Kenya is going cashless

Sio credit economy, ni cashless economy. Faida mojawapo kubwa ni inawawezesha wafanyabiashara wadogo na watoa huduma ndogo ndogo kuweza kukopa kirahisi, kwa haraka na kwa masharti rahisi ya dhamana, faida nyingine inaondosha usumbufu wa chenji.
Cashless economy kwa lugha nyingine ya uchumi inaitwa credit economy mkuu,
 
credit economy? Mpesa is instant payment.
Kwani credit payement sio instant? usichanganye credit payement na instalment payement ambao ni partial payement au future payement isio instanta, wewe hujawahi kukopa credit kwa simu sio instant payement?
 
Kwa hili,Friends wanatinania babu you more ancient than the pyramids.
 
Bongo hawataki cashless na chenji hawana sehemu za huduma, wanataka uwaachie mia tano tano kwa lazima.
Bongo tukienda full chasless, watakao athirika ni wa kipato cha chini kabisa. Ambao hawategemei payment systems
 
fafanua
 
Mfano wa kina nani na kwa nini?
i am talking about mama mboga, wauza mchicha , wanaotembeza mitumba, daladala.

Itamlazimu mama kuwana simu or smartphone , vocha which ni different expense, and top of that makato

Akina mamam mboga au daladala hawataeajii mteja akilipa 500 akatwe asilimia kadhaa za muamala
As if now kwa hela mkononi hakuna makato

Lakini gape la elimu kutumia mifumo hiyo
 
Tanzania sasa hivi karibia kila mfanyabiashara ana simu ndogo au smartphone. Malipo ya simu Kenya hakuna makato, kama Safaricom wameweza Kenya sijui kwa nini Vodacom wanashindwa Tanzania.
 
MPesa has made life so much easier, it is fast safe and almost everyone has it on their phone
 
Imekaa njema sana ,mambo ya kulipa kwa mikaratasi au mivyuma ni UPRIMITIVU.
Mzungu walishapita huko zamani na sasa mwenyewe anakeambia Cash is King.
Kutumia mifumo kwenye kila kitu ni kama unaacha foot print ambapo ukihitajika ni rahisi kukupata iwe serikali au adui yako
 
Kiroho na ufunuo wa unabii wa siku za mwisho...

ndiyo hiyo hatua kuelekea digital currency na digital card ,cashless cardless every single detail and identity will be intergrated in a single small microchip which will be implanted into your body hamd or fore head ,hiyo ndiyo inaitwa CHAPA YA MNYAMA 666

UNYAKUO WA WATAKATIFU UTATOKEA any time from now even now this year between year 2026-2030

before 2030..unyakuo wa watakatifu utatokea..

machafuko ya dunia yataendelea na hali ya dunia na taifa itazidi kuwa mbaya day by day..

dhiki kuu inakuja..

watu wa Mungu hizi ni nyakati za mwisho..hayo mavita mnayoyaona huko yanakuja na hapa ...hayo machafuko yanakuja na hapa ulipo..hayako mbali...athari zake zitakufukia.

Hayo ma teknolojia na utandawazi na ELIMU na pesa ..ma AI hayapo kwa ajili ya kumsaidia mwanadamu ila lengo kuuu ni la kumtawala mwanadamu..kuitawala dunian.

tunafurahia AI tools na maroboti hayo yapo kww ajili ya kuitawala dunia sio kumsaidia mwanadamu
 

View: https://youtube.com/shorts/5CfioGA5log?is=60us93hFNRwLTgFT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…