Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 104
du!huku kwetu li umeme lao wamelichukua!afu nimeona naibu wazir akisema mgao sasa basi!kweli nchi hii kazi ipo!siasa tuu!
Kwakweli imewachanganya hat ku-edit news item imekuwa shida au wamempa rastafarian afanye editing... wanaripoti " One people" has died " badala ya" one person"
Kiti moto..wanatakiwa wawe makini kama walipanga kwa kukurupuka au kumfurahisha fulani basi.cha mtema kuni kilichotoa kanga manyoya watakiona.. Bonmgo nasiksi tujizatiti maana mwezio akinyolewa wewe tia maji kichwani!! Hawajui utu hao..kama mtu anawqeza kujilipua mwenyewe..wewe mbele yake ni nani.. nadhani ni kuni!!!
Kenya don't stop, just do it, crash and mash al shabaab