Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 38,561 Reaction score 48,908 Aug 30, 2013 #1 Whatever happened to our dear KILI!! Nyie machalii ya kenyatta mmezidi arifu...embu mchill sasa Attachments made in kenya.jpg 56.1 KB · Views: 858
O Oremus Member Joined Oct 17, 2012 Posts 46 Reaction score 9 Aug 30, 2013 #2 Hivi wewe hukumbuki kuwa twiga wetu alipanda ndege, bora wao waendelee kufaidika na twiga wao.
damian marijani JF-Expert Member Joined Jan 31, 2010 Posts 695 Reaction score 466 Aug 30, 2013 #3 Hawa ndio zao hizo, hata Tanzanite is exported from Kenya kuzidi Bongo.
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 5,003 Aug 30, 2013 #4 Wafanyeje kama mmelala?
Ringo Edmund JF-Expert Member Joined May 10, 2010 Posts 4,879 Reaction score 1,134 Aug 30, 2013 #5 bado watatumia mpaka picha ya nyerere.
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 38,561 Reaction score 48,908 Sep 2, 2013 Thread starter #6 BOSCONTAGANDA said: bado watatumia mpaka picha ya nyerere. Click to expand... mkuu imebakia hiyo tu pamoja na kutumia jina la nchi yetu kabisa
BOSCONTAGANDA said: bado watatumia mpaka picha ya nyerere. Click to expand... mkuu imebakia hiyo tu pamoja na kutumia jina la nchi yetu kabisa
galindas JF-Expert Member Joined Mar 3, 2013 Posts 978 Reaction score 1,306 Sep 3, 2013 #7 mbona sielewi. Ramani ya Tanzania lakini "kenyan tea"!
K keisha Member Joined Jul 14, 2013 Posts 27 Reaction score 3 Sep 3, 2013 #8 Duh, kasheshe. Serikali indio imelala, name WAF any a bias hara wake
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,102 Sep 3, 2013 #9 Serikali sikivu haijasikia.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,283 Reaction score 108,299 Sep 4, 2013 #10 Mrisho Mpoto mwenyewe kashawahi kuiwakilisha Kenya katika tamasha la ughani wa mashairi kwa lugha ya Kiswahili huko ng'ambo
Mrisho Mpoto mwenyewe kashawahi kuiwakilisha Kenya katika tamasha la ughani wa mashairi kwa lugha ya Kiswahili huko ng'ambo
LexAid JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 1,931 Reaction score 774 Sep 4, 2013 #11 genekai said: Wafanyeje kama mmelala? Click to expand... wewe ulieammka unafanya nini?
Mu-Israeli JF-Expert Member Joined Mar 21, 2012 Posts 2,454 Reaction score 975 Sep 4, 2013 #12 BOSCONTAGANDA said: bado watatumia mpaka picha ya nyerere. Click to expand... Hata Rwanda wameshtukia 'deal' kuwa TZ tumelala....
BOSCONTAGANDA said: bado watatumia mpaka picha ya nyerere. Click to expand... Hata Rwanda wameshtukia 'deal' kuwa TZ tumelala....
YouTube JF-Expert Member Joined Jul 24, 2012 Posts 936 Reaction score 362 Sep 28, 2013 #13 mh kweli wakenya wanatugusa kidole machoni,
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,948 Reaction score 13,378 Sep 29, 2013 #14 Kenya hamna mpango wala nini,tangazeni cha kwenu. Nalog off