Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267

Hatua hiyo imetolewa kufuatia mkutano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na wawakilishi wa Chama cha madaktari cha Kenya KMPD huko Mombasa
Kwenye mkutano huo, wawakilishi hao wameahidi kuupatia ufumbuzi wa haraka mgomo huo, wakisema watajadiliana na wenzao wa chama hicho kabla ya kujibu pendekezo lililotolewa na serikali
Mgomo huo umekwamisha huduma za afya kwenye hospitali za umma kote nchini Kenya, na umesababisha vifo vya wagonjwa 20.
Chanzo : CRI kiswahili