Keep waiting , Barua ishaandaliwa

Hapo mwisho bila kuchelewa!

Uchunguzi huru,

Ikitokea baada ya uchunguzi kiwa huru then ikaonekana yalikua maagizo kutoka juu!

Je huko juu kutatiwa hatiani!!?

Au ndio maana nimeshaanza kuona post kule Facebook kwamba;-

1.natamani siku ziishe nipumzike!!
2.kimataifa tunasifiwa tatizo ni humu ndani!
3. Tutamkumbuka mama kwa mazuri mengi!!

Ndio kusema desert mission imeiva au!!?

Ndio kusema Lisu akitoka atakinukisha zaidi na wote tutaimba wimbo wa katiba mpya ama sivyo !huku makam akisapoti au yeye ndio atapewa asimamie!!?

Hebu jazia nyama hapo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…