Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Siri ya mtungi aijuaye........
Wote uliowataja wana,majamboz yao mkuu,utamu wa siasa ni kuwa iko dynamic kila kukicha, ya leo si ya jana.Chimba vizuri mzee wale wanaooneana kung'ara jana iko majamboz makubwa nyuma yao na ndo maana wenzao wanawaengua.
WAKUU,
Nimekuwa ninajiuliza kila siku kwamba kati ya watendaji ambao binafsi nimefurahishwa nao katika kumbukumbu zangu ni pamoja na Charles Keenja alipokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kuweka jiji safi na pia kuongeza mapato ya jiji. Jambo moja{ miongoni mwa mengi ] la kukumbukwa aliloacha ni pamoja na ujenzi wa High School ya Benjamin Mkapa. Swali ni je, kwa nini Muungwana kamuacha?
Kwa mtazamo wangu ili nchi iende Watanzania wanahitaji matokeo, hamna kiongozi anayetoa matokeo sasa hivi.ni kwa nini watu wa aina ya Magufuli, Mrema au hata Njolay ,[ kwa yeye binafsi kuanzisha mikutano ya wawekezaji kuja mkoani kwake} ni nadra sana kuwapata ?Je viongozi wetu wanaogopa watu wa aina hii ?
Kwa nini basi ni watu aina ya Mohamed Seif Hatib, Nchimbi, Chiligati na wengine ambao hawana chochote wanachokifanya ndiyo wanapata madaraka?
Kwanza kutokuwemo ndani ya kundi la wanamtandao ni mojawapo ya sababu ya yeye kufungiwa mlango na JK.
Lakini pili ni kwamba, alipokuwa wizara ya kilimo na chakula enzi za mzee Nkapa aliboronga sana, hakuweza kudeliver kitu kama alivyotarajiwa. Ukumbuke kuwa utendaji wake ndani ya jiji ndio ulumletea umaarufu hadi kupata ubunge na hatimaye uwaziri.Lakini kumbe wapi bwana pale kilimo hata yeye mwenyewe anajua palimfanya kitu mbaya!!hadi wapiga kura wake wakafikia hatua ya kugoma shule ya sekondari kupewa jina lake kule mbezi!!! kwakweli mzee keenja aliporomoka ghafla na sijui kama ataweza kurudia enzi zile.
WAKUU,
Nimekuwa ninajiuliza kila siku kwamba kati ya watendaji ambao binafsi nimefurahishwa nao katika kumbukumbu zangu ni pamoja na Charles Keenja alipokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kuweka jiji safi na pia kuongeza mapato ya jiji. Jambo moja{ miongoni mwa mengi ] la kukumbukwa aliloacha ni pamoja na ujenzi wa High School ya Benjamin Mkapa. Swali ni je, kwa nini Muungwana kamuacha?
Kwa mtazamo wangu ili nchi iende Watanzania wanahitaji matokeo, hamna kiongozi anayetoa matokeo sasa hivi.ni kwa nini watu wa aina ya Magufuli, Mrema au hata Njolay ,[ kwa yeye binafsi kuanzisha mikutano ya wawekezaji kuja mkoani kwake} ni nadra sana kuwapata ?Je viongozi wetu wanaogopa watu wa aina hii ?
Kwa nini basi ni watu aina ya Mohamed Seif Hatib, Nchimbi, Chiligati na wengine ambao hawana chochote wanachokifanya ndiyo wanapata madaraka?
WAKUU,
Nimekuwa ninajiuliza kila siku kwamba kati ya watendaji ambao binafsi nimefurahishwa nao katika kumbukumbu zangu ni pamoja na Charles Keenja alipokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kuweka jiji safi na pia kuongeza mapato ya jiji. Jambo moja{ miongoni mwa mengi ] la kukumbukwa aliloacha ni pamoja na ujenzi wa High School ya Benjamin Mkapa. Swali ni je, kwa nini Muungwana kamuacha?
Kwa mtazamo wangu ili nchi iende Watanzania wanahitaji matokeo, hamna kiongozi anayetoa matokeo sasa hivi.ni kwa nini watu wa aina ya Magufuli, Mrema au hata Njolay ,[ kwa yeye binafsi kuanzisha mikutano ya wawekezaji kuja mkoani kwake} ni nadra sana kuwapata ?Je viongozi wetu wanaogopa watu wa aina hii ?
Kwa nini basi ni watu aina ya Mohamed Seif Hatib, Nchimbi, Chiligati na wengine ambao hawana chochote wanachokifanya ndiyo wanapata madaraka?
WAKUU,
Nimekuwa ninajiuliza kila siku kwamba kati ya watendaji ambao binafsi nimefurahishwa nao katika kumbukumbu zangu ni pamoja na Charles Keenja alipokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kuweka jiji safi na pia kuongeza mapato ya jiji. Jambo moja{ miongoni mwa mengi ] la kukumbukwa aliloacha ni pamoja na ujenzi wa High School ya Benjamin Mkapa. Swali ni je, kwa nini Muungwana kamuacha?
Kwa mtazamo wangu ili nchi iende Watanzania wanahitaji matokeo, hamna kiongozi anayetoa matokeo sasa hivi.ni kwa nini watu wa aina ya Magufuli, Mrema au hata Njolay ,[ kwa yeye binafsi kuanzisha mikutano ya wawekezaji kuja mkoani kwake} ni nadra sana kuwapata ?Je viongozi wetu wanaogopa watu wa aina hii ?
Kwa nini basi ni watu aina ya Mohamed Seif Hatib, Nchimbi, Chiligati na wengine ambao hawana chochote wanachokifanya ndiyo wanapata madaraka?
Kwangu mimi Mrema na Magufuli walifanikiwa sana kwenye zao.
Ukiondoa Sokoine, Mrema anafuatia kwa kutimiza kazi zake kama waziri.
Ningelikuwa waziri wa mambo ndani, kitu cha kwanza ingelikuwa kwenda kujifunza kutoka kwa Mrema.
Lakini kama tulivyo Watanzania wengi hatuwezi kusifia wenzetu wachache ambao wameonyesha uwezo mkubwa kwenye majukumu yake na badala yake tutaanza kutafuta mapungufu yao.
Hakuna lolote mkuu ni uleule utamaduni wa huyu mwenzetu,huyu si mwenzetu.Kama kuenguliwa kwa madhambi basi JK asingewachukua tena wakina Mramba na Chenge hata baada ya kufanya mabadiliko ya mawaziri.Inawezekana Keenja hakuwa mtandao ndiyo mana.Ikifikia viongozi wa tanzania wakachaguliwa/teuliwa kutokana na usomi,uelewa wa mambo na uchapakazi basi hata hiki kijiwe nitaacha kuja maana hakutakuwa na cha kujadili!!
- Keenja, aliharibu Kilimo sana tena sana under Mkapa na kule City alileta hasara kubwa sana kwa walipa kodi, ingawa alifanya kazi kubwa sana kusafisha jiji na kulibadilisha to the better, hilo halina ubishi na wala sio siri,
- Tatizo lilikuja pale serikali ilipompeleka kwa makusudi mtu wao Mkama kuchukua nafasi yake kule City, ndipo noma yake ilipoanzia kugundulika, infact kama sio kuwa mume mwenza na Sumaye, Keenja angekua wa kwanza kuburuzwa Kisutu, kutokana na ubadhirifu mkubwa na wa ajabu alioufanya City na mpaka leo haujasemwa wazi to the public, ulizimwa kwa kua ni mwenzetu.
- Mengineyo, ni kutokuwa mtandao na kuwa kampeni manager wa urais kambi ya Sumaye a sworn enemy wa mtandao, halafu ubunge wake pia nao ni wa utatanishi sana, otherwise binafsi nina tatizo sana na kiongozi ambaye akiondoka sekta fulani basi the whole system ya uongozi ina fall apart kama huyu mkuu alipotoka tu City, kila kitu kikaanguka chini, nina wasi wasi sana na viongozi wa namna hii kwamba ni me first! na hawa-delegate power kwa wengine katika maamuzi muhimu wanapokuwa kwenye hizi sekta za taifa ili siku zote wafuatwe wao tu! ndio maana ninaiheshimu sana tabia moja ya muungwana, kwamba kiongozi akimaliza muda tu hakuna kuongeza.
Sishangai, maana hata yeye Muungwana anajua hakuna kuongeza, so jicho kwa jicho. Unafikiri angejihakikishia mambo kama ya Guinea Conakry, Libya au Kameruni angewaza hayo?
WAKUU,
Nimekuwa ninajiuliza kila siku kwamba kati ya watendaji ambao binafsi nimefurahishwa nao katika kumbukumbu zangu ni pamoja na Charles Keenja alipokuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar. Huyu jamaa alifanya kazi nzuri sana kuweka jiji safi na pia kuongeza mapato ya jiji. Jambo moja{ miongoni mwa mengi ] la kukumbukwa aliloacha ni pamoja na ujenzi wa High School ya Benjamin Mkapa. Swali ni je, kwa nini Muungwana kamuacha?
Kwa mtazamo wangu ili nchi iende Watanzania wanahitaji matokeo, hamna kiongozi anayetoa matokeo sasa hivi.ni kwa nini watu wa aina ya Magufuli, Mrema au hata Njolay ,[ kwa yeye binafsi kuanzisha mikutano ya wawekezaji kuja mkoani kwake} ni nadra sana kuwapata ?Je viongozi wetu wanaogopa watu wa aina hii ?
Kwa nini basi ni watu aina ya Mohamed Seif Hatib, Nchimbi, Chiligati na wengine ambao hawana chochote wanachokifanya ndiyo wanapata madaraka?
- Keenja, aliharibu Kilimo sana tena sana under Mkapa na kule City alileta hasara kubwa sana kwa walipa kodi, ingawa alifanya kazi kubwa sana kusafisha jiji na kulibadilisha to the better, hilo halina ubishi na wala sio siri,
- Tatizo lilikuja pale serikali ilipompeleka kwa makusudi mtu wao Mkama kuchukua nafasi yake kule City, ndipo noma yake ilipoanzia kugundulika, infact kama sio kuwa mume mwenza na Sumaye, Keenja angekua wa kwanza kuburuzwa Kisutu, kutokana na ubadhirifu mkubwa na wa ajabu alioufanya City na mpaka leo haujasemwa wazi to the public, ulizimwa kwa kua ni mwenzetu.
- Mengineyo, ni kutokuwa mtandao na kuwa kampeni manager wa urais kambi ya Sumaye a sworn enemy wa mtandao, halafu ubunge wake pia nao ni wa utatanishi sana, otherwise binafsi nina tatizo sana na kiongozi ambaye akiondoka sekta fulani basi the whole system ya uongozi ina fall apart kama huyu mkuu alipotoka tu City, kila kitu kikaanguka chini, nina wasi wasi sana na viongozi wa namna hii kwamba ni me first! na hawa-delegate power kwa wengine katika maamuzi muhimu wanapokuwa kwenye hizi sekta za taifa ili siku zote wafuatwe wao tu! ndio maana ninaiheshimu sana tabia moja ya muungwana, kwamba kiongozi akimaliza muda tu hakuna kuongeza.