Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,540
Hii habari inasikitisha sana sana na wanazuoni wa Kenya na Afrika kwa ujumla!
Kijana wa kichina ame hack page ya chuo kikuu na amewaomba wampe USD 500 Awarudishie page yao!
Kabarak Uni wana idara ya IT na wanafundisha IT pia, wameshindwa kuonesha ubora kwa jambo hili, walichofanya ni kutoa tamko tu kwamba hawawezi kutoa hiyo hela na wamefungua ukurasa mpya😅😅😂😂😂😂
Je, Graduates wa hiki chuo wataaminika wapi baada ya kuhitimu masomo yao?
wameshindwa hata kuongea na vyuo vingine vikubwa zaidi wapewe mbinu zaidi ya kukabiliana na hili ili baadae lisije kujirudia likawadhalilisha tena?
Kijana wa kichina ame hack page ya chuo kikuu na amewaomba wampe USD 500 Awarudishie page yao!
Kabarak Uni wana idara ya IT na wanafundisha IT pia, wameshindwa kuonesha ubora kwa jambo hili, walichofanya ni kutoa tamko tu kwamba hawawezi kutoa hiyo hela na wamefungua ukurasa mpya😅😅😂😂😂😂
Je, Graduates wa hiki chuo wataaminika wapi baada ya kuhitimu masomo yao?
wameshindwa hata kuongea na vyuo vingine vikubwa zaidi wapewe mbinu zaidi ya kukabiliana na hili ili baadae lisije kujirudia likawadhalilisha tena?