanzania, badala ya kwao Rwanda? Nyie mna akili za kuku kabisa..Muulize kwanini hawakaribishi Wakenya waende Rwanda? LMFAO

..stop nonsense za kibwege za kujifanya mtanzania kuliko wengine,mimi sio MTZ tuu bali nina uhakika nachangia pato la Taifa kuliko huo ushuzi wako kichwani,call me rwandese anytime & i care less and thats non of your business kama una tatizo na uraia wangu unajua cha kufanya sio kelele tuu,ignorance & blind patriotism ndio ina drive watu kama nyie,hakuna mtu amekuzuia kuanzisha biashara yako lakini akili yako unafikiria wahindi au wakenya ndio wanakufanya ushindwe,wewe na mikelele yako na bankruptcy ideologue ndio tatizo sio hao wakenya wanaofanya kazi kwa bidii kujiletea maendeleo...you need help!
 
..stop nonsense za kibwege za kujifanya mtanzania kuliko wengine,mimi sio MTZ tuu bali nina uhakika nachangia pato la Taifa kuliko huo ushuzi wako kichwani,call me rwandese anytime & i care less and thats non of your business kama una tatizo na uraia wangu unajua cha kufanya sio kelele tuu,ignorance & blind patriotism ndio ina drive watu kama nyie,hakuna mtu amekuzuia kuanzisha biashara yako lakini akili yako unafikiria wahindi au wakenya ndio wanakufanya ushindwe,wewe na mikelele yako na bankruptcy ideologue ndio tatizo sio hao wakenya wanaofanya kazi kwa bidii kujiletea maendeleo...you need help!

Bwa ha ha, naona nimegonga ikulu povu linakutoka. lol

Kuongea kiswahili sio qualification ya kuwa mTz mazee. Utz ni wa damuni , wa kuitetea maslahi ya nchi, sio mamluki wa fikra na kimwili kaa wewe.
 
Watanzania inabidi wawe makini sana na hii jumuia, wakati Wakenya wanataka Tanzania ibadilishe katiba yake ili iruhusu wageni wamiliki ardhi, wao wako kwenye process ya kubadili katiba yao ili kuwanyima wageni wasipewe arhi. Huu ni unafiki wa khali ya juu sana....


Moi says land clauses in draft law defective

By James Ratemo


Retired President Moi insists amendments to the Proposed Constitution should be done before the referendum.
Moi said any amendment after the referendum would require a two-thirds majority in Parliament, which may be difficult to achieve.
Speaking yesterday during a fundraising for Kirenga AIC Church in Lari, the former Head of State said the new legislation on land could cause tension. The land law prohibits private ownership by non-citizens and limits such ownership to leasehold not exceeding 99 years.
Moi also threw his support behind Church leaders to condemn the clause that they say legalises abortion.
"There should be no compromise over evil,...we should not say a little evil should be allowed as they are trying to say in the Proposed Constitution," said Moi.
The draft law prohibits abortion except at the discretion of a medical practitioner concerning the health of an expectant mother. Church leaders opposed to the clause claim the provision on abortion is a subtle way to legalise it hence should be confined to a Act of Parliament.
Speaking at the same venue, Planning Assistant Minister Peter Kenneth, urged Kenyans to vote for the Proposed Constitution at the referendum.
"Kenyans have waited for a new constitution for very long...the draft law is better than the current constitution and all citizens should support it," said Mr Kenneth.
Lari MP, David Njuguna and his Mwea and North Imenti counterparts, Peter Gitau and Cyrus Muriuki also supported the draft urging Kenyans to make informed choices after reading the draft. "Amendments can come later. For now, Kenyans want a new constitution," said Mr Njuguna.
 
Wakenya karibuni sana bongo tunahitaji hizo business,brain,competition na capital huku,achana na hawa wajamaa uchwara wanaofikiri nchi kuendelea biashara lazima iwe owned na mzawa,hawa ni makelele tuu na hawana idea wanachoongea zaidi ya empty rhetoric na siasa zao muflisi za kijima,kama jamaa wanalipa kodi na wana play by the rules shida iko wapi?njooni mfungue malls,banks,TV stations,factories etc na hata tax break tutawapa..hawa wapiga kelele za kijima hakuna mtu anawasikiliza na hakuna kitu watafanya sana sana watakuja kuleta job application letter,wengi wao bado wanafikiria maduka ya kaya na viwanda vya serikali ndio maendeleo,bado wanafikiri serikali ndio inatakiwa kuwa na shirika la ndege,umeme,simu etc....game on wabongo!


WaTZ tuamke. Kusaidia hawa omba omba wa Kinyarwanda naona imekuwa tabu. Hata kama nataka kujifunza, siwezi jifunza kwa Nyang'au..watu wasiokuwa na kichwa wala miguu. Wanaokuja kuzengea kazi za watanzania na kuiba tu. Hizo Multinationals zilizoko Kenya siyo za Wakenya, hiyo haihitaji hata kusoma kulijua hilo. But fakini foreigners wakenya mnajichimbia kaburi, sawa endeleeni na ujinga wenu ila itakula kwenu. Na haya Manyarwanda dawa yao inachemka! Kamkaribishe Kigali kwenu kwa wauaji wenzako..siyo Tanzania! Hakuna anayekataa vitegauchumi, vije tu..ila wasije na vibarua kutoka Kenya. Wamachinga kama kina Smatta, kuna njia za kuwashughulikia, watakimbia wenyewe. Huyu mgonjwa wa akili Koba anahitaji msaada. Ni kwamba, EABL, KQ, Unilever or whatever ni hela za wazungu/wawekezaji and they have nothing to do kenyans. If anything, zikija Tanzania, zinaweza kuleta ajira kwa watanzania kama abavyo zinawasaidia wakenya....hizi kampuni siyo innovation ya wakenya ambao ni choka mbaya kama walivyo!
 
nathani na wewe upo gizani hujui unachoongea hayo makampuni yoote unayoongea si wakenya waliyafikisha hapo! so there is nothing Kenyans can be proud about as their success! KA (over 60% foreign owned) was bought by KLM restructured managed by KLM guys till where its is! EABL is whooping 80% controlled by Diageo so every decision made on EABL and KBL is by London Diageo Plc! Safaricom is owned by Vodafone and todate is owned by a briton and most important decisions done by britons! so these useless guys here coming bragging they are good at this or that is simply blah blah there is nothing a Kenyan can brag! get that! NMG, DTB is over 70% controlled by Aga Khan and its allies! KCB Bank is over 50% foreign owned! So they should feel ashamed of making noises at SA runs this and that in Tanzania! simply cause we know Kenyans are simply arrogant and proud for nothing and they can not do anything since they have no history in performing! so far no Kenyan has managed even to have a media empire compared that of IPPMedia or having a simple brewery! the only thing i can tell these bragging guys here is go home and sleep! The only thing they know is the likes of Kirubis stealing billions of Kenyans money (Uchumi collapsing case) since he is a Kikuyu, so are the TransCentury group & Centum group! all the inner circle Kikuyu buddies of Kibaki

sawa basi tumekusikia, swali langu ni wewe binafsi unachangia nini Tanzania isipokuwa kuketi vijiweni na kufyata mdomo? Nina uhakika nachangia pakubwa nchini mwako kukuliko wewe Geza Ulole Mzawa wa Tanzania, hiyo blind patriotism ndio itachangia pakubwa kwa maangamizi yenyu kama nchi, watch this space. Frustration zenyu zisiwafanye kuwa na chuki dhidi ya jirani, haisaidii hata kidogo mkipiga kelele na vifua, ni kama mwaweza fanya chochote dhidi ya majirani zenyu wakati tunajua hamna lolote ila uswahili na majigambo. Tanzania ni nchi tajiri sana, lakini ikiwa kwa mikono ya Watanzania mtazidi kuwa maskini hadi kiama, thats a fact, you are so rigid, lazy and conservative ndio maana wazungu wananyonya migodi yenyu mkibakizwa maskini wakutupa kisha mwalaumu wakenya waliokuja kuchukua mabaki yaliowachwa na wazungu. Mtabaki mkipiga kelele aisee, sisi tunapepea na tutawaacha nyuma, we are so ambitious.
 
nathani na wewe upo gizani hujui unachoongea hayo makampuni yoote unayoongea si wakenya waliyafikisha hapo! so there is nothing Kenyans can be proud about as their success! KA (over 60% foreign owned) was bought by KLM restructured managed by KLM guys till where its is! EABL is whooping 80% controlled by Diageo so every decision made on EABL and KBL is by London Diageo Plc! Safaricom is owned by Vodafone and todate is owned by a briton and most important decisions done by britons! so these useless guys here coming bragging they are good at this or that is simply blah blah there is nothing a Kenyan can brag! get that! NMG, DTB is over 70% controlled by Aga Khan and its allies! KCB Bank is over 50% foreign owned! So they should feel ashamed of making noises at SA runs this and that in Tanzania! simply cause we know Kenyans are simply arrogant and proud for nothing and they can not do anything since they have no history in performing! so far no Kenyan has managed even to have a media empire compared that of IPPMedia or having a simple brewery! the only thing i can tell these bragging guys here is go home and sleep! The only thing they know is the likes of Kirubis stealing billions of Kenyans money (Uchumi collapsing case) since he is a Kikuyu, so are the TransCentury group & Centum group! all the inner circle Kikuyu buddies of Kibaki

Ndugu yangu nilikuwa gizani enzi za ujima na baba wetu wa taifa, wakati haturuhusiwi kuona nchi za wenzetu zilizoendelea zikoje na kabla shule haijapanda. Hivi sasa nimetembea na kuona kwa wenzetu na kugundua kuwa sisi ndio tulikuwa gizani. Ownership sio tatizo, mradi watu walipe kodi na kushindana fairly...kwa taarifa yako wakati wa Mwinyi kabla ya PSRC, Ma SU mengi yalikuwa yakitegemea ruzuku ya serikali kusurvive, sasa swala kuu ni kuwa je ni kazi ya serikali kubeba mashirika au kuongeza juhudi na tija kwenye huduma za jamii?

Nafikiri wengi tutakubaliana kwanza kuwa jukumu kuu la serikali ni kuhakikisha kuwa watu wake wanaishi kwa amani(ulinzi na usalama), kuendeleza miundo mbinu (barabara, umeme, maji n.k.), elimu na afya kwa raia wake na kukusanya kodi kwa uhakika. Sasa enzi za Mwalimu serikali ilikuwa bize kuyainua haya ma SU huku ufanisi ukiwa hoi, ukusanyaji kodi ilikuwa ni kichekesho . Pamoja na matatizo yote mi na imani tuko kwenye right track hivi sasa angalau shule na vyuo vimeongezeka, barabara zinajengwa na uchumi unakua. GDP ya TZ between 1961 na 1985 Nyerere alipotoka hardly change angalia sasa tulipo. Mafisadi ndio tatizo sasa na hili ni jukumu letu wote watanzania kulipa vita kama tunavofanya hapa JF.

Ili kuiendeleza nchi yetu ni muhimu tushirikishe wageni regardless kama ni wakenya (albeit foreign own) haijalishi hiyo, mradi hawa wanalipa kodi na kutupa ajira watanzania ndio kitu cha muhimu. Na uchumi wetu unakua, watoto wetu wanaenda shule, barabara zetu zinajengwa na hospitali. Hivi ndio vitu vya kuboresha sio longolongo kuhusu nania anamiliki makampuni ya Kenya na bla bla nyingine ambazo hazina tija...

Haya ni mawazo yangu, Nawakilisha
 
sawa basi tumekusikia, swali langu ni wewe binafsi unachangia nini Tanzania isipokuwa kuketi vijiweni na kufyata mdomo? Nina uhakika nachangia pakubwa nchini mwako kukuliko wewe Geza Ulole Mzawa wa Tanzania, hiyo blind patriotism ndio itachangia pakubwa kwa maangamizi yenyu kama nchi, watch this space. Frustration zenyu zisiwafanye kuwa na chuki dhidi ya jirani, haisaidii hata kidogo mkipiga kelele na vifua, ni kama mwaweza fanya chochote dhidi ya majirani zenyu wakati tunajua hamna lolote ila uswahili na majigambo. Tanzania ni nchi tajiri sana, lakini ikiwa kwa mikono ya Watanzania mtazidi kuwa maskini hadi kiama, thats a fact, you are so rigid, lazy and conservative ndio maana wazungu wananyonya migodi yenyu mkibakizwa maskini wakutupa kisha mwalaumu wakenya waliokuja kuchukua mabaki yaliowachwa na wazungu. Mtabaki mkipiga kelele aisee, sisi tunapepea na tutawaacha nyuma, we are so ambitious.

Of course huchangii chochote, kwa sababu kimsingi hiyo unayosema 'unachangia' umechuma kutoka kwetu, hivo kuwa na respect and dignity kwa mkono unaokulisha wewe nyang'au.

Unasema kwa mikono ya waTz nchi itazidi kuwa maskini, my a$$..hivi nchi yenu ni tajiri sana ..lol.Endeleeni kuishi kwenye denial na majigambo ya kipumbavu. Au nyie mwajiona masiha au superman mmekuja kuokoa waTz wakati nchini kwenu there is little to tell..LMFAO
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom