Kenya mbioni kujenga Bandari mpya Lamu

De Javu

JF-Expert Member
May 5, 2010
264
33
Kenya ipo mbioni kujenga bandari ya kina kirefu katika mji wa Lamu itakayo gharimu US $22 billions. Jiwe la msingi linategemewa kuwekwa mapema January 2011, Mwai Kibaki anataka ujenzi uanze kabla ya muhula wake wa uraisi unaoisha 2012. Katika ujenzi huo utajumuisha Uwanja wa Ndege wa kimataifa pamoja na reli itakayounganisha Ethiopia kupitia Sudan kusini na baadae nchi zingine za Afrika ya kati. Pia katika mradi huo utajumuisha bomba la mafuta toka bandari ya Lamu hadi Sudan kusini. Kibaki ameahidiwa mkopo alipotembelea China wa KShs 1.2 billions kwa ajili ya bandari. Kampuni ya kijapani pia nayo inautupia jicho mradi wa bomba la mafuta (Lamu-Juba pipeline project). Lini mradi huu utakwisha itategemea na hali ya baadae baada ya kura ya maoni ya kujitenga baina ya serikali ya Khartoum na Sudan kusini itakayo fanyika baadae 2011.
 
From what i know and i have heard, the kenyan govt is pretty serious on this port. they are betting on this port to become the transit hub of subsaharan africa. for example a ship from asia eg india or china heading to central africa has to go down on indian ocean all the way to cape town then up on atlantic ocean till it gets to cameroon but with the lamu port you can cut that distance by more that a half and greatly cut the the cost of transportation. this port will be closer to southern sudan than port sudan is, ethiopia(a country of 80million) dangerously depends on the djibouti port hence they have publicly urged kenya to built this port as it will give them another alternative. although some of the necessary the necessary transportation infrustructure is not there yet but it is this HUGE very realistic potential that the kenyan govt wants to tap into.

a japanese company is almost done doing the feasibility study of the port and then come up with designs for it after which a chinese company will take over the construction work. one thing for sure though it that it will be a very deep port capable of anchoring the biggest of ships. it will also be the biggest port in subsaharan africa after the durban port. the lamu port and the current mombasa port will make kenya a very attractive and vital transit point in sub saharan africa
 
sisi tuko bize kuigeuza kigoma kuwa dubai... dont worry tutatumia bandari ya lamu kupeleka vitendea kazi vya kugeuza kigoma dubai
 
Kenya ipo mbioni kujenga bandari ya kina kirefu katika mji wa Lamu itakayo gharimu US $22 billions. Jiwe la msingi linategemewa kuwekwa mapema January 2011, Mwai Kibaki anataka ujenzi uanze kabla ya muhula wake wa uraisi unaoisha 2012. Katika ujenzi huo utajumuisha Uwanja wa Ndege wa kimataifa pamoja na reli itakayounganisha Ethiopia kupitia Sudan kusini na baadae nchi zingine za Afrika ya kati. Pia katika mradi huo utajumuisha bomba la mafuta toka bandari ya Lamu hadi Sudan kusini. Kibaki ameahidiwa mkopo alipotembelea China wa KShs 1.2 billions kwa ajili ya bandari. Kampuni ya kijapani pia nayo inautupia jicho mradi wa bomba la mafuta (Lamu-Juba pipeline project). Lini mradi huu utakwisha itategemea na hali ya baadae baada ya kura ya maoni ya kujitenga baina ya serikali ya Khartoum na Sudan kusini itakayo fanyika baadae 2011.

Kenyan politicians ans citizens mean business. They synchronize in all matters regarding their country.

Watanzania tunapigwa porojo tu
 
sisi yetu itakuwa bagamoyo.teh teh brand new sio Mtwara . Politics at work
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom