joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Waziri wa fedha wa Kenya Bw. Ukur Yatani amebainisha kwamba, uchumi wa Kenya ndio unaokua kwa kasi kuliko chumi zote barani Afrika, pamoja na janga la Corona lakini uchumi umekua kwa kasi ya 2.6%, hivyo kuifanya Kenya kuongoza Afrika katika ukuaji wa uchumi mwaka huu.