Kendrick Lamar is overrated

Almost kila mwana Hip Hop huanza vizuri akiwa na misismamo yake binafsi lakini anapofikia level ya juu huwa chini ya watu kwa hiyo mambo mengi anayoyafanya yanakuwa yanakwenda kimikataba.Tusilaumu kubadilika kwao kwa sababu wao pia huangalia mustakabari wa maisha yao.SOMETIMES THEY MUST SELL THEIR SOUL TO THE......
We jamaa umesoma Magogoni nadhani, yaani unaakili sana

 
Ipate remix alofanya na Jay z ndo utamjua huyu mtu mchaf


Kendrick!!!!!!!!!Nina Album zake zote zile za mwanzo.Mimi ni Fan wa Kendrick Lamar.Balaa moja lipo kwenye track ya Ab Soul amepewa collab inaitwa”TURN ME UP”....KIJANA NI HATARI SANA KWA SABABU NDANI YAKE KUNA KILA AINA YA MUSIC WA HIP HOP UNATOWEZA KUIJUA.HE IS MANY IN ️......Ni vigumu kukabiliana naye kwa sababu unaweza kumfananisha na kila mwanahip hop na pia unaweza usijue kafanana na nani.Dogo anajua kunyumbulika balaaa.
 
Wakati Nas amemdiss jay kumwambia he sold his soul to devil..nkajua Ni shetani..kumbe sio..kwenye rap wanaposema YOU SOLD YOUR SOUL TO DEVIL They dont mean an actual Devil..,wana maana kua You dont do rap for love,you do it for money and fame
Wafanya biashara

 
Watumia auto tunes, T Pain, Lil Wayne, Future kwa kipindi kile ndiyo walisababisha Nas aseme hip hop is dead. Traditional hip hop ilikua inaenda omega sasa hivi wameibuka kina Desiigner, Migos, Travis, Lil Uzi wanazidi kuwakera wakongwe.
Kila zama na kitabu chake
 
Well,kama kama heading inavyojieleza..nadhani SI mimi peke yangu anaedhani kua Kendrick Lamar ha deserve hype anayopata,..jamaa WA kawaida Sana..TENA SANA..for the first time namskiza jamaa nilikua high school mwaka 2011..kwenye ngoma ya Look Out For Detox.. Shit was real..alichana Sana..flow on point,lyrics..beat..wala hakua anapiga kelele kama sasa..now nashangaa watu wanamsifia Sana but kiukweli sijawahi kukoshwa na K Dot...hayupo hata kwenye list ya rappers wangu watano..My Top FIVE IS

1: J Cole

2:Drake

3:Big Sean

4:A$ap rocky

5: Pusha T
Jcole is the real deal at the moment...lyrically..flow...amemwacha mbali kdot..sema system ya mziki the whole world is fucked up
 
Well,kama kama heading inavyojieleza..nadhani SI mimi peke yangu anaedhani kua Kendrick Lamar ha deserve hype anayopata,..jamaa WA kawaida Sana..TENA SANA..for the first time namskiza jamaa nilikua high school mwaka 2011..kwenye ngoma ya Look Out For Detox.. Shit was real..alichana Sana..flow on point,lyrics..beat..wala hakua anapiga kelele kama sasa..now nashangaa watu wanamsifia Sana but kiukweli sijawahi kukoshwa na K Dot...hayupo hata kwenye list ya rappers wangu watano..My Top FIVE IS

1: J Cole

2:Drake

3:Big Sean

4:A$ap rocky

5: Pusha T
Kendrick Lamar ni msanii mzuri sana in terms of rapping skills na punchline delivery na kwa upande wa J.cole aisee huyu mwamba ni zaidi ya hivyo vitu viwili nilivyotaja hapa juu. J.Cole anahakikisha kila nyimbo anayoitoa inakuwa na ujumbe ndani yake as well as burudani and that is the essence of Hip Hop music, mashairi yake ni very conscious, I wonder ni kwanini huyu jamaa hajapewa grammy mpaka leo wakati he has gone double platinum with no features tena kwa album mbili (2014 forest hills drive na 4 your eyez only), hii haijawahi tokea in music history.

List yangu ya hip hop artists inaenda hivi.
1.J.Cole
2.Joey BadA$$
3.Logic
4.Mac Miller
5.Drake
 
Wakati Nas amemdiss jay kumwambia he sold his soul to devil..nkajua Ni shetani..kumbe sio..kwenye rap wanaposema YOU SOLD YOUR SOUL TO DEVIL They dont mean an actual Devil..,wana maana kua You dont do rap for love,you do it for money and fame
Mzee hiyo tafsiri ya kweli ?
 
Kendrick Lamar ni msanii mzuri sana in terms of rapping skills na punchline delivery na kwa upande wa J.cole aisee huyu mwamba ni zaidi ya hivyo vitu viwili nilivyotaja hapa juu. J.Cole anahakikisha kila nyimbo anayoitoa inakuwa na ujumbe ndani yake as well as burudani and that is the essence of Hip Hop music, mashairi yake ni very conscious, I wonder ni kwanini huyu jamaa hajapewa grammy mpaka leo wakati he has gone double platinum with no features tena kwa album mbili (2014 forest hills drive na 4 your eyez only), hii haijawahi tokea in music history.

List yangu ya hip hop artists inaenda hivi.
1.J.Cole
2.Joey BadA$$
3.Logic
4.Mac Miller
5.Drake
Kwa logic kaka hapana..kwa white rappers mkali naona in Machine Gun Kelly
 
Back
Top Bottom