Kenya imeamua kuiga Afrika kusini!!

Kenya imeamua kuiga Afrika kusini!!

Hii imekaa vizuri ili kupambana sasa kumvurusha common enemy kwa pamoja
Hata Mimi naona ni jambo zuri, Maana watu wamezidi umbuzi harafu wanakimbilia Nchi za wengine ambao wamepambana, unazoona Kenya ni Nzuri hadi watu wanajazana you should know that watu wameipigania
 
Wapo hata wa bure ila ni warundi wa ndani ndani

Ila hawa wa karibu lazima uwapoze kidogo
Kuwavusha mpaka wafike nyakanazi uwe umejipanga haswaa

Binafsi siwezi kuoa mrundi!
 
Back
Top Bottom