Kenya kutaifisha dhahabu ya Tanzania ya Tshs 2Bilioni waliyokamata kama tulivyopiga mnada ng'ombe wao?

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Kuna msemo wa kiingereza unaosema what goes around comes around. Hivi karibuni serikali ya Tanzania kwa makusudi na kwa ubabe mkubwa, iliamua kupiga mnada ng'ombe wa Masai kutoka Kenya ambao walikuwa na desturi ya kutojali mpaka kati ya Tanzania na Kenya na kufuata malisho upande wa Tanzania.

Sasa katika uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Kenya imekamata dhahabu ya kilo 32 na thamani ya USD 1M (Tshs 2,000,000,000) ambayo abrira mmoja alikuwa anasafirisha toka Mwanza kwenda Dubai.

Nadhani wengi tunategemea kwamba Kenya watairudisha hiyo dhahabu Tanzania. Lakini swali ni kwamba, Kenya wakiamua kuitaifisha hiyo dhahabu, hasa wakikumbuka ubabe ambao uliofanywa na Tanzania huko nyuma dhidi yao, tutakuwa na sababu za kulalamika?

Nadhani hili ni funzo nzuri sana kwa uongozi wa Raisi Magufuli kwamba kuishi vema na jirani zako ni jambo muhimu sana. Unapowafanyia ubabe soon or later kutatokea jambo ambalo nao wanaweza kukufanyia ubabe. What goes around comes around.

Kuna pendekezo Kenya waichome moto na kuiharibu hiyo dhahabu kama tulivyochoma vifaranga!
 
Hiyo dhahabu itarudishwa Bongo na kukabidhiwa serekali. Kenya hawana sababu ya kuitaifisha kwa kuwa it was a good in transit. Yani final destination haikuwa Kenya!

Mkuu, Kenya wakiamua kuwafanyia ubabe Tanzania, watampiga faini jamaa na kurudishia dhahabu yake aendelee na safari, au hata kumwachia. Mtafanya nini? Kenya hawapo pale kusimamia makosa yaliyofanywa na airport za Tanzania. Ile ni dhahabu, sio silaha.

Ningekuwa Mkenya, kama ikibidi kuwarudishia, ningekata kwanza makato ya ng'ombe ndio nawarudishia chenji!

Hivi tukikamata dola za Marekani hapa uwanjani Dar tunazirudisha Marekani?
 
hahahaa ...hiyo inatwa mbw kala mbwa.na wao ndio watakuwa wamepiga hela nyingi zaidi toka tz ..kuliko hasara ya ng'ombe ambayo wao waliipata...daahh kweli malipo duniani...NGOJA TUONE WATAKACHOAMUA KUKIFANYA
 
Mkuu, Kenya wakiamua kuwafanyia ubabe Tanzania, watampiga faini jamaa na kurudishia dhahabu yake aendelee na safari, au hata kumwachia. Mtafanya nini? Kenya hawapo pale kusimamia makosa yaliyofanywa na airport za Tanzania. Ile ni dhahabu, sio silaha.

Ningekuwa Mkenya, kama ikibidi kuwarudishia, ningekata kwanza makato ya ng'ombe ndio nawarudishia chenji!

Na pia wanaweza kuwaambia ile dhahabu ilisafirishwa kimagendo tumeichoma moto na kuiharibu kama mlivyochoma vifaranga!

Hivi tukikamata dola za Marekani hapa uwanjani Dar tunazirudisha Marekani?
 
Kuna msemo wa kiingereza unaosema what goes around comes around. Hivi karibuni serikali ya Tanzania kwa makusudi na kwa ubabe mkubwa, iliamua kupiga mnada ng'ombe wa Masai kutoka Kenya ambao walikuwa na desturi ya kutojali mpaka kati ya Tanzania na Kenya na kufuata malisho upande wa Tanzania.

Sasa katika uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Kenya imekamata dhahabu ya kilo 32 na thamani ya USD 1M (Tshs 2,000,000,000) ambayo abrira mmoja alikuwa anasafirisha toka Mwanza kwenda Dubai.

Nadhani wengi tunategemea kwamba Kenya watairudisha hiyo dhahabu Tanzania. Lakini swali ni kwamba, Kenya wakiamua kuitaifisha hiyo dhahabu, hasa wakikumbuka ubabe ambao uliofanywa na Tanzania huko nyuma dhidi yao, tutakuwa na sababu za kulalamika?

Nadhani hili ni funzo nzuri sana kwa uongozi wa Raisi Magufuli kwamba kuishi vema na jirani zako ni jambo muhimu sana. Unapowafanyia ubabe soon or later kutatokea jambo ambalo nao wanaweza kukufanyia ubabe. What goes around comes around.
Nimebaini kuna chuki ya mda mrefu kati ya tz na kenya. Kwanini kila siku kuna kua na vimigogoro visivyo na kichwa wala miguu? Halafu sio mara ya kwanza kusikia hivi vimigogoro... tatizo nn?

Wao ni jirani zetu hao n'gombe wanaweza rudishwa kwani ni mpakani humo, hiyo ndio maana ya ujirani mwema!
Mbona hata kuku wanaweza toka kwako kwenda kutafta chakula kwa jirani ina maana ni kosa?
Vitu kama hivi ni vibaya sana... siku itakuja kutokea mtu kapata shida hapo sijui nani atamsaidia.
 
Huyo aliyekutwa nayo si ni mwizi? by the way Sisi tulitaifisha ngombe kwa sababu tunafuga ngombe vilevile sasa wao wanataifisha dhahabu wanachimba au wanajua zinachmbwaje?
 
Mkuu, Kenya wakiamua kuwafanyia ubabe Tanzania, watampiga faini jamaa na kurudishia dhahabu yake aendelee na safari, au hata kumwachia. Mtafanya nini? Kenya hawapo pale kusimamia makosa yaliyofanywa na airport za Tanzania. Ile ni dhahabu, sio silaha.

Ningekuwa Mkenya, kama ikibidi kuwarudishia, ningekata kwanza makato ya ng'ombe ndio nawarudishia chenji!

Hivi tukikamata dola za Marekani hapa uwanjani Dar tunazirudisha Marekani?
Money is a bearer bill. Any one who possess it, own it. Any other propert has a title of ownership.
 
Back
Top Bottom