Jackson matthew
Senior Member
- Jun 26, 2026
- 159
- 351
Waburundi wametimuliwa nchini humo.kenya imesema haitaki raia wa kigeni tena nchini humo.
Kenya is visa-free for almost all African citizens. Imekuwaje tena?Waburundi wametimuliwa nchini humo.kenya imesema haitaki raia wa kigeni tena nchini humo.
Hawawezi wakenya wako wengi sana hapa TzWatanzania mliopo kenya jiandaen mda wowote mtatimuliwa
Maisha ya Burundi unayaelewa kweli mtumish??Wakitutimua wa tz na sisi huku tunawatoa nduki
Ila warundi nao kwanini huwa hatulii kwao kule kanda ya ziwa wapo kibao
demu wa kirundi unaoa kwa 50k tu!
Na Watz tumefukuzwa?Waburundi wametimuliwa nchini humo.kenya imesema haitaki raia wa kigeni tena nchini humo.
Hata Mimi naona ni jambo zuri, Maana watu wamezidi umbuzi harafu wanakimbilia Nchi za wengine ambao wamepambana, unazoona Kenya ni Nzuri hadi watu wanajazana you should know that watu wameipiganiaHii imekaa vizuri ili kupambana sasa kumvurusha common enemy kwa pamoja
Wewe wanakuibia. Kuna dogo yeye anaoa kwa tsh 5,000 tuWakitutimua wa tz na sisi huku tunawatoa nduki
Ila warundi nao kwanini huwa hatulii kwao kule kanda ya ziwa wapo kibao
demu wa kirundi unaoa kwa 50k tu!
ok.🐒Waburundi wametimuliwa nchini humo.kenya imesema haitaki raia wa kigeni tena nchini humo.
Nayajua wakae kwao sasa wajenge nchi yaoMaisha ya Burundi unayaelewa kweli mtumish??
Unasemaje kuhusu mabinti wa kitanzania wanaoteswa kila siku uarabuni kwa ujira wa kazi za ndani?Nayajua wakae kwao sasa wajenge nchi yao
wao kutwa kujazana kwa majirani nani ataendeleza nchi yao?
pia wengi ni wachafuzi na wahalifu..
Wakenya na watanzania ni jamii zinazoendana sanaWatanzania kutoka Kenya ni ngumu kidogo kutokana na maelewano kati yao